Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,397
- 191,503
Yule ndio alikuwa Mr. Right we umefall kwa baharia ukaacha msela safi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Yule wakufulia nguo jamani mnapenda Sana kunikumbusha...
Yule ndio alikuwa Mr. Right we umefall kwa baharia ukaacha msela safi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Yule wakufulia nguo jamani mnapenda Sana kunikumbusha...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eh komaa tu mzee, usikubali kushindwa tambua unawakilisha wanaume wa JF[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sisi tuling'ang'aniaga tu kama piston zinavyong'ang'aniaga kwenye block ila mwisho tulikubali yaishe tu. Ni swala la muda tu.
Milango iko wazi mrembo, jamaa nahisi alitumia cha mkongo huyu[emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]...Aiseee umeenda mbali Sanaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sisi tuling'ang'aniaga tu kama piston zinavyong'ang'aniaga kwenye block ila mwisho tulikubali yaishe tu. Ni swala la muda tu.
Milango iko wazi mrembo, jamaa nahisi alitumia cha mkongo huyu[emoji23]
Kuna mwimbo wa sauti Sol..unasema " I remember you refused to kiss me now you using my tooth brush"..Mahaba niue...niponde ponde kama nyanya...hadi nkose cha kufanyaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah hio kiboko, yani utumiege mswaki wa bebe.😂Kuna mwimbo wa sauti Sol..unasema " I remember you refused to kiss me now you using my tooth brush"..
Hayo mahaba naona itakuwa level..ambayo sijafika
Kwani vina mda basi 😝[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]...Aiseee umeenda mbali Sanaa...
Hahahah af V wewe una matatizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eh komaa tu mzee, usikubali kushindwa tambua unawakilisha wanaume wa JF
ila kwa jinsi umempenda mswaki unashea nae vizuri tuMh....Sijawai aiseeee
Mmh hapo hamna kitu, jiongeze tu aisee hizo red flag zinatoshaLabda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Doooh.....nitaongea nae kuhusu HiloHalafu wewe unaonekana jeuri kishenzi. Jamaa anakuzoom tu. Kama ni kweli ulichokielezea ni ukweli basi jiandae kwa maumivu ya karne.
Aliyekudanganya nani kuwa huu ndio mwisho wa bandiko? Subiri jamaa akutende kikwelikweli ndio akili itakusogea.Siamini mwanzo wa bandiko nilikua naliaa ..mwisho wa bandiko NAJICHEKESHA MWENYEWE...
Yaani hata kuvunga nimeshindwa... EMBARRASSING
Kashaliwa kimasihara huyu, mabaharia awaangalii sala tano wala majuba 😂😂😂Kwanza mkuu jamaa kashakula tunda au bado [emoji23]