Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

hiyo sijaisikia umri wangu nikiwa muislamu tena msomi al azhar misri sijawahi kuona au kusoma mungu anataka watu wafanye dhambi mtasingizia dini ya haki kila ainaya maneno naomba aya katika qur'aan inayosema mungu anataka watu wafanye dhambi ukishindwa kunipa mama yako nitamuoa

Kuna Hadith hiyo hapo hapo ulipo-comment msomi. Reference IPO hapo hapo, au umegoma kuielewa.
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!

Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!

Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?

Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Ukristo nao unafeli Wapi? Askofu kakobe anae mke, lakini wengine hawaruhusiwi. Vitu kama hivi kwa upande wa pili viko fixed, mnajua kabisa kama ni wanne basi wanne.
 
Gussie; kuwepo na padre mbakaji hakufanyi Ukristo uwe ni dini ya ubakaji. Ukristo (kama ulivyo Uislamu) haupimwi kwa matendo ya mtu binafsi bali maandiko yake yanaagiza nini.
Kwa mfano, usishangae kusikia wafanyakazi wa ndani wanawake wanabakwa huko Uarabuni maana Uislamu umehalalisha mwanaume kuwalala walio chini ya milki yake. Akifanya hivyo mtu anaejiita Mkristo basi atakuwa ameasi Ukristo.
1120318
 
Huyo Mungu 'yupo' unamjua kwa njia gani bila Dini kuwa 'yupo' !?
Sikia mkuu. Kuna chanzo cha huu ulimwengu, ndio tunachokiira mungu. Haya mambo mengine sijui kusali mara tano kwa siku ni mipango ya binadamu na si mungu kama wengi tunavyoaminishwa.
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
JIBU: EID NI SUNNAH SWAUM NI FARADHI FUNGA KWANZA SWAUM NDO UJE NA MASWALI YAKO.
 
Itapendeza ukinukuu hiyo mistari. Najua hata ulipotoa hicho ulichokileta.
Bring it on.
Kama unajua nilipotoa, why don't you going there and quote the lines yourself brother?
 
Kama unajua nilipotoa, why don't you going there and quote the lines yourself brother?

I wanted you to do it so that I get you busted. Ni rahisi sana kuielezea kilichoandikwa kwenye Bible (kwa kuwa kila kilichomo ni logical). On the contrary, Muhammad alitumia combination ya hadith za kale za kipagani na Kiyahudi (nyingine zikiwa ni folklores tu zilizokuwa zinatumika kufundisha watoto wa Kiyahudi au kupotosha watu wa mataifa i.e. wasio Wayahudi - ili kuzuia Jina la Mungu Jehovah lisitajwe bure) na akaziingiza kwenye Qur'an. Nyingi alizinukuu na/au kuzitafsiri visivyo (kumbuka mwanzoni alijaribu kuwafanya Wayahudi wamkubali kuwa ni mtume wa mwisho lakini makosa katika kuzielezea hizo hadith alizokopi ziliwafanya Wayahudi wamuone ni mzushi tu).
Proof:
Aya za mwanzoni kwenye Qur'an zinawaongelea relatively positively Wayahudi na Wakristo (ambapo waislamu mnashauriwa kuwauliza watu wa kitabu endapo kuna Jambo linawatatiza) kulinganisha na za mwishoni (ambapo waislamu mnakatazwa hata kufanya urafiki nao).

Ulicholeta mwanzoni ni uzushi wa "scholars" wa Kiislamu kama kina Yusuf Estes na Zakir Naik. Naweza kukupa mifano mingi ambayo najua ushawahi kuisikia - na probably unaiamini - kama kusema Paulo alikuwa Mrumi (but he was a Jew) au Ukristo ulianzia Roma (usahihi ni kuwa ulianzia Jerusalem) etc etc.

Hitimisho na Ushauri:
Jaribu kuwa impartial, tafuta references na upime kila ulichoambiwa Vs ushahidi uliopo kulingana na references zilizopo. Soma Biblia (assuming umekuwa unasoma Qur'an) na vitabu vingine vya history. Kuna historians walioandika juu ya maisha ya kale ambao hawakuwa sehemu ya jamii husika, which means waliandika from a third-party perspective. Fuatilia hasa issues ambazo ni disturbing na zitafutie ushahidi zaidi (both for and against) na tumia akili ambazo Mwenyezi Mungu alikupa ili uitumie kumtumikia. I did and have never regretted.
All the best and may The Lord our God guide you.
 
Huku angola leo ndio eid kesho eid pili.....

Nasikia mpaka magogoni watoe kibali ndio eid inatangazwa
 
Kwani Uislamu ni Qur'an pekee? Hii ni Hadith na unaikana sasa kwa kuwa tu huwezi kuitetea. Haya; nakuletea aya kutoka Qur'an (na usije baadae ukaniletea Hadith ya kukanusha hiyo aya ya Qur'an maana kwa mujibu wako Hadith si za kutilia maanani isipokuwa say za Qur'an).

Kwa mujibu wa aya hii hapa chini; mtu akienda Corner Bar (au mahali popote pengine) akakubaliana na binti Muislamu wakagegedana hakuna dhambi bora tu mwanaume amlipe mwanamke walichokubaliana. Ni amri ya Allah.

SAHIH INTERNATIONAL
And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse. So for whatever you enjoy [of marriage] from them, give them their due compensation as an obligation. And there is no blame upon you for what you mutually agree to beyond the obligation. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.
(Surah An-Nisa 4:24)
Unaweka kiingereza kuwachanganya watu, unaweza kunieleza hiyo aya ina tatizo gani hapo? Aya hizo zinazungumzia mahali na ndoa na sio zinaa. Si vyema kuongea jambo usilolijua mkuu, ngoja nikupe aya mbili kabla na moja baada ya hiyo kwa kiswahili ili usipotoshe watu

4:22 - Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.


4:23 - Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.


"4:24 - NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima."Nisaa 4:24

4:25 - Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya kuolea wanawake wa kiungwana Waumini, na aoe katika vijakazi Waumini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa imani yenu. Nyinyi mmetokana wenyewe kwa wenyewe. Basi waoeni kwa idhini ya watu wao, na wapeni mahari yao kama ada, wawe wanawake wema, si makahaba wala si mahawara. Na wanapo olewa kisha wakafanya uchafu basi adhabu yao itakuwa ni nusu ya adhabu waliyo wekewa waungwana. Hayo ni kwa yule miongoni mwenu anaye ogopa kuingia katika zina. Na mkisubiri ndio bora kwenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu
 
Ni hapo nilipopa-bold.
Nadhani nati zako kwenye ubongo zimelegea kidogo sio bure. Aya inajieleza vzuri kabisa kuwa hapana kuzini, ni lazima kuoa kwa makubaliano maalumu ya mahari wewe unazungumzia makubaliano ya vichochoroni! Tangu lini mahari wanakubaliana vichochoroni? Je kuoa ni nini na utaratibu wake ukoje? Nadhani wewe una upungufu wa kufikiri au kuelewa
 
Unaweka kiingereza kuwachanganya watu, unaweza kunieleza hiyo aya ina tatizo gani hapo? Aya hizo zinazungumzia mahali na ndoa na sio zinaa. Si vyema kuongea jambo usilolijua mkuu, ngoja nikupe aya mbili kabla na moja baada ya hiyo kwa kiswahili ili usipotoshe watu

4:22 - Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.


4:23 - Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.


"4:24 - NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima."Nisaa 4:24

4:25 - Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya kuolea wanawake wa kiungwana Waumini, na aoe katika vijakazi Waumini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa imani yenu. Nyinyi mmetokana wenyewe kwa wenyewe. Basi waoeni kwa idhini ya watu wao, na wapeni mahari yao kama ada, wawe wanawake wema, si makahaba wala si mahawara. Na wanapo olewa kisha wakafanya uchafu basi adhabu yao itakuwa ni nusu ya adhabu waliyo wekewa waungwana. Hayo ni kwa yule miongoni mwenu anaye ogopa kuingia katika zina. Na mkisubiri ndio bora kwenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu

Hii yako ni tafsiri ya tafsiri ya tafsiri. Ukitaka kujua kitu kilichoandikwa zamani basi jitahidi ukisome kwa kutumia lugha tofauti. Mtafute mtu anaeongea Kiarabu uone kama kuna neno "mahari" kwenye hiyo aya. Kama ni kweli aya hiyo inaongelea habari ya mahari ina maana ndoa inaitwa mutah nikah kwa Kiarabu?

Hujanidanganya bado; kwa Kiarabu ndoa inaitwa marij
 
Nadhani nati zako kwenye ubongo zimelegea kidogo sio bure. Aya inajieleza vzuri kabisa kuwa hapana kuzini, ni lazima kuoa kwa makubaliano maalumu ya mahari wewe unazungumzia makubaliano ya vichochoroni! Tangu lini mahari wanakubaliana vichochoroni? Je kuoa ni nini na utaratibu wake ukoje? Nadhani wewe una upungufu wa kufikiri au kuelewa

Na tangu lini ndoa ikaitwa mutah nikah? Zinaa inatafsiriwa tofauti kwenye uislamu. Ndio msingi wa hoja yangu na kuna wenzio humu wamekiri kuwa:

1. Hakuna neno ubakaji katika uislamu
2. Mwanaume wa Kiislamu kumuingilia mtumwa wake/mtumishi wa ndani/mwanamke asie muislamu (awe anataka au la) ni halali kabisa katika uislamu. Na ndio asili ya wanawake wa Kiislamu kuamrishwa wavae hijabu (ili wanaume wa Kiislamu wawatofautishe na makundi niliyoyataja - kumbuka watumwa/watumishi wa ndani/wanawake wasio waislamu hawakuruhusiwa kuvaa hijabu). Sio kwamba haya mambo nayazusha; soma hapa (na tilia maanani kwenye bold).

In Surah 33:59 Muhammad is commanded to ask his family members and other Muslim women to wear outer garments when they go out, so that they are not harassed:[19]
O Prophet! Enjoin your wives, your daughters, and the wives of true believers that they should cast their outer garments over their persons (when abroad): That is most convenient, that they may be distinguished and not be harassed.
— Quran 33:59
The Islamic commentators generally agree this verse refers to sexual harassment of women of Medina. It is also seen to refer to a free woman, for which Tabari cites Ibn Abbas. Ibn Kathir states that the jilbab distinguishes free Muslim women from those of Jahiliyyah, so other men know they are free women and not slave-girls or whores, indicating covering oneself doesn't apply to non-Muslims.
 
Na tangu lini ndoa ikaitwa mutah nikah? Zinaa inatafsiriwa tofauti kwenye uislamu. Ndio msingi wa hoja yangu na kuna wenzio humu wamekiri kuwa:

1. Hakuna neno ubakaji katika uislamu
2. Mwanaume wa Kiislamu kumuingilia mtumwa wake/mtumishi wa ndani/mwanamke asie muislamu (awe anataka au la) ni halali kabisa katika uislamu. Na ndio asili ya wanawake wa Kiislamu kuamrishwa wavae hijabu (ili wanaume wa Kiislamu wawatofautishe na makundi niliyoyataja - kumbuka watumwa/watumishi wa ndani/wanawake wasio waislamu hawakuruhusiwa kuvaa hijabu). Sio kwamba haya mambo nayazusha; soma hapa (na tilia maanani kwenye bold).

In Surah 33:59 Muhammad is commanded to ask his family members and other Muslim women to wear outer garments when they go out, so that they are not harassed:[19]

The Islamic commentators generally agree this verse refers to sexual harassment of women of Medina. It is also seen to refer to a free woman, for which Tabari cites Ibn Abbas. Ibn Kathir states that the jilbab distinguishes free Muslim women from those of Jahiliyyah, so other men know they are free women and not slave-girls or whores, indicating covering oneself doesn't apply to non-Muslims.
Hoja yako haithibitishi ruksa ya kubaka. Quran inasema oeni pasipo kuzini, soma an nisaa 20 - 25 utaelewa suala la amri ya kuoa pasipo kuzini, na maana ya ndoa ni kuoa toka kwa wenye dhamana juu wale wanaowaoa. Quran iko wazi, hao wafasiri wanatofautiana sana katika baadhi ya maeneo na wengine wamepotoka katika kutafsiri hata wamepingwa na wanachuoni wenzao.
 
Hoja yako haithibitishi ruksa ya kubaka. Quran inasema oeni pasipo kuzini, soma an nisaa 20 - 25 utaelewa suala la amri ya kuoa pasipo kuzini, na maana ya ndoa ni kuoa toka kwa wenye dhamana juu wale wanaowaoa. Quran iko wazi, hao wafasiri wanatofautiana sana katika baadhi ya maeneo na wengine wamepotoka katika kutafsiri hata wamepingwa na wanachuoni wenzao.

Ndugu; nikuambie mara ngapi kuwa kwenye Uislamu neno "kubaka" halipo?
 
Sikia mkuu. Kuna chanzo cha huu ulimwengu, ndio tunachokiira mungu. Haya mambo mengine sijui kusali mara tano kwa siku ni mipango ya binadamu na si mungu kama wengi tunavyoaminishwa.
Hii elimu wewe umeijuaje kuwa huu ulimwengu una chanzo na chanzo ni Mungu pasipokuwa na dini yeyote !?
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!

Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!

Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?

Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Unabii unaanza kutimia [emoji123][emoji109]
IMG_20190608_113239_892.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom