Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Uislamu unafeli wapi? Imani moja ila msimamo haupo! Iddi lini?

Tunaona kanisani mkipuliziwa dawa za mbu, mkipewa yale maji meupe ya uzima, kwani wale mafundisho wanayotolea wapi?

Mbona wewe hukuleta reference ya kuonesha kuwa uislam umeruhusu kubaka?

Hilo la kubaka nimeshalitolea ufafanuzi kwenye moja ya posts zangu za mapema kabisa kwenye hii thread. Niliandika kuwa kwenye uislamu hakuna neno " ubakaji" maana like Wakristo tunachokiita kuwa ni ubakaji kimehalalishwa kwenye uislamu. Kwa mantiki hiyo kumuingilia mtumishi wa ndani, mtumwa au mwanamke "yeyote alie chini ya mamlaka" ya muislamu mwanaume ni halali kwa mujibu wa maandiko ya uislamu (Qur'an na Hadith).
Ama la watu kupuliziwa dawa kanisani na mambo mwingine yasiyofaa (na wengine hubakwa humo humo wakati mwingine) hakufanyi mtu aseme Ukristo unahalalisha hayo mambo. Ukristo unatambulishwa na maandiko yaliyomo kwenye Biblia hasa mafundisho kama yalivyotolewa na Bwana Yesu Kristo. Mtu anaejitambulisha kuwa yeye ni Mkristo lakini akafanya yaliyo kinyume na mafundisho ya Bwana Yesu Kristo atakuwa amekiuka huo Ukristo wenyewe.
Hali kadhalika, uislamu unatambulishwa na maandiko yake kama yalivyo kwenye Qur'an na Hadith, na wala sio kwa matendo au fikra za mtu au kikundi cha watu. Leo kuna watu wengi tu wanaojitambulisha kuwa ni waislamu lakini wanakula kitimoto kama mimi tu, lakini KAMWE hutonisikia nadai kuwa uislamu unaruhusu kula nyama ya nguruwe.

Umeelewa sasa?
 
Hilo la kubaka nimeshalitolea ufafanuzi kwenye moja ya posts zangu za mapema kabisa kwenye hii thread. Niliandika kuwa kwenye uislamu hakuna neno " ubakaji" maana like Wakristo tunachokiita kuwa ni ubakaji kimehalalishwa kwenye uislamu. Kwa mantiki hiyo kumuingilia mtumishi wa ndani, mtumwa au mwanamke "yeyote alie chini ya mamlaka" ya muislamu mwanaume ni halali kwa mujibu wa maandiko ya uislamu (Qur'an na Hadith).
Ama la watu kupuliziwa dawa kanisani na mambo mwingine yasiyofaa (na wengine hubakwa humo humo wakati mwingine) hakufanyi mtu aseme Ukristo unahalalisha hayo mambo. Ukristo unatambulishwa na maandiko yaliyomo kwenye Biblia hasa mafundisho kama yalivyotolewa na Bwana Yesu Kristo. Mtu anaejitambulisha kuwa yeye ni Mkristo lakini akafanya yaliyo kinyume na mafundisho ya Bwana Yesu Kristo atakuwa amekiuka huo Ukristo wenyewe.
Hali kadhalika, uislamu unatambulishwa na maandiko yake kama yalivyo kwenye Qur'an na Hadith, na wala sio kwa matendo au fikra za mtu au kikundi cha watu. Leo kuna watu wengi tu wanaojitambulisha kuwa ni waislamu lakini wanakula kitimoto kama mimi tu, lakini KAMWE hutonisikia nadai kuwa uislamu unaruhusu kula nyama ya nguruwe.

Umeelewa sasa?
Uislam hautafsiriwi kwa akili za kikiristo ambazo hazijielewi kabisa. Wakiristo kipi mnaita ubakaji? Na nini maana ya ubakaji?
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

🤣🤣🤣🤣
Mungu ni msamehevu, anajua wanadamu ni dhaifu kuanguka kwenye dhambi lakini anachokitaka ni kuomba msamaha kwake, siyo amsulubu mwanaye na amuue ili iwe kafara ya dhambi za wengine.
 
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!

Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!

Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?

Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Idi rasmi ni ile iliyotangazwa na Mufti Mkuu, Kwani Allah anasema mtiini Allah na mtiini mtume wake na wale waliyo na mamlaka juu yenu, ikiwa mufti mkuu katangaza kufunga au kufungua yeye ndiye mwenye kufuatwa. Na ikiwa wewe una mwenye mamlaka mwingine zaidi ya Mufti basi mfuate huyo.
Si kweli kuuona mwezi muandamo unaweza kuwa fixed, kwani unaweza ukapiga mahesabu ya kujua mundamo wa mwezi kwa hata miaka 100 lakini huwezi kufanya hayo mahesabu ya kujua kwa mawingu kutanda angani, na tumeambiwa tufunge kwa kuona mwezi na tufungue kwa kuuona mwezi kukipatikana na mawingu tukamilishe mwezi 30.
 
Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).

Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh! hii kiboko.
 
Mungu ni msamehevu, anajua wanadamu ni dhaifu kuanguka kwenye dhambi lakini anachokitaka ni kuomba msamaha kwake, siyo amsulubu mwanaye na amuue ili iwe kafara ya dhambi za wengine.

Kumtoa sadaka mwana wake tena wa pekee kunadhihirisha upendo wa ajabu alionao Mungu wetu Jehovah kwetu sisi wanadamu wenye dhambi (ukiwemo wewe) ili tupate ondoleo la dhambi. Hata Bwana Yesu mwenyewe alisema, "Sikuja kwa ajili ya wenye haki ila kwa wenye dhambi ili wapate kutubu'. Lakini la kushangaza ni huyo Allah wenu, ni mungu gani huyo anaemuua asietenda dhambi ili aumbe wenye dhambi?
 
Naam. Ila kwetu Sisi wanaume wa Wakristo haturuhusiwi hayo maneno, sisi ngono ni kwa mke tu. Tena mmoja tu.
Hata hao ni wake, ukilipa mahari (kiislaam mahari ni mali ya anae olewa ndio sheria) na ukaoa huyo anakuwa mke.
Hilo suala la mke mmoja ni la kupanga. Si sheria ya Mungu. Hakuna hata Nabii mmoja aliyekuwa na mke mmoja.
 
Sasa Yesu alitenda dhambi gani mpaka akawambwa mtini !?
Halafu ni wakati gani Yesu anakuwa munu na wakati gani anakuwa mwana wa mungu !?
Kumtoa sadaka mwana wake tena wa pekee kunadhihirisha upendo wa ajabu alionao Mungu wetu Jehovah kwetu sisi wanadamu wenye dhambi (ukiwemo wewe) ili tupate ondoleo la dhambi. Hata Bwana Yesu mwenyewe alisema, "Sikuja kwa ajili ya wenye haki ila kwa wenye dhambi ili wapate kutubu'. Lakini la kushangaza ni huyo Allah wenu, ni mungu gani huyo anaemuua asietenda dhambi ili aumbe wenye dhambi?
 
Gussie; kuwepo na padre mbakaji hakufanyi Ukristo uwe ni dini ya ubakaji. Ukristo (kama ulivyo Uislamu) haupimwi kwa matendo ya mtu binafsi bali maandiko yake yanaagiza nini.
Kwa mfano, usishangae kusikia wafanyakazi wa ndani wanawake wanabakwa huko Uarabuni maana Uislamu umehalalisha mwanaume kuwalala walio chini ya milki yake. Akifanya hivyo mtu anaejiita Mkristo basi atakuwa ameasi Ukristo.
Uislamu umeagiza hivyo sehemu gani??
 
Kumtoa sadaka mwana wake tena wa pekee kunadhihirisha upendo wa ajabu alionao Mungu wetu Jehovah kwetu sisi wanadamu wenye dhambi (ukiwemo wewe) ili tupate ondoleo la dhambi. Hata Bwana Yesu mwenyewe alisema, "Sikuja kwa ajili ya wenye haki ila kwa wenye dhambi ili wapate kutubu'. Lakini la kushangaza ni huyo Allah wenu, ni mungu gani huyo anaemuua asietenda dhambi ili aumbe wenye dhambi?
Ikiwa Mungu anawependa wenye kufanya dhambi na kutubu, kuliko wasiyofanya dhambi kabisa, kwa sababu ana sifa ya usamehevu, ili asamehe inabidi akosewe kama tunavyomkosea halafu tunatubu kwa kuomba msamaha kwake. Sasa kusingekuwa na wafanyao dhambi kwa imani yenu kwa nini Mungu amtoe sadaka mwanaye wa pekee kwa ajili ya dhambi zenu??? Kwa sifa ya Mungu ya usamehevu ndiyo maana sisi tunakosea na kuomba msamaha ili sifa yake ya usamehevu itimiye.
 
Sasa Yesu alitenda dhambi gani mpaka akawambwa mtini !?
Halafu ni wakati gani Yesu anakuwa munu na wakati gani anakuwa mwana wa mungu !?

Wewe unapomchinja kondoo au ngamia kama sadaka huyo mnyama anakuwa amekosa nini? Bwana Yesu hakufanya dhambi yeyote ila alitolewa awe sadaka ya kuteketezwa.
Bwana Yesu akiwa duniani kama binadamu alikuwa binadamu kweli lakini kabla hajaja kama binadamu na baada ya kupaa kwenda mbinguni alikuwa nafsi ya Mungu.
Umeelewa?
 
Ikiwa Mungu anawependa wenye kufanya dhambi na kutubu, kuliko wasiyofanya dhambi kabisa, kwa sababu ana sifa ya usamehevu, ili asamehe inabidi akosewe kama tunavyomkosea halafu tunatubu kwa kuomba msamaha kwake. Sasa kusingekuwa na wafanyao dhambi kwa imani yenu kwa nini Mungu amtoe sadaka mwanaye wa pekee kwa ajili ya dhambi zenu??? Kwa sifa ya Mungu ya usamehevu ndiyo maana sisi tunakosea na kuomba msamaha ili sifa yake ya usamehevu itimiye.

Sijaandika mahali popote wala sina maana kuwa kwenye imani yetu hawapo wasio na dhambi, la hasha! Wapo, tena wengi kweli kweli. Hata mimi huyu hapa si mkamilifu hata kidogo. Ndio maana Bwana Yesu Kriso alikuja.
 
Wewe unapomchinja kondoo au ngamia kama sadaka huyo mnyama anakuwa amekosa nini? Bwana Yesu hakufanya dhambi yeyote ila alitolewa awe sadaka ya kuteketezwa.
Bwana Yesu akiwa duniani kama binadamu alikuwa binadamu kweli lakini kabla hajaja kama binadamu na baada ya kupaa kwenda mbinguni alikuwa nafsi ya Mungu.
Umeelewa?
Kwahiyo mungu wenu akatoa sadaka ya mtu/mwanae ili ateketeze dhambi ambazo yeye ndiye mwenye uwezo wa kusamehe. Tena huyo anae teketezwa ni nafsi ya mungu ambaye akirudi mbinguni anakuwa mungu.
Kwahiyo wakiristo wakicheza kamari, wakinywa pombe, wakila riba, rushwa, ufisadi, kulawiti, kuzini, dhulma, uongo na kuabudu sanamu dhambi zote hizi kabeba Yesu !?
Hakika Qur'an inasema m'mepotea jumla !
 
Nionyeshe palipoandikwa kwenye Biblia kuhusu kunywa "maji ya uzima yatokayo kwenye uchi wa nabii" kama mimi nilivyokupa reference.

Na hakuwa Mungu Jehovah (wala Yesu) ninaemuabudu alieamrisha ulichokiandika hapa.
Wewe una Yesu na Yehova !?
 
Kwani Uislamu ni Qur'an pekee? Hii ni Hadith na unaikana sasa kwa kuwa tu huwezi kuitetea. Haya; nakuletea aya kutoka Qur'an (na usije baadae ukaniletea Hadith ya kukanusha hiyo aya ya Qur'an maana kwa mujibu wako Hadith si za kutilia maanani isipokuwa say za Qur'an).

Kwa mujibu wa aya hii hapa chini; mtu akienda Corner Bar (au mahali popote pengine) akakubaliana na binti Muislamu wakagegedana hakuna dhambi bora tu mwanaume amlipe mwanamke walichokubaliana. Ni amri ya Allah.

SAHIH INTERNATIONAL
And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse. So for whatever you enjoy [of marriage] from them, give them their due compensation as an obligation. And there is no blame upon you for what you mutually agree to beyond the obligation. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.
(Surah An-nisaa 24)

Unaweka kiingereza kuwachanganya watu, unaweza kunieleza hiyo aya ina tatizo gani hapo? Aya hizo zinazungumzia mahali na ndoa na sio zinaa. Si vyema kuongea jambo usilolijua mkuu, ngoja nikupe aya mbili kabla na moja baada ya hiyo kwa kiswahili ili usipotoshe watu

4:22 - Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.


4:23 - Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.


"4:24 - NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima."Nisaa 4:24

4:25 - Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya kuolea wanawake wa kiungwana Waumini, na aoe katika vijakazi Waumini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa imani yenu. Nyinyi mmetokana wenyewe kwa wenyewe. Basi waoeni kwa idhini ya watu wao, na wapeni mahari yao kama ada, wawe wanawake wema, si makahaba wala si mahawara. Na wanapo olewa kisha wakafanya uchafu basi adhabu yao itakuwa ni nusu ya adhabu waliyo wekewa waungwana. Hayo ni kwa yule miongoni mwenu anaye ogopa kuingia katika zina. Na mkisubiri ndio bora kwenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe na Mwenye kurehemu
 
Sijaandika mahali popote wala sina maana kuwa kwenye imani yetu hawapo wasio na dhambi, la hasha! Wapo, tena wengi kweli kweli. Hata mimi huyu hapa si mkamilifu hata kidogo. Ndio maana Bwana Yesu Kriso alikuja.
Wewe si ndiye uliyeileta hadithi hii:-
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).
Sasa hujajua matini ya hii hadithi ni nini?
Wewe si mkamilifu kama ulivyosema na una dhambi, sasa lini unatarajia dhambi zako zitasamehewa na ilhali Yesu keshakufa kwa ajili ya dhambi zenu? au atasulubiwa tena na kuuliwa tena kwa ajili ya wanaotenda dhambi baada ya yeye kuondoka? au kifo chake ukikiamini basi fanya utakalo kwani dhambi zimeshafutwa?
 
Laana wakati ninanukuu Qur'an na Hadith za mtume? Siwezi kulaanika hata kidogo.
Unaokota okota ujinga unaleta humu hali ya kuwa hata huo ukiristo huujui !
Ingekuwa Yesu mungu wayahudi si ndio angekuwa mungu wao ! Sasa mbona wanamuita 'mwanaharamu' na hawana shughuli nae !?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom