Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu salama uko mliko? Nina miaka 2 npo huku kikaz bahati nzuri nilimkuta ndugu yng huku mtoto wa aunt yng ( rip ) nlifurahi kumkuta uku kama mwenyeji wng, ana mke na watoto wawili na ana kamchepuko sa huo mchepuko wake ulitokea kunizoea na kunishriksha mambo yake bnafs na mahusiano yake na ndugu yng nashauri inapobdi, sa kumbe mi sjui hli wala lile mdada yule akikaa na ndugu yng anamwambia mambo meng sn akdai nimesema mimi juz ndugu yng alinpgia cm aknilaumu mimi nimemwambia mtu eti yeye ndugu yng nae atakufa na ukimwi kama mama yake yan kama marehem aunt yng aisee nilijskia kulia kwa uchungu sn ukzngatia mi sina ujasiri wa kusema maneno mazto kama ayo tena kwa mtu baki tu uku mi sina rafk wa ukaribu kias cha kukaa nae kumwambia neno zto km ilo nilimuomb ndugu yng amuite uyo alomwambia tuweke kikao athibtishe kauli iyo ndugu yng amekataa eti ananiambia nikumbuke nlimwambia nani wkt hata sjawai sema iyo kaul ila ni ule mchepuko wake maana c mara ya kwanza kuambiwa maneno chanzo akiwa yeye. Mnashauri nn?