African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 783
- 1,358
Eti atashindwa 😃. Kuhusu backup Iran ana backup ya Russia na China.Mie naamini wakipigana Iran atashindwa, Israel ana back up ya maana zaidi.
Sasa Iran anasaidiwa vita na choka mbaya Lebanon, Syria na Yemen atatoboa kweli??.
We angalia hata juzi karusha madude kibao yametunguliwa karibu yote, ye akirushiwa kiasi kile itakuwaje?!.