Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,648
- 3,807
hyo ya risasi kurudi yaweza kuwa chai aseeView attachment 721775 kaburi la mama yake mobutu,,liliandikwa kwa maandishi ya dhahabu,,baadà ya kupinduliwa wanajeshi walifika hapa ili kuiba mali,
Wakafyatua risasi kwenye kabuli la kaka yake mobutu ili kulibomoa wachukue dhahabu na madini mengine aliyozikwa nayo,risasi ilimrudia aliyefyatua ikamuingia kifuani,wenzie wakakimbia