Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Haiwezekani yote ujibu ila swali hili unalikwepa kwepa tu wakati lipo wazi n jibu lake jepesi tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Eti Mundede
Mkuu Etrovert Hebu niache KIDOGO...hilo swali Jibu lake SINA
 
Nikipiga coz alisema yupo njiani kurudi home ..ilikua sa nane..nikawa natuma msg hajibu...nikapiga coz nikitaka kuonana nae...coz anasafiri kesho...anasema kuonana haikua kwenye ratiba yeye hawezi vunja ratiba zake.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...KHAAAAAAAAAAAA

Sasa hapa ndoa Mimi kwakweli itakuwa ngumu kufungwa...Mambo yashakuwa Magumu mwanzo kabisa.
Daah mimi sijui nikoje ila kwa izi tabia navunja mahusiano mara moja . Nilisha mpenda mdada alikua mrembo sana kitu kilichomfanya ajiskie, ndo kila mara ananiambia yupo bize nikaona isiwe tabu sikumtafyta tena ila after kama miezi 3 akarudi kwa kasi ya ajabu nayeye ndo akawa msumbufu nikajua uko alikokua kaachika .

Trust me . Leave the table if respect is no longer saved.
 
Daah mimi sijui nikoje ila kwa izi tabia navunja mahusiano mara moja . Nilisha mpenda mdada alikua mrembo sana kitu kilichomfanya ajiskie, ndo kila mara ananiambia yupo bize nikaona isiwe tabu sikumtafyta tena ila after kama miezi 3 akarudi kwa kasi ya ajabu nayeye ndo akawa msumbufu nikajua uko alikokua kaachika .

Trust me . Leave the table if respect is no longer saved.
Hawa wanawake wa sasa inatakiwa asikuzoee zoee kabisa ndo mtaenda sawa na atakupenda kama ambavo mleta mada anavohaha sai

We mvute vute kiasi ukishajilia vyako badili mfumo asikukariri la sivyo atakuona father Theresa
 
Daah mimi sijui nikoje ila kwa izi tabia navunja mahusiano mara moja . Nilisha mpenda mdada alikua mrembo sana kitu kilichomfanya ajiskie, ndo kila mara ananiambia yupo bize nikaona isiwe tabu sikumtafyta tena ila after kama miezi 3 akarudi kwa kasi ya ajabu nayeye ndo akawa msumbufu nikajua uko alikokua kaachika .

Trust me . Leave the table if respect is no longer saved.
Wakiachikaga wanarudi kwa ukali kinoma 😂😂😂!!!
Ungempigisha jaramba tu nae apige mark time kwanza
 
Naam ni huo huo nikasema huyu hii bangi aliyovuta leo itakuwa amevuta hadi mizizi [emoji23][emoji23]

Shukrani mkuu all the best to you too [emoji4][emoji4]
[emoji28] Nilimeza hadi moshi,, sema kuna mambo mengine watu hua wanazingua labda wanakua wanafanya utani ila kama wapo serious kwa akili zile hata mtoto wa chekechea hawezi kufanya mambo ya kijinga kama yale..

*** Much thanks be blessed.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mapenzi Ni Ushenzi
Ni kweli kabisa lakini tutafanyaje sasa zaidi ya kupambana na hali zetu.. Can you live without love? I mean hivi kuna mtu anaweza kuishi maisha yake yote bila mpenzi? Au mahusiano, Achana na watu special kama mapadri, watawa n.k
 
Huyo alizidi aisee...ndio tabu ya ku date wanafunzi wa sekondari.
Sio wanafunzi hata watu wa kawaida wapo.. Mfano yeye hakua wakusoma.. Tatizo kubwa nadhani sio mapenzi ila ni wivu tu ndio unakua unawasumbua na wivu ni nature ya mtu anazaliwa nayo au anaupata kutokana na mazingira aliyonayo.
 
Back
Top Bottom