Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mulibwanji...? Huku mambo yote ni yoriyori. Mfanyakaz mwenzangu amenishrikisha jambo lake na mpenzi wake wanayeishi nae sasa ni miez 7 imepita jana nilikuwa kwao kujua kulikoni shemeji anataka enda kwao kuna tatzo gani kwani, niliongea na kila mmoja private kisha tukafanya kikao cha pamoja, pamoja na kuzungumza na shemeji yng ili kutaka kujua kulikon alinijbu tu hakuna tatzo yeye na bwana ake na anampenda sn ila tu anataka aende nyumbani na waendelee kuwasliana tu. Jamaa ye anasema ameongea mpk na wa kwao kuhusu mwenzie mpk mama mkwe akawa anashangaa mtoto wake amepatwa na nn sasa ila shemeji anadai anaenda ksha atarudi. Sasa msimamo wa jamaa yng ni kwmb kama mpenz wake anaondoka bs iwe mazima kbs na mapenz yaishie hapo, shemeji ye anasema hayuko tyr waachane hata kdogo ila kikubwa aende kwanza nyumbani. Bnafsi nimemwambia jamaa yng awe makini pengne uyo mwanamke wake ana mshkaji huko kwao na wamekumbukana wanaenda kula kiporo huku akiwa amejihakikshia namba kwako huku kama iktokea uyo mshkaji wake haeleweki bs awe na uhakika wa kurudi tena ndo maana hataki waachane na waendelee kuwasliana. Na nimemwambia jamaa yng mwanamke wake hampendi ila ni maslahi tu. Je wakuu mnalionaje jambo hili na mnashauri nn?