digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,574
- 2,292
Hii story kwa bongo ni sawa na mange anavyocheza na akili ya magu fool
hahaha yule ngoma ilimuua aise alikuwa bonge lakin alikonda sanaInasemwa hivo,but yeye mwenyewe alikataa sana,akasema kama vipi asubiri afe wampime
hahaha yule ngoma ilimuua aise alikuwa bonge lakin alikonda sanaInasemwa hivo,but yeye mwenyewe alikataa sana,akasema kama vipi asubiri afe wampime
pia kuna nyingne aliimba na tabu ley inaitwa ngungi sijui tafsir yakeKuna nyimbo ya franco na tabu ley ,wanasema "kinshasa makambo ngai mwana mutu," franco aliimba nyimbo kama 3 kulalamikia umbeya wa kinshasa ,nimejaribu kutuma nyimbo yake ya mwisho iliyorekodiwa 89 na kuachiwa miaka ya 90 ikagoma
pia kuna nyingne aliimba na tabu ley inaitwa ngungi sijui tafsir yakeKuna nyimbo ya franco na tabu ley ,wanasema "kinshasa makambo ngai mwana mutu," franco aliimba nyimbo kama 3 kulalamikia umbeya wa kinshasa ,nimejaribu kutuma nyimbo yake ya mwisho iliyorekodiwa 89 na kuachiwa miaka ya 90 ikagoma
pia kuna nyingne aliimba na tabu ley inaitwa ngungi sijui tafsir yakeKuna nyimbo ya franco na tabu ley ,wanasema "kinshasa makambo ngai mwana mutu," franco aliimba nyimbo kama 3 kulalamikia umbeya wa kinshasa ,nimejaribu kutuma nyimbo yake ya mwisho iliyorekodiwa 89 na kuachiwa miaka ya 90 ikagoma
labda kwakoHii story kwa bongo ni sawa na mange anavyocheza na akili ya magu fool
Mpongo alikua mzuri sana ni halali apate ngoma,hahaha yule ngoma ilimuua aise alikuwa bonge lakin alikonda sana
hawara yake mpongo love nay ngoma ilimuua mwaka 1994
Sijui kilingala but kuna web inaitwa lingala instute zipo tafsiri mle,ngoja nichekipia kuna nyingne aliimba na tabu ley inaitwa ngungi sijui tafsir yake
mkuu we unajua kilingala/French?
The lingala word ngungi means fly in english, but here in this song it means gossipers.pia kuna nyingne aliimba na tabu ley inaitwa ngungi sijui tafsir yake
mkuu we unajua kilingala/French?
Mke sifahamu,ila ninachojua franco alimuacha akaenda kwa ka binti fulani ,emongo naskia ndio mtoto pekee wa kiume wa franco ni kweli ?hivi mke wa Franco yupo?
ninafahamiama na mtoto wa Franco anaitwa Yves emongo luambo katika Facebook
Mario ni story ya kijana asiependa kutana kazi analelewa na wanawake;ndio mpaka leo wabongo mwanaume anayelelewa na mwanamke wanamuita Marioonyimbo zingine za Franco n
Mario (upo famous sana)
mamuu
muongo na mulozi
fabriss
toyeba yo etc
The great Franco na hawara wake Mpongo love walipishana mwaka mmoja kufa.hahaha yule ngoma ilimuua aise alikuwa bonge lakin alikonda sana
hawara yake mpongo love nay ngoma ilimuua mwaka 1994
Mkuu kama mtoto wake anaongea kiswahil au kiingereza ebu mshawishi ajiunge JF hata atupe kidogo tafsir ya baadhi ya ngomahivi mke wa Franco yupo?
ninafahamiama na mtoto wa Franco anaitwa Yves emongo luambo katika Facebook
Mkuu kama mtoto wake anaongea kiswahil au kiingereza ebu mshawishi ajiunge JF hata atupe kidogo tafsir ya baadhi ya ngomahivi mke wa Franco yupo?
ninafahamiama na mtoto wa Franco anaitwa Yves emongo luambo katika Facebook
Alikuwa mzuri hasaaa akifa bado akiwa kijana kabisa miaka (34)1956-1990.Mpongo alikua mzuri sana ni halali apate ngoma,