Ni ukweli kuwa wote mnaojadili hii mada hamkupata bahati ya kumwona baba yake Freeman. Mimi niliyepata bahati hiyo niwahakikishie katika watu waliofanana na baba zao kwa sura, umbo na calibre ni Freeman na Aikaeli Mbowe.
Hii mada ni nzuri kwa wambeya na watu wanaopenda kujadili watu badala ya kujadili issues. Anyway kama kuna Mmachame humu ndani atakubaliana nami kuwa watoto waliozaliwa nje ya ndoa hawarithi nyumba aliyokuwa akiishi baba na mama yake. Hii ni mila serious sana ya Wamachame. Freeman amerithishwa nyumba na wazazi wake kwa kuwa hakuna mashaka ya uzaliwa wake!
Watu wenye mtindio wa ubongo ndio wana tabia kama yako kuandika kashfa za watu na mienendo ya watu kwenye mambo binafsi. Hili uliloandika si sawa. Jiulize tu ili iweje kama siyo au ndiyo. Lakini mimi nimekuelewa lengo lako ni kudhalilisha watu wengine. Kama CCM vile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.