Uislamu ni project ya wakatoliki

Uislamu ni project ya wakatoliki

Swla la miaka sio ishu inaezekama kakosea lakini context ni ile ile!!mkatoliki ndio alianzisha uislam kabisa!!

Uislam Kwa mkatoliki sio threat kama uprotestant!!
mi sina neno mkuu -- 1924 ndo imenistaajabisha
 
mi sina neno mkuu -- 1924 ndo imenistaajabisha
1924 ni mwaka Quran imekusanywa iwe moja na mfalme Fuad wa misri ,mwaka 1985 ndio Saudia Arabia wakaikubali

Kabla ya hapo Quran ilikuwa tofauti tofauti ,ndio maana zilichomwq na kuundwa hii moja

Hii historia HUIJUI?
 
Luka 1:13
Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.
Luka 1:14
Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Andiko hilo hapo Yohana amezaliwa. Akiwa Muislam
Waislamu mna roho mtakatifu ?
 
1924 ni mwaka Quran imekusanywa iwe moja na mfalme Fuad wa misri ,mwaka 1985 ndio Saudia Arabia wakaikubali

Kabla ya hapo Quran ilikuwa tofauti tofauti ,ndio maana zilichomwq na kuundwa hii moja

Hii historia HUIJUI?
Uislamu ni dini ya juzi tu hapa

Quran imetengenezwa juzi tu hapo Al Azhar University mwaka 1924
mimi nimeisoma hii comment kama ilivo mkuu -- haikumake sense, wewe ni mtaalamu sana emu iangalie ina make sense?
 
mimi nimeisoma hii comment kama ilivo mkuu -- haikumake sense, wewe ni mtaalamu sana emu iangalie ina make sense?
Ndio Mimi ni mtaalamu wa historia,ndio maana nimekwambia karudi kasome historia

Quran unayoiona leo inaitwa hafs , imetengenezwa hapo misri kwenye chuo cha Al Azhar University,1924 ,kabla ya hapo kulikuwa na Quran tofauti tofauti na zilichomwa moto zote,
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ndio Mimi ni mtaalamu wa historia,ndio maana nimekwambia karudi kasome historia

Quran unayoiona leo inaitwa hafs , imetengenezwa hapo misri kwenye chuo cha Al Azhar University,1924 ,kabla ya hapo kulikuwa na Quran tofauti tofauti na zilichomwa moto zote,
nimekupata mkuu
 
Mada ya kila asiku hiyo hiyo bahat nZuri mnabebwa na @modorator wa jf wengi wako ant Islam kwa sabb nyuzi kama hi ukileta kila wiki hawataiunganisha au kuifuta ila leta inao gusa dhehebu la RC sekude moja itafutwa, imagine mada hi ipaswi hata kukaa kwenye forum ya habari mchanganyiko ila itaachwa tu bila hata kuhamisahwa.
povu la nini? Fahamu asili ya dini yako na kuwa mpole, ukweli ndio huo
 
Ndio Mimi ni mtaalamu wa historia,ndio maana nimekwambia karudi kasome historia

Quran unayoiona leo inaitwa hafs , imetengenezwa hapo misri kwenye chuo cha Al Azhar University,1924 ,kabla ya hapo kulikuwa na Quran tofauti tofauti na zilichomwa moto zote,
You must be joking
 
Hebu fafanua mkuu, sijaona uislam hapo pengine we umeona.

Nasema tena, mtoto anazaliwa empty hana chochote kinachohusiana na mafundisho ya Duniani.

Inamaana we jamaa kwa akili zako unahisi kuna jambo lolote linalohusu uislam limezungumzwa kwenye Biblia? Hebu kuwa serious achana na watu wanoungaunga aya. Biblia wakati inaandikwa hakukuwepo na kitu "uislam".

Kwenye hiyo Aya, uislam wa yohana upo wapi mbona sioni? Hebu eleza vizuri mkuu.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

Twende taratibu mwisho utanielewa

Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Kwa andiko hilo wewe unakubali kuwa Yohana amezaliwa na dini?
 
Roman empire iliukubali ukristo wakati gani? Maana wamekuja kuudandia ukristo huko mbeleni baada ya kuona mbinu zao za kuutuliza hazifanikiwi,,,,na ukristo ukakua zaidi kipindi cha Byzantine empire ambayo ilikua ni muendelezo wa roman empire japo makao makuu yalikua Uturuki na sio roma na mgawanyiko na orthodox ndo ulipoanzia hapo kuna watawala walitaka nguvu ya utawala pamoja na kanisa ubaki uturuki huku wengine wakitaka ubaki Roma, ukiongezea na sababu zingine ndo ukatokea huo mgawanyiko, na kila upande mashariki na magharibi hadi sasa kila upande unasema wao ndo waasisi, kwahio inategemea umepikwa kwenye propaganda za wamagharibi au mashariki,,,wa mashariki wanasema wao ndo kanisa la kweli la mwanzo huku kwa wamagharibi nao wanavutia mpira kwao......kwa Afrika ni lazima upikike kwa propaganda za wamagharibi maana makanisa kwa asilimia kubwa huku yaliingia kipindi cha ukoloni na yote yalikua ni branch za roman catholic au roman catholic wenyewe,,,,,hakuna kanisa la mashariki lililoshiriki kwenye ukoloni ndo maana propaganda zao hazijasambaa kama za wamagharibi
Nimekuelewa mkuu wewe umeulezea ukristo Kwa njia ya Historia za tawala mbalimbali na Mimi nilielezea ukristo Kwa njia ya Bibilia
 
KAMA ALLAH SIO MUNGU WA KIPAGANI, KWANINI BABA YAKE MUHAMMAD AMBAYE ALIKUWA MPAGANI ALIITWA ABDULLAH?

(Sahih Muslim, Book 001, Number 0398).

Imeripotiwa na Anas: Hakika, mtu mmoja alisema: Mjumbe wa Allah, baba yangu yuko wapi? Akasema: Yuko motoni. Alipogeka kuondoka, (Mtume mtakatifu) akamwita na kusema: Hakika baba yangu na baba yako wako Motoni.

Na swali ambalo tungependa wajiulize ni kuwa, kwa nini baba yake Muhammad, ambaye alikuwa mpagani aliitwa ‘Abdullah’?

Na kwa kuwa ‘Abdullah’ maana yake ni ‘mtumwa wa Allah’, hii ni ishara ya wazi kwamba wapagani wa kipindi cha jahiliyah walikuwa wakimwabudu Allah hadi kufikia kuwapa watoto wao majina kwa heshima ya Allah – kama ambavyo Wayahudi nao walikuwa wakiwapa watoto wao majina kwa heshima ya Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.

Kwa mfano:
Yoshua – Yahwe ni wokovu;
Yothamu – Yahwe ni mkamilifu;
Yehoahazi – Yahwe ameshikilia;
Hezekia – Yahwe ametia nguvu;
Elisha – Mungu ni wokovu, n.k.

Jibu liko wazi. Allah alikuwa ni mungu wa kipagani aliyeabudiwa kabla ya Uislamu kuja. Na mungu huyu alikuwa ni ‘mungu mwezi’, yaani ‘al-ilah’. Jina lake jingine aliitwa ‘hubal.’ Mungu huyu wa kipagani aliabudiwa kote.
Unauliza swali la kitoto sana. Hata wewe japo ni Kafiri lakini bado ni Mja wa Allah.

Makafiri wa Makkah walikuwa wanamjua Allah ni nani, na walipwekesha katika uumbaji na malezi ila wakamshirikisha katika ibada, yaani wakawa wanawaomba miungu yao kinyume na Allah.

Bali, pindi walipikuwa wakifikwa na madhila makubwa hasa katika safari zao za majini (kwa majahazi) walikuwa wanamtaka msaada Allah.

Ziada ni kuwa Abdullah maana yake ni Mja wa Allah.

Leo nilitaka nisome tu maoni ya wadau, maana umeandika maada ya uongo mpaka mtu unapata uvivu kujibu.
 
1924 ni mwaka Quran imekusanywa iwe moja na mfalme Fuad wa misri ,mwaka 1985 ndio Saudia Arabia wakaikubali

Kabla ya hapo Quran ilikuwa tofauti tofauti ,ndio maana zilichomwq na kuundwa hii moja

Hii historia HUIJUI?
Kuna mada kuhusu UISLAMU uliikimbia, naona huu ujinga unauleta tena na huku. Qur'aan imekusanywa tangu kipindi cha maswahaba.

Kuna vitu unachangganya, unachangganya Hati na Qur'an yenyewe.

Watu tuna mpaka Tafsiri za Qur'an za miaka elfu nyuma.

Shida Wakristo sio Wasomi na Wala hamfanyi utafiti, mnajichukulia chukulia tu mambo halafu mnayasambaza mwisho wa siku mnaleta vichekesho huku.
 
Kuna mada kuhusu UISLAMU uliikimbia, naona huu ujinga unauleta tena na huku. Qur'aan imekusanywa tangu kipindi cha maswahaba.

Kuna vitu unachangganya, unachangganya Hati na Qur'an yenyewe.

Watu tuna mpaka Tafsiri za Qur'an za miaka elfu nyuma.

Shida Wakristo sio Wasomi na Wala hamfanyi utafiti, mnajichukulia chukulia tu mambo halafu mnayasambaza mwisho wa siku mnaleta vichekesho huku.
Mm nikimbie mada ? Utakuwa unanifananisha , waislamu ndio hamna elimu kuhusu dini yenu maana mmedanganywa mengi
 
dawa gani hiyo? yani ww una nn na cha kunitibu mimi..soma historia yangu hapa JF ujue mimi ni nani. Huna maarifa hayo unayojidhania..kakojoe ukalale
Huna historia yoyote ,dawa ishakuingia
 
Kwa karne nyingi, uhusiano kati ya Ukatoliki na Uislamu umekuwa wa mvutano na wakati mwingine wa ushirikiano wa ajabu. Madai ya aliyekuwa padri wa Kanisa Katoliki, Dr. Alberto Rivera, yameibua mjadala mzito kuhusu chanzo halisi cha Uislamu. Rivera alidai kuwa Vatican ilikuwa na mkono wa moja kwa moja katika kuanzisha dini ya Kiislamu, kama mpango wa kisiasa na kiroho wa muda mrefu wa Kanisa wa kupata udhibiti wa Mashariki ya Kati.

Madai ya Alberto Rivera Kuhusu Chanzo cha Uislamu

Katika mahojiano,Padre Rivera alieleza kuwa alipokuwa ndani ya Vatican, alifunuliwa kuhusu mpango wa siri wa kuunda dini mpya ya Kiarabu ili kuwapa Wakatoliki udhibiti wa Yerusalemu, kuwachochea Waarabu dhidi ya Wayahudi, na baadaye kuwaunganisha Waislamu na Wakatoliki kupitia heshima ya Mariamu. Rivera alisema:

“Vatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.”

Aliongeza kuwa Muhammad alifunzwa na wakristo wa mashariki waliokuwa na mwelekeo wa Roma, na hakuwa na ufahamu wa kina wa Injili bali alipewa mwelekeo wa kuanzisha dini inayompinga Kristo lakini inayohifadhi baadhi ya mafundisho ya Mariamu.

Historia inaonyesha kuwa Waarabu walikuwa na mahusiano na Wakristo kabla ya Uislamu. Mmoja wa watu waliokutana na Muhammad akiwa kijana ni mmonaki aitwaye Buhaira, ambaye alitambua “alama ya kinabii” kwa Muhammad na kumhimiza alindwe. Baadhi ya wachambuzi wa kihistoria wanasema Buhaira alikuwa na mafungamano na taasisi ya Kikristo ya Kirumi, au angalau alikuwa chini ya ushawishi wa Roma kupitia matawi ya Ukristo wa mashariki.

Katika maandiko ya Patrologia Latina, inaelezwa kuwa Kanisa Katoliki lilikuwa na misheni mbalimbali za siri zilizokuwa zikifanya kazi katika maeneo ya Mashariki, ikiwemo Arabia. Mapadri hawa walihubiri Mungu mmoja lakini waliepuka kulazimisha Injili kikamilifu, jambo ambalo linawiana na madai ya Rivera kwamba

“The Vatican only gave the Arabs partial truth and kept the rest hidden to form a controllable religious bloc.”

Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur’an, kinamtaja Mariamu kwa heshima ya kipekee, na anatajwa zaidi ya wanawake wote, hata kuliko kwenye Biblia. Muhammad anafundisha kuwa Mariamu alizaliwa bila dhambi, jambo ambalo linashabihiana sana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu

“Immaculate Conception”.

“And [mention] when the angels said, ‘O Mary, indeed God has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.’” (Qur’an 3:42)

Rivera alitumia hoja hii kama ushahidi wa kuwa Kanisa lilipandikiza ibada ya Mariamu ndani ya Uislamu kama chombo cha baadaye cha kuunganisha dini hizo mbili. Katika moja ya project zake alieleza

“This was the Vatican’s secret weapon: Mary. The Muslims would one day unite with Catholicism under her name.”

Zaidi ya hayo, Fatima mji wa Ureno ambako Bikira Maria aliripotiwa kuwatokea watoto mwaka 1917 umepewa jina sawa na binti wa Muhammad.

Hili linatajwa na wachambuzi wa historia ya dini ya kama hatua ya kimakusudi ya kuunganisha heshima ya Mariamu kati ya Wakatoliki na Waislamu.

Tukio la Fatima linatajwa sana na Wakatoliki, huku pia jina hilo likiwa na nafasi ya kipekee kwa Waislamu, na linazidi kuonesha muktadha wa Mariamu kama daraja la kidini kati ya dini hizo mbili.

Katika kitabu The Prophet cha Catholico Ahmed Zaki Yamani, imeandikwa kuwa maendeleo ya Uislamu katika karne ya 7 yalikuwa ya ajabu na yalikubalika haraka katika maeneo ya ki-Bizanti.

Padre Rivera alidai kuwa hili liliwezekana tu kwa sababu ya mkono wa Kanisa, likitumia Uislamu kama njia ya kudhibiti upanuzi wa Ukristo wa Kiprotestanti na Uyahudi katika Mashariki ya Kati. Anasema...

“The Pope realized he could use Islam as a sword against the Jews and the true Christians.” — Rivera.

Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassins cha Eric Jon Phelps, hata baada ya kuanzishwa kwa Jesuit karne nyingi baadaye, ushahidi wa ushirikiano wa siri kati ya Vatican na Uislamu uliendelea kuwepo kupitia mikutano ya kisiasa, misimamo ya pamoja dhidi ya Israeli, na ushawishi wa Mariamu.


Alexander Hislop, katika kitabu chake maarufu The Two Babylons, anaeleza kuhusu asili ya mafundisho ya kipagani yaliyofichwa ndani ya Ukatoliki,

inadaiwa kuwa wakati Papa alipokamatwa na maadui wa Kanisa, walikuta maneno ya Kiislamu (Shahada) yakiwa yameandikwa kwenye kiti cha enzi chake

“La ilaha illa Allah, Muhammadur Rasulullah”

maandishi haya yalikuwa sehemu ya usiri wa mafungamano ya kidini yaliyolenga kuunganisha dini kubwa za dunia kwa ajili ya lengo la kisiasa la Kanisa.


Heshima ya Mariamu katika Ukatoliki na Uislamu, na Mji wa Fatima

Uislamu unampa Mariamu (Maryam) heshima kubwa, hata kuliko Biblia yenyewe. Yeye ndiye mwanamke pekee aliyatajwa kwa jina ndani ya Qur’an, na sura nzima (Surah Maryam) imetengwa kwa ajili yake. Qur’an inaeleza:

“Na kumbuka waliposema Malaika: Ewe Mariamu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteua na amekutakasa, na amekuteua juu ya wanawake wote wa ulimwengu.” (Qur’an 3:42)

Hii inafanana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu Immaculate Conception, kwamba Mariamu alizaliwa bila dhambi ya asili na alibeba Yesu kwa usafi kamili wa kiroho.

Mjini Fatima, Ureno, ndiko ilikodaiwa kuwa Bikira Maria alimtokea msichana mmoja mwaka 1917. Tukio hili lilipewa umuhimu mkubwa sana na Vatican. Kinachovutia zaidi ni kwamba jina "Fatima" ni jina la binti wa Mtume Muhammad. Wachambuzi wa kiroho na historia wanaamini kuwa kuchaguliwa kwa mji huo na matokeo yake yalikuwa na lengo la kufanikisha uhusiano wa kihisia kati ya Waislamu na Wakatoliki kupitia Mariamu/Fatima, ikimaanisha kwamba ibada ya Mariamu inaweza kuwa daraja kati ya dini hizo mbili.


Katika karne ya 20 na 21, kumekuwa na matukio kadhaa ya kihistoria ambapo Mapapa wamekutana na viongozi wa Kiislamu, wakashiriki ibada pamoja na hata kuweka mikakati ya ushirikiano wa kidini.

Mwaka 2019, Papa Francis alizuru UAE na kusaini "Document on Human Fraternity" pamoja na Sheikh wa Al-Azhar. Huu ulikuwa mkutano wa kihistoria unaoonyesha jinsi viongozi wa Kidini kutoka Ukatoliki na Uislamu wanavyojenga daraja la ushirikiano, wakiweka mbele maadili ya amani, umoja, na haki za binadamu. Huu ni mfano wa juhudi za kukuza uelewa na mashauriano kati ya dini hizo mbili kubwa, ingawa bado kuna maswali na shaka kuhusu umoja wa kweli wa kidini.

View: https://x.com/Acts17David/status/1919241421996863996
 
Back
Top Bottom