hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 54,252
- 79,964
Naam Nakazia [emoji419][emoji419]Huyo jamaa hakupendi na kama ni penzi jipya na ushampa mnyanduo basi hapo hesabu imeisha
Naam Nakazia [emoji419][emoji419]Huyo jamaa hakupendi na kama ni penzi jipya na ushampa mnyanduo basi hapo hesabu imeisha
Analyst .. rafiki yangu amini tu kwamba itakuwa umempenda mpenzi wa mtu mwingine bila wewe kujua .. huyo jamaa ana mwanamke mwingine ambaye yeye anaona huyo ndiye mtu sahihi kwake so muda wake anampatia huyoNikipiga coz alisema yupo njiani kurudi home ..ilikua sa nane..nikawa natuma msg hajibu...nikapiga coz nikitaka kuonana nae...coz anasafiri kesho...anasema kuonana haikua kwenye ratiba yeye hawezi vunja ratiba zake.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...KHAAAAAAAAAAAA
Sasa hapa ndoa Mimi kwakweli itakuwa ngumu kufungwa...Mambo yashakuwa Magumu mwanzo kabisa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi naona kama manyoya vile, sijui wewe CA umeonaje!!!!
Katika mahusiano mtu akikuambia anataka uhuru, my friend......!
Yeah huu ndio ukweliDah sijajua bado unasubiri nini, kweli mapenzi ni upofu hapo naona kama umeachwa ila bado hujaambiwa, sasa ww subiria kuambiwa
Daaah [emoji1786][emoji1786][emoji23][emoji23][emoji848]Simu za usompenda huwa kero.
Happy new year my kaka. How have you been?Happy New Year my dada
Jikaze .. tatizo binaadamu huwa tunapenda kupewa taarifa zile ambazo zinatupendeza kuzisikia ... Lakini katika hii statement yako ukweli ndio huoNAJUTA kuweka bandiko humu...Amani yangu Kama inataka kutoweka hivi
Embu jaribu kunipenda mie kama tutaweza na.NAJUTA kuweka bandiko humu...Amani yangu Kama inataka kutoweka hivi
Yaan mpaka hapo ushakosea step tayari. Ingekuwa ni movie [emoji688] recording, ungengoja Take 2.Huwezi kuitisha upendo as if ni mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi kujadili hatma za hisa za makampuni yaoEmbu jaribu kunipenda mie kama tutaweza na.
Hapo kwenye kuchoose wisely sasa ndipo mtihani ulipo! Mie ndiyo maana nimeona bora nihangaike na maisha yangu tu sitaki kuhangaishana na mtoto wa mtu aise!Kumbe unajua eeh, ila uki choose wisely huwezi jikuta na mtu mpasuaji kichwa.
Hahahah kweli bana lets meet at the top 😍Hapo kwenye kuchoose wisely sasa ndipo mtihani ulipo! Mie ndiyo maana nimeona bora nihangaike na maisha yangu tu sitaki kuhangaishana na mtoto wa mtu aise!
Hahahah hii kiboko 😂😂😂Yaan mpaka hapo ushakosea step tayari. Ingekuwa ni movie [emoji688] recording, ungengoja Take 2.Huwezi kuitisha upendo as if ni mkutano wa Bodi ya Wakurugenzi kujadili hatma za hisa za makampuni yao
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Jamaa atakuja kukumwaga hutaamini. Safari hii utavaa chupi kichwani.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Ndo nachofanya na mimi kusoma baadhi. Japo natamani kuona alichokoment Heaven Sent na dada kantwe
Ngosha hanaga huruma[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ila we jamaa
[emoji1635][emoji1635]Hahahah kweli bana lets meet at the top [emoji7]