Hivi kweli watu mnaamini kwenye mafundisho ya Uislamu? Kwa mfano unaamini katika hili hapa chini?
074-Lu-ulu-un-Manthuwrun: Yapendeza Kupiga Chafya Na Yachukiza Kupiga Miayo
Lu-ulu-un-Manthuwrun
(Mkusanyiko Wa Hadiyth Mbali Mbali Na Mafunzo Yake)
Hadiyth Ya 74: Yapendeza Kupiga Chafya Na Yachukiza Kupiga Miayo
Imepokelewa kutoka kwa Abuu Hurayrah (رضي الله عنه) kwamba Nabiy (صلى الله عليه وآله وسلم ) amesema: ((Hakika Allaah Anapenda chafya na Anachukia kupiga miayo. Anapopiga chafya mmoja wenu akamhimidi Allaah (تعالى) ni wajibu kwa kila Muislamu anayemsikia kumwambia: “Yarhamuka Allaah” (Allaah Akurehemu). Ama kupiga miayo, hakika hivyo ni kutoka kwa shaytwaan, basi anapopiga miayo mmoja wenu ajizuie kadiri awezavyo. Mtu anaposema: “Aaawh” shaytwaan humcheka)). [Al-Bukhaariy]
In English:
Praise be to Allaah.
It was proven in the hadeeth of Abu Hurayrah (may Allaah be pleased with him) that the Prophet (peace and blessings of Allaah be upon him) said: “Allaah likes the act of sneezing and dislikes the act of yawning, so if any one of you sneezes and praises Allaah (says “al-hamdu Lillaah”), it is a duty on every Muslim who hears him to say to him, “Yarhamuk Allaah (may Allaah have mercy on you).” As for yawning, it is from the Shaytaan, so if any of you feels the urge to yawn, he should suppress it as much as he can, for when any one of you yawns, the Shaytaan laughs at him.”