Uislamu ni project ya wakatoliki

Uislamu ni project ya wakatoliki

We jamaa acha kuchanganya Aya za Biblia na Quran. Biblia haijazungumza kuhusu uislam. Mi sijakubali kwamba yohana kazaliwa na dini. Nasisitiza, mtu anazaliwa akiwa empty.
Wewe unasema Yohana hajazaliwa na dini ila Bibilia inasema Yohana amezaliwa akiwa na dini

Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Haiwezekani mtu azaliwe na roho mtakatifu akiwa ndani yake alafu awe mpagani

Mimi sifuati Mawazo yako Mimi nafuata maandiko ya Bibilia

Anaye Sema hapo ni Mungu na Wewe kupinga Maneno ya Mungu Mimi sishangai Kwa sababu wewe ni kafiri
 
Wewe unasema Yohana hajazaliwa na dini ila Bibilia inasema Yohana amezaliwa akiwa na dini

Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Haiwezekani mtu azaliwe na roho mtakatifu akiwa ndani yake alafu awe mpagani

Mimi sifuati Mawazo yako Mimi nafuata maandiko ya Bibilia

Anaye Sema hapo ni Mungu na Wewe kupinga Maneno ya Mungu Mimi sishangai Kwa sababu wewe ni kafiri
Kumbe na nyinyi waislam mnakubali kwamba Biblia ni Mungu ndo anayesema... Kitu nataka kujua hapo kwenye hiyo Aya ni kwamba, wapi hapo panaonyesha yohana ni muislam?
Kuzaliwa amejazwa roho mtakatifu ndo uislam?
 
Kumbe na nyinyi waislam mnakubali kwamba Biblia ni Mungu ndo anayesema... Kitu nataka kujua hapo kwenye hiyo Aya ni kwamba, wapi hapo panaonyesha yohana ni muislam?
Kuzaliwa amejazwa roho mtakatifu ndo uislam?

Yohana alikuwa Muislam na sio Yohana tu manabii wote wa Mungu walikuwa waislam

Kama wewe unao ushahidi kuwa Yohana alikuwa mkristo kama wewe weka hapa tuuone
 
Yohana alikuwa Muislam na sio Yohana tu manabii wote wa Mungu walikuwa waislam

Kama wewe unao ushahidi kuwa Yohana alikuwa mkristo kama wewe weka hapa tuuone
Kitu ambacho hujasema hadi sasa ni kwamba Aya hiyo ni kwa vipi imezungumzia uislam? Hadi sasa sioni ukijibu swali hilo.

Kitu unapaswa kuelewa ni kwamba hakuna uislam ambao umezungumzwa kwenye Biblia. Ila ukiungaunga Aya unaweza kujipa moyo na kudhani Biblia imeeleza kuhusu dini dhaifu ya kiislam.

Unasema yohana alikuwa muislam, onyesha sasa huo uislam wa yohana unabaki kuleta mambo ya roho mtakatifu. Nakuuliza roho mtakatifu ndo uislam unabaki kurukaruka tu.

Ok, Baki na Imani yako kuamini Yohana ni muislam.
 
Kwamba sijasoma uislamu? Mimi nimezaliwa kwenye family ya Uislamu nimesoma juzuu zote nina elimu ya lugha ya kiarabu, elimu ya majini ,fiqh ,

Nina elimu ya Uislamu kuliko hata MASHEIKH wako

Sikuukana uislamu kienyeji, ni ndani ya MSIKITI siku ya ijumaa ,moja ya maamuzi Bora kabisa nimewahi kufanya katika maisha yangu
Mkuu hii elimu ya majini kama bado ipo -- ije kuongeza nguvu huku kwenye no reforms no elections

Ombi la kipekee
 
Kwa karne nyingi, uhusiano kati ya Ukatoliki na Uislamu umekuwa wa mvutano na wakati mwingine wa ushirikiano wa ajabu. Madai ya aliyekuwa padri wa Kanisa Katoliki, Dr. Alberto Rivera, yameibua mjadala mzito kuhusu chanzo halisi cha Uislamu. Rivera alidai kuwa Vatican ilikuwa na mkono wa moja kwa moja katika kuanzisha dini ya Kiislamu, kama mpango wa kisiasa na kiroho wa muda mrefu wa Kanisa wa kupata udhibiti wa Mashariki ya Kati.

Madai ya Alberto Rivera Kuhusu Chanzo cha Uislamu

Katika mahojiano,Padre Rivera alieleza kuwa alipokuwa ndani ya Vatican, alifunuliwa kuhusu mpango wa siri wa kuunda dini mpya ya Kiarabu ili kuwapa Wakatoliki udhibiti wa Yerusalemu, kuwachochea Waarabu dhidi ya Wayahudi, na baadaye kuwaunganisha Waislamu na Wakatoliki kupitia heshima ya Mariamu. Rivera alisema:

“Vatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.”

Aliongeza kuwa Muhammad alifunzwa na wakristo wa mashariki waliokuwa na mwelekeo wa Roma, na hakuwa na ufahamu wa kina wa Injili bali alipewa mwelekeo wa kuanzisha dini inayompinga Kristo lakini inayohifadhi baadhi ya mafundisho ya Mariamu.

Historia inaonyesha kuwa Waarabu walikuwa na mahusiano na Wakristo kabla ya Uislamu. Mmoja wa watu waliokutana na Muhammad akiwa kijana ni mmonaki aitwaye Buhaira, ambaye alitambua “alama ya kinabii” kwa Muhammad na kumhimiza alindwe. Baadhi ya wachambuzi wa kihistoria wanasema Buhaira alikuwa na mafungamano na taasisi ya Kikristo ya Kirumi, au angalau alikuwa chini ya ushawishi wa Roma kupitia matawi ya Ukristo wa mashariki.

Katika maandiko ya Patrologia Latina, inaelezwa kuwa Kanisa Katoliki lilikuwa na misheni mbalimbali za siri zilizokuwa zikifanya kazi katika maeneo ya Mashariki, ikiwemo Arabia. Mapadri hawa walihubiri Mungu mmoja lakini waliepuka kulazimisha Injili kikamilifu, jambo ambalo linawiana na madai ya Rivera kwamba

“The Vatican only gave the Arabs partial truth and kept the rest hidden to form a controllable religious bloc.”

Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur’an, kinamtaja Mariamu kwa heshima ya kipekee, na anatajwa zaidi ya wanawake wote, hata kuliko kwenye Biblia. Muhammad anafundisha kuwa Mariamu alizaliwa bila dhambi, jambo ambalo linashabihiana sana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu

“Immaculate Conception”.

“And [mention] when the angels said, ‘O Mary, indeed God has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.’” (Qur’an 3:42)

Rivera alitumia hoja hii kama ushahidi wa kuwa Kanisa lilipandikiza ibada ya Mariamu ndani ya Uislamu kama chombo cha baadaye cha kuunganisha dini hizo mbili. Katika moja ya project zake alieleza

“This was the Vatican’s secret weapon: Mary. The Muslims would one day unite with Catholicism under her name.”

Zaidi ya hayo, Fatima mji wa Ureno ambako Bikira Maria aliripotiwa kuwatokea watoto mwaka 1917 umepewa jina sawa na binti wa Muhammad.

Hili linatajwa na wachambuzi wa historia ya dini ya kama hatua ya kimakusudi ya kuunganisha heshima ya Mariamu kati ya Wakatoliki na Waislamu.

Tukio la Fatima linatajwa sana na Wakatoliki, huku pia jina hilo likiwa na nafasi ya kipekee kwa Waislamu, na linazidi kuonesha muktadha wa Mariamu kama daraja la kidini kati ya dini hizo mbili.

Katika kitabu The Prophet cha Catholico Ahmed Zaki Yamani, imeandikwa kuwa maendeleo ya Uislamu katika karne ya 7 yalikuwa ya ajabu na yalikubalika haraka katika maeneo ya ki-Bizanti.

Padre Rivera alidai kuwa hili liliwezekana tu kwa sababu ya mkono wa Kanisa, likitumia Uislamu kama njia ya kudhibiti upanuzi wa Ukristo wa Kiprotestanti na Uyahudi katika Mashariki ya Kati. Anasema...

“The Pope realized he could use Islam as a sword against the Jews and the true Christians.” — Rivera.

Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassins cha Eric Jon Phelps, hata baada ya kuanzishwa kwa Jesuit karne nyingi baadaye, ushahidi wa ushirikiano wa siri kati ya Vatican na Uislamu uliendelea kuwepo kupitia mikutano ya kisiasa, misimamo ya pamoja dhidi ya Israeli, na ushawishi wa Mariamu.


Alexander Hislop, katika kitabu chake maarufu The Two Babylons, anaeleza kuhusu asili ya mafundisho ya kipagani yaliyofichwa ndani ya Ukatoliki,

inadaiwa kuwa wakati Papa alipokamatwa na maadui wa Kanisa, walikuta maneno ya Kiislamu (Shahada) yakiwa yameandikwa kwenye kiti cha enzi chake

“La ilaha illa Allah, Muhammadur Rasulullah”

maandishi haya yalikuwa sehemu ya usiri wa mafungamano ya kidini yaliyolenga kuunganisha dini kubwa za dunia kwa ajili ya lengo la kisiasa la Kanisa.


Heshima ya Mariamu katika Ukatoliki na Uislamu, na Mji wa Fatima

Uislamu unampa Mariamu (Maryam) heshima kubwa, hata kuliko Biblia yenyewe. Yeye ndiye mwanamke pekee aliyatajwa kwa jina ndani ya Qur’an, na sura nzima (Surah Maryam) imetengwa kwa ajili yake. Qur’an inaeleza:

“Na kumbuka waliposema Malaika: Ewe Mariamu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteua na amekutakasa, na amekuteua juu ya wanawake wote wa ulimwengu.” (Qur’an 3:42)

Hii inafanana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu Immaculate Conception, kwamba Mariamu alizaliwa bila dhambi ya asili na alibeba Yesu kwa usafi kamili wa kiroho.

Mjini Fatima, Ureno, ndiko ilikodaiwa kuwa Bikira Maria alimtokea msichana mmoja mwaka 1917. Tukio hili lilipewa umuhimu mkubwa sana na Vatican. Kinachovutia zaidi ni kwamba jina "Fatima" ni jina la binti wa Mtume Muhammad. Wachambuzi wa kiroho na historia wanaamini kuwa kuchaguliwa kwa mji huo na matokeo yake yalikuwa na lengo la kufanikisha uhusiano wa kihisia kati ya Waislamu na Wakatoliki kupitia Mariamu/Fatima, ikimaanisha kwamba ibada ya Mariamu inaweza kuwa daraja kati ya dini hizo mbili.


Katika karne ya 20 na 21, kumekuwa na matukio kadhaa ya kihistoria ambapo Mapapa wamekutana na viongozi wa Kiislamu, wakashiriki ibada pamoja na hata kuweka mikakati ya ushirikiano wa kidini.

Mwaka 2019, Papa Francis alizuru UAE na kusaini "Document on Human Fraternity" pamoja na Sheikh wa Al-Azhar. Huu ulikuwa mkutano wa kihistoria unaoonyesha jinsi viongozi wa Kidini kutoka Ukatoliki na Uislamu wanavyojenga daraja la ushirikiano, wakiweka mbele maadili ya amani, umoja, na haki za binadamu. Huu ni mfano wa juhudi za kukuza uelewa na mashauriano kati ya dini hizo mbili kubwa, ingawa bado kuna maswali na shaka kuhusu umoja wa kweli wa kidini.
Mbona hushangai Yesu kujua Taurati? Kuwa muungwana kwani hakuna mfanano kati ya Injili na Taurati?
 
1924 ni mwaka Quran imekusanywa iwe moja na mfalme Fuad wa misri ,mwaka 1985 ndio Saudia Arabia wakaikubali

Kabla ya hapo Quran ilikuwa tofauti tofauti ,ndio maana zilichomwq na kuundwa hii moja

Hii historia HUIJUI?
Mkuu una madini hatari, wewe ni Bishop au?
Ila naona una jina la Kiislamu, 😄😄
 
Nisichokijua nikipi hujui mwanzo wa vitu kabla ya kila kitu hata agano jipya kuwepo uislam ulikuwepo why kwasababu ndio dini ambayo mtoto wa ibrahim wa kwanza aliyetolewa bomani kwa baba yake baada ya Mungu kusema atolewe anatakiwa kuzaliwa mtoto kama mtoto wa ibram kwenye tumbo la sara ndio akafukuzwa akazaliwa issaka.

Hapo sasa huyo mtoto akatafuta Dini ingine ya kumuabudu Mungu sio hiyo ya babae kwa hasira kwa hiyo alipata majini yakamsaidia nakumuongoza katika uandikaji wa kurahani na vingine.

Akaanza kumuabudu Mungu kupitia hiyo dini yake . Akaoa nakuoa zaidi ya mke mmoja akakua katika dini yake mwenyewe alioanzisha yeye namama yake.

Sasa kama unasema eti ni wakatoliki zamani DINI iliyokuwepo ni ya wayaudi tu. Na haikuzaa uislamu ni huyo mwenyewe kupitia nguvu za majini ali tengeneza dini yake. So usijidanganye. Kwa kitu hujui......

Wakatoliki hawakuwepo wakati hii dini imeanzishwa ndio pale GAZA alijenga msikiti mkubwa. Wayahudi wanayo kanisa lao pale GAZA na wajukuu ws nje wa Abrahamu ndio wapalestina.

Sasa Africa kama east western south waliletewa tu hii dini sio kwamba wanaijua . Soma historia wewe kengee na vitabu vingine uelewe .

Warabu ambao wengi ni saudi arabia ,ppalestina,hata misri hao ni wajukuu ,vilembwe wa aibraham kwa mtoto wa kwanzaa
Una uhakika Wapalestina ni uzao wa Ibrahim?
 
Mbona wasomi wa Taurati walimkamata kama wewe unavyo ikataa Quran
Wapi uliothibitisha walikuwa wasomi wa torati? Yesu aliwachana live kuwa hawajui maandiko


Quran usiweke kwenye mizani na hivo vitabu ni kuvunja heshima ya torati

Quran ni kitabu kimeundwa na wahuni wachache hapo Al Azhar University mwaka 1924 kwa usimamizi wa Mfalme Fuad

Someni historia , ndio maana hata Saudi Arabia alipotekea mudi hawana matini ya Uthman,Bali wanategemea hii Quran ya hafs iliyoundwa na wahuni wachache
 
Naomba wasifu wa Huyo Yahwee katika Biblia
YHWH linajulikana kama Tetragrammaton, yaani herufi nne za Kiebrania: י (Yod), ה (He), ו (Waw), ה (He).

Tafsiri ya jina hili kwa Kiebrania inahusishwa na kitenzi "kuwepo", hivyo humaanisha “Yeye aliyepo, aliyekuwepo, na atakayekuwapo” (Kutoka 3:14).

Kwa sababu ya utakatifu wa jina hili, Wayahudi wengi walikwepa kulitamka na badala yake walitumia maneno kama Adonai (Bwana) au HaShem (Jina).

Yahweh ndiye Muumba wa mbingu na dunia (Mwanzo 1).

Anajulikana kama Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.

Ndiye aliyejifunua kwa Musa katika kichaka kilichowaka moto na kumwambia: “Mimi ni Niliye” (Kutoka 3:13-15).

Mtakatifu kabisa (Isaya 6:3)

Mwenye huruma na neema, si mwepesi wa hasira (Kutoka 34:6).

Mwaminifu kwa agano lake, husimamia ahadi zake kwa kizazi hata kizazi.

Mwenye haki, ambaye hachukulii dhambi kwa uzito mdogo.

Mungu wa wivu, anayechukia ibada ya sanamu (Kutoka 20:5).

Yahweh alifanya agano na Waisraeli kupitia Musa kwenye Mlima Sinai.

Anahitaji haki, rehema, na uaminifu kutoka kwa watu wake (Mika 6:8).

Anawabariki wale wanaomtii na kuwaadhibu wanaomwasi, kama inavyoonekana katika historia ya Waisraeli.

Yahweh anajitambulisha kuwa Mungu mmoja wa kweli, tofauti na miungu ya kipagani (Kumbukumbu la Torati 6:4).
 
Ndioo upande wa ismaeli mtoto wanje wa ibrahim hamfuatili historia ismaeli ndio kajenga ule msikiti pale gaza
Ibrahim wakati anatoka Mesopotamia kwenda nchi ya Kaanani aliwakuta kwenye ile nchi Wakanani na Wafilisti (Wapalestina)
Walikuwepo iwe leo hii usema Wapalestina ni uzao wa Ibrahim?
 

Attachments

  • Screenshot_20250510_231257_Chrome.jpg
    Screenshot_20250510_231257_Chrome.jpg
    330.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20250510_231245_Chrome.jpg
    Screenshot_20250510_231245_Chrome.jpg
    300 KB · Views: 13
Kitu ambacho hujasema hadi sasa ni kwamba Aya hiyo ni kwa vipi imezungumzia uislam? Hadi sasa sioni ukijibu swali hilo.

Kitu unapaswa kuelewa ni kwamba hakuna uislam ambao umezungumzwa kwenye Biblia. Ila ukiungaunga Aya unaweza kujipa moyo na kudhani Biblia imeeleza kuhusu dini dhaifu ya kiislam.

Unasema yohana alikuwa muislam, onyesha sasa huo uislam wa yohana unabaki kuleta mambo ya roho mtakatifu. Nakuuliza roho mtakatifu ndo uislam unabaki kurukaruka tu.

Ok, Baki na Imani yako kuamini Yohana ni muislam.
Wewe uwezo wako wa kuelewa ni mdogo sana lakini kwakuwa nimeamua nikufundishe acha tu niendelee kufundisha

Hilo andiko la Luka nilikuonyesha Baada ya wewe kusema binadamu hatuzaliwi na dini Yani ukipinga andiko la Quran kuwa watu wote wanazaliwa wakiwa waislam

Hilo andiko la Luka linasema Yohana alijazwa roho mtakatifu tokea akiwa tumboni Kwa mama yake kwahiyo Yahona anazaliwa akiwa na roho mtakatifu

Nikakwambia hili andiko linathibisha kuwa Yohana amezaliwa akiwa na dini maana haiwezekani Yohana azaliwe huku roho mtakatifu akiwa ndani yake alafu awe mpagani

Swali likabaki Yohana amezaliwa akiwa na dini JE hiyo dini ni ipi ?

Mimi nikakwambia hiyo Dini ni uislam ila wewe kama unabisha weka ushahidi wako kuwa Yohana alikuwa mkristo kama wewe
Huo ushahidi haujaweka na sio wewe tu wakusanyike wachungaji wote Duniani hawawezi kuwa na ushahidi kuwa dini ya Yohana ni ukristo

Labda utajiuliza kwanini nimetoa andiko la Luka?

Nimetoa hilo andiko Kwa sababu lipo katika kitabu ambacho wewe unakiamini na hiyo story hapo ya Zakaria na mwanawe Yohana haijachakachuliwa sana inafanana na iliyopo ndani ya Quran
Ndani ya Quran Yohana anaitwa Yahaya

Quran 3:38
Pale pale Zakariya akamwomba Mola wake Mlezi, akasema: Mola wangu Mlezi! Nipe kutoka kwako uzao mwema. Wewe ndiye unaye sikia maombi.
Quran 3:39
Alipo kuwa kasimama chumbani akisali, Malaika kamnadia: Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria Yahya, ataye kuwa mwenye kusadikisha neno litokalo kwa Mwenyezi Mungu, na ni bwana na mt'awa na Nabii kwa watu wema.

Nabii Yohana pamoja na baba yake nabii Zakaria wote walikuwa waislam

Kama wewe unao ushahidi kuwa walikuwa wagalatia kama wewe weka hapa tuuone
 
Back
Top Bottom