Uislamu ni project ya wakatoliki

Uislamu ni project ya wakatoliki

We mzee tunapojadili achana na maneno haya, "uwezo wako wa kufikiri ni mdogo"

We unajionaje?

Ikiwa unaamini mtu anazaliwa na dini, hapo tuseme nini kuhusu uwezo huo wa kufikiri?

"Atajazwa roho mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye" hiyo ni dini? Aaaaaaaagh! Hiyo ni uislam? Hebu eleza vizuri ueleweke.

Hata hivyo anavyozaliwa huyo haimaniishi watu wote wanazaliwa hivyo...

Ikiwa unajiona una akili sana funguka uelewa wako kwenye hiyo Aya acha kurukaruka.
Kila mtu anajazwa roho akiwa tumboni
 
Mada ya kila asiku hiyo hiyo bahat nZuri mnabebwa na @modorator wa jf wengi wako ant Islam kwa sabb nyuzi kama hi ukileta kila wiki hawataiunganisha au kuifuta ila leta inao gusa dhehebu la RC sekude moja itafutwa, imagine mada hi ipaswi hata kukaa kwenye forum ya habari mchanganyiko ila itaachwa tu bila hata kuhamisahwa.
Pole kwa maumivu ra kichwa, kumbe uko upande wa mapepo
 
Back
Top Bottom