Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Kutaka kujua si rahisi tu? Mtu aibe unywele wa Freeman Mbowe na wa mtoto wa Nyerere. Kuzipeleka Maabara na kutaka kuthibitisha itakuwa kazi rahisi tu. Ehhh, sisemi sasa mkanyonyowe Freeman wa watu Nywele, damu au mate na hawa ndugu wa Nyerere ili mkapime DNA.
Nafikiri kuna Rais wa USA miaka ya utumwa alikuwa hana mke ila kijakazi wake Mweusi. Wajukuu wa yule kijakazi walikuja kupimwa DNA na familia nzima ikakubalika kuwa BABA/BABU yao ndiyo huyo alikuwa RAIS. Hi hiiii Freeman Nyerere.
Lakini wanasema Kuzaa si kazi, kazi kutunza. Milele atakuwa mtoto wa Mbowe.
Nafikiri kuna Rais wa USA miaka ya utumwa alikuwa hana mke ila kijakazi wake Mweusi. Wajukuu wa yule kijakazi walikuja kupimwa DNA na familia nzima ikakubalika kuwa BABA/BABU yao ndiyo huyo alikuwa RAIS. Hi hiiii Freeman Nyerere.
Lakini wanasema Kuzaa si kazi, kazi kutunza. Milele atakuwa mtoto wa Mbowe.