Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Penzi la kuteswa huwaga lazma likolee maana hupindui hapo ndio maana umeamua kulia lia tu [emoji7]
Yaaani nashindwa elewa hata sikumbuki kupenda namna hii mtu.....
Jamani yaaani Nasikia Raha ..nakikarahishwa KIDOGO naumia sanaaaa
 
Wapenzi wakikosana ...chukua Jembe ukalime..wakipatana...chukua kapu ukavune
 
Sasa mie ndio nakupenda kuliko yeye, ila we huoni hilo! Mapenzi ya kitunguu maji hayo.[emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]...Mapenzi ya kitunguu maji mwisho Ni kilio TU..
Kwakweli hapa Sina namna..Kuna mawili Either niumie Sana au nifurahi Sana..

Kwasababu nimeshindwa zuia mahaba yangu kwake.... Nimejitahidi nimeshindwa
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]...Mapenzi ya kitunguu maji mwisho Ni kilio TU..
Kwakweli hapa Sina namna..Kuna mawili Either niumie Sana au nifurahi Sana..

Kwasababu nimeshindwa zuia mahaba yangu kwake.... Nimejitahidi nimeshindwa
We umia sana ukichoka njoo kwangu nikufurahishe 😍 nipo kwa ajili hiyo mrembo wangu! Huwa sina sifa ya kuliza watoto wa kike.
 
We umia sana ukichoka njoo kwangu nikufurahishe [emoji7] nipo kwa ajili hiyo mrembo wangu! Huwa sina sifa ya kuliza watoto wa kike.
[emoji1][emoji1][emoji1].. Sukari ya warembo
Tulizo kwa walio umizwa
 
Yani huo ulalamishi kwa mwanamke nayempenda inakuwa kama starter. Ntampa maneno malaini hadi ashindwe na kulegea.

Mwisho anabaki tu,,,"mmh kweli?"..."Siamini bana"...mmh kweli G?"..."Asante mume"

Siwezi kukwambia kata simu wakati nakuzimia.
Sawa bwana harusi, 'G'😅
 
Mtu akishajua unampenda umekwisha wallahi yaani atakupasua hilo bichwa

Kisha atakuzungusha kama mpiga picha na hakuna kitu utamfanya zaidi sana utajichatisha
Kumbe unajua eeh, ila uki choose wisely huwezi jikuta na mtu mpasuaji kichwa.
 
Jamaniii sitaki Mimi kumuacha ...No
😂😂😂😂😂 hata sisi tuling'ang'aniaga tu kama piston zinavyong'ang'aniaga kwenye block ila mwisho tulikubali yaishe tu. Ni swala la muda tu.

Milango iko wazi mrembo, jamaa nahisi alitumia cha mkongo huyu😂
 
Back
Top Bottom