Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ngosha hanaga huruma[emoji23]
Jamaa akili zake anazijua mwenyewe
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ngosha hanaga huruma[emoji23]
Ila ndo ukweli mchungu. Thats whats next. Wanaanzaga hivyo2[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa akili zake anazijua mwenyewe
Hatujacommeht hata, ila jibu lipo wazi kabisaNdo nachofanya na mimi kusoma baadhi. Japo natamani kuona alichokoment Heaven Sent na dada kantwe
Upo sahihi.Mimi naona kama manyoya vile, sijui wewe CA umeonaje!!!!
Katika mahusiano mtu akikuambia anataka uhuru, my friend......!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simu za usompenda huwa kero.
Mwaka ushachakaa huu kaka shemeji.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Happy newyear
Hivi ukiwa nae anabehave vip? Simu za wengine anapokea?? How does he talk to others?[emoji1][emoji1][emoji1]
Huu mwaka uishe tuu tushauchoka.
Kaka shemeji namba yangu ya mpesa si unayo eeeh?Huu mwaka uishe tuu tushauchoka.
Njoo uchukue sistershem.
Hv mtu asipo kutafuta nawewe si humtafuti. Kwan lazima kutafutana?
Huu ni usanii na kama mpenzi wako anakuweka katika mtihani huu ni bora ukasepa tu mapema kwani anakuweka stand by ili afanye yake na siku akiwa dry ndiyo anakuwa na uhitaji nawe. Nasema sepa mapema usije kuumizwa.Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi
KWELI kabisa mkuuu... Nimejitafakari Sana...Nimejiona nimekuwa na pupa Sana...Hivi ukiwa nae anabehave vip? Simu za wengine anapokea?? How does he talk to others?
Wakati anakutongoza alikuwa anakukeep bize chatting au ndio amechange now??
Kama zime change now basi kuna kitu hajavutiwa na wewe au huenda anamwingine huko wa kumkeep bize.
I also advise you create mazingira ya yeye kukumiss wewe. Have some charts ambazo mtu atakuwa anamiss kuchat na wewe
Asipo kutafuta ukimtafuta chakwanza usianze kulalamika. Have some positive talks....mwana mlalamishi hukera
Haingaiko la kumpata anayekufaa < Haingaiko la kutokuwa nayeHapo kwenye kuchoose wisely sasa ndipo mtihani ulipo! Mie ndiyo maana nimeona bora nihangaike na maisha yangu tu sitaki kuhangaishana na mtoto wa mtu aise!
If you are in a true relationship, forget about true freedom.
Kama una mpenzi mmoja sawa. Ila kama wapo kadhaaa...Huu ndio ukweli.! Mimi mpenzi wangu silalamiki akinipigia ila tunajitahidigi sana tuzungunze kwenye simu at least mara tatu kwa siku, Asubuhi kabla sijaenda Job, Mchana wakati wa Lunch na jioni nikitoka Job. Hapo haiondoi kuchat..! Tunachat muda mwingi ..!
Asante mdogo wangu, nawe pia kila lenye heri liambatane nawe mwaka huu.Upo sahihi.
Heri ya mwaka mpya kaka.