Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

[QUOTE="Zurri, post: 31735470, member:
Naelewa ndio maana nimekuuliza swali. Sasa nionyeshe kubaka katika Qur'aan na Hadithi.
[/QUOTE]

Kuna mahali popote nilipoandika habari ya kubaka ndani ya Qur'an au Hadith? We mtu vipi?
 
Kwa mujibu wa Kiranga hakuna mzigo mzito kama dini. Dini ni mzigo, tena wa misumari. Unarekebisha 9 m1 unakuchoma.

Mungu yupo ila dini hamna.
 
Nimekuwekea na aya za kabla na baada ili upate mtiririko wa maana :

1. HAKIKA wamefanikiwa Waumini,
2. Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
3. Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
4. Na ambao wanatoa Zaka,
5. Na ambao wanazilinda tupu zao,
6. Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7. Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
8. Na ambao wanazitimiza amana zao na ahadi zao, (al Muuminuun : 1- 8)

Ama kuhusu suala la Safiyya hilo sina elimu nalo,wewe unae jua ndio uniletee ushahidi kwamba alibakwa,maana hatutaki maneno ya vijiweni yasiyo kuwa na ushahidi. Nataka unionyeshe wapi mtume alibaka usilete kona na porojo.

Nataka ushahidi wapi mtume alibaka ?

Kwa akili yako, kuna uwezekano mwanamke uliemuulia mumewe, baba na ndugu zake wengine akubali umuingilie kwa hiari yake?
 
,as,,wwwswswwaswwwsswswsw,sasa,passageways,saa,assassins,,a,,@$@,,,,,,,,,aww,a,as,s,a,s,Assalaam,a,,a,a,a,Assalaam,a,Assalaam,awww,a,Sawa,as,aww,a,,,a,@,,$,,$,@,,$,,,,,,,,,,,,$,,,,$2,@,@,$@$,,s,,s,Sasa,wsssawwwsasawwsassaasaaasasa$$,,2asawawwwsws,Assalaam,sssswsaaassc@wanaopaswa,2@@@$$[emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149] [emoji149] [emoji151] [emoji151] [emoji149][emoji149][emoji149][emoji149][emoji149] [emoji151] [emoji149][emoji149] [emoji149] [emoji149] [emoji149] [emoji149] [emoji149][emoji151][emoji149] [emoji149] [emoji149] [emoji149][emoji149][emoji149]
 
Unionyeshe wewe kama hawabakwi!

Jibu rahisi ni kuwa huwezi kuonyesha hilo,kwahiyo wewe ni mzushi muongo. Acha tabia ya kuzua uongo utakuja kuulizwa siku ya malipo.

Kazi yangu imeisha.
 
Kama unaamini kuwa NAJIKANGANYA na huku kila nilichokinukuu kinatoka ama kwenye Qur'an au Hadith za mtume; utakataaje kuwa Uislamu UNAJIKANGANYA PIA?
HAKIPO KWENYE QURAN ILA KIPO KWENYE UISLAM. HOW?
 
Kwa akili yako, kuna uwezekano mwanamke uliemuulia mumewe, baba na ndugu zake wengine akubali umuingilie kwa hiari yake?

Nacheka sana,hutakiwi kukisia na kwa vipi lisiwezekane hilo ? Leta ushahidi kama hakuingiliwa kwa hiari ?

Na je unajua ni kipindi gani aliingiliwa ? Je alikuwa tayari katika Uislamu au alikuwa bado haja silimu ?
 
Kwenye Qur'an kuna tafsiri ya 'tafsida' ? Ilete
Soma matini hiyo ayat then usome alivyo tafsiri
IMG_20190606_201415_744.jpeg
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

🤣🤣🤣🤣

Hadithi haisemi kama unavyosema wewe hadithi hiyo ni sahihi na si kwa maana hiyo. Ukisoma matini ya kiarabu inasema hivi "Lau kama mngekuwa hamfanyi madhambi....". Kwa maana binadamu sisi kila siku tunafanya madhambi na kutubia na kuna wapo wafanyao madhambi lakini hawatubii,basi Allah akasema angeleta watu ambao pindi wafanyapo madhambi lazima tu watubie.

Lakini kuonyesha ya kuwa maana yako si sahihi,hivi kuna mtu ambae amelazimishwa kufanya madhambi ? Au kufanya madhambi ni hiari au unalazimishwa ?

Na mtume akasema tena katika sunan at-Tirmidh hadithi nba 2499 : "Kila mwana adamu ni mwenye kukosea na mbora wa wenye kukosea ni mwenye kutubia"

Hadithi hizi zinahimiza umuhimu wa kufanya toba na kuwa mja ukiomba toba Allah aliye juu anakubali toba yako.

Nahitimisha ya kuwa hadithi hiyo iko wazi na wewe umedanganya katika maana. Rejea matini ya kiarabu utaelewa vizuri maana ya hadithi hiyo.
 
Kwa akili yako, kuna uwezekano mwanamke uliemuulia mumewe, baba na ndugu zake wengine akubali umuingilie kwa hiari yake?

Si ndio kubaka huko?! Hebu TOA maoni yako kama sio kubaka [emoji117]
IMG_20190606_205804_473.jpeg
IMG_20190606_205855_508.jpeg
 
SAHIH MUSLM 2749 ni reference ya kuruani hiyo?

Kaka ile hadithi ni sahihi na ipo kweli,ila aliye nukuu amefanya ghishi katika maana,ukisoma matini ya kiarabu kuna tamko la sharti kwa maana hadithi imeanza "... Law lam tudhibuu.....". Kwa maana lau kama tusingekuwa tuna fanya mdhambi bila kutubia basi Allah angetuondoa sisi akaleta watu ambao wakifanya madhambi tu lazima watubie,na hawa bila shaka wangekuwa ni bora sana sababu wao daima wana tubia madhambi,tofauti na sisi leo hii kwamba wapo wafanyao madhambi wakatubia na wapo ambao wanafanya madhambi hawafanyi toba.

Hadithi hii inatukumbusha juu ya kuomba toba kwa yale tunayoyafanya,ndio maana mtume wa Allah amani ya Allah iwe juu yale akasema "Kila mwanadamu ni mwenye kukosea na mbora wa wenye kukosea ni yule mwenye kuleta toba"

Kaka sikufichi hili na wengine wanatakiwa walijue,Qur'aan haipingi kwa yenyewe kadhalika Hadithi hazipingani,na Imaam Shawkan anasema "Ukihisi Qur'aan inajichanganya au hadithi inajichanganya basi kitu cha kwanza ituhumu elimu yako kwa kuwa ni ndogo imeshindwa kuyadiriki yale yaliyo andikwa katika viwili hivyo au ituhumu akili yako kwa kushindwa kung'amua maandiko hayo".

Kwahiyo hilo lisikupe tabu kabisa kwani mtume alipewa Qur'aan na mfano wa Qur'aan ambao ni Hadithi.
 
Jibu rahisi ni kuwa huwezi kuonyesha hilo,kwahiyo wewe ni mzushi muongo. Acha tabia ya kuzua uongo utakuja kuulizwa siku ya malipo.

Kazi yangu imeisha.
Mimi nanukuu toka Ilimu Islam[emoji106] nashukuru sana kwa kunipa jukwaa [emoji23]
 
mkuu, unajua kuwa Tanzania na Iraq wana muda mmoja (3+hours from GMT) ila Iraq nao wamekula iddi leo? Abu Dhabi tumepishana saa moja ako mbele ila iddi leo, UAE pia ni saa oja wako mbele!
kwenye hili hoja yako haina mashiko!
Eid huwa inategemea moon sighting. Hali kadhalika Malaysia, Japan, Egypt, Jordan, Australia wamesherehea J5. Wavaa kata suruali ni visebengo. Wao wananasabaisha suala hili kisa mgogoro wao na Bakwata. Ni kweli Bakwata ni miyeyusho ila kuna maeneo mnaweka kando tofauti na kuwa kitu kimoja. Ila wafuga uchebe hawaelewi hili.
 
Si ndio kubaka huko?! Hebu TOA maoni yako kama sio kubaka [emoji117]View attachment 1119969View attachment 1119970


Nacheka sana,una tapa tapa sana,sasa katika kitabu cha Ibn Ishaq hayo maneno ya chini ya nani ? Halafu nani anauliza swali ? Mnatakiwa mjifunze somo la kunukuu maneno kutoka katika asili yake.

Nataka mnionyeshe kubakwa katika aya au hadithi. Hayo ya juu ni maoni tu ila sio hoja kujulisha au kupitisha jambo la kubakwa.

Tuendelee...
 
mkuu, unajua kuwa Tanzania na Iraq wana muda mmoja (3+hours from GMT) ila Iraq nao wamekula iddi leo? Abu Dhabi tumepishana saa moja ako mbele ila iddi leo, UAE pia ni saa oja wako mbele!
kwenye hili hoja yako haina mashiko!
Wao wana Mufti wao na sie tuna Mufti wetu, wao wana baraza lao Ulamaa na sie tuna letu. Wao hawata tufuata sisi tukiona mwezi, na sisi hatuwafuati wao.
Justification si muda, justification ni kuuona mwezi. Je wameuona !?
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

🤣🤣🤣🤣

hiyo sijaisikia umri wangu nikiwa muislamu tena msomi al azhar misri sijawahi kuona au kusoma mungu anataka watu wafanye dhambi mtasingizia dini ya haki kila ainaya maneno naomba aya katika qur'aan inayosema mungu anataka watu wafanye dhambi ukishindwa kunipa mama yako nitamuoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom