Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Haingaiko la kumpata anayekufaa < Haingaiko la kutokuwa naye
Hiyo haiapply kwa kila mtu mkuu! Kwangu mimi being single and enjoying my own company is all i need!

By the way after God the next thing i worship is My FREEDOM! I just can't compromise on it for ANYTHING!

Kama mahusiano ndiyo yanataka hivyo anavyosema mtoa mada basi nitashindwa! Na ndiyo maana naona bora niwe single!
 
Hiyo haiapply kwa kila mtu mkuu! Kwangu mimi being single and enjoying my own company is all i need!

By the way after God the next thing i worship is My FREEDOM! I just can't compromise on it for ANYTHING!

Kama mahusiano ndiyo yanataka hivyo anavyosema mtoa mada basi nitashindwa! Na ndiyo maana naona bora niwe single!
One day yes. Siku ukipata sehem umependa kwa dhati you will not question your self about freedom.

Hujambo. Appy new year
 
Mtu akishajua unampenda umekwisha wallahi yaani atakupasua hilo bichwa

Kisha atakuzungusha kama mpiga picha na hakuna kitu utamfanya zaidi sana utajichatisha
Mapenzi yafanye kama starehe tu utaenjoy lakin ukiyafanya kama ndo maisha yako apo lazima yakupasue kichwa
 
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
Pole ! Naona yamekukuta .
Don't mind it will come to pass
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Your conclusion said it all
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Ni kwambie kitu...
Fanya usepe hapo unasubiri uambiwe hutakwi?
 
Mapenzi yafanye kama starehe tu utaenjoy lakin ukiyafanya kama ndo maisha yako apo lazima yakupasue kichwa
Hahaha watu wanakuambia mapenzi ndiyo maisha halafu wewe unawaambia wayafanye kama starehe tu? Hawatakuelewa mkuu!
 
Namini Nashangaaa...Uhuru upi yaani anautaka..wakufanya Nini..mpaka Mimi Simu zangu zimpunguzie huo Uhuru...

Huyu mwanaume Ni Mgumu Sana...yaani anamisimamo ya Ajabu Sana...hata ukisema nampeleka ndugu yangu hospital..anajibu HAYA....like hata kuuliza anaumwa Nini nalo hawezi...eti kwani Huyu ndungu yako Ni Wewe?
Give yourself a break
It's obvious you are not loved. However, there's such kind of forks are always cold and somehow ironic
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.

Polee Mkuu, Mi ni therapist by professional. Ila pia nina sifa kama zako ilq kitu kingine ninacho labda wewe huna mie nina Wivu aseee daah [emoji3][emoji3][emoji3] hadi sijui nifanyeje kudhibiti hii hali. Kama vipi hebu uje PM tujadili mawili matatu huenda ikakusaidia
 
Hapo kwenye kuchoose wisely sasa ndipo mtihani ulipo! Mie ndiyo maana nimeona bora nihangaike na maisha yangu tu sitaki kuhangaishana na mtoto wa mtu aise!
Kwahiyo bibie uko single kabisa ? Yaani single ile ile single kabisa ?

Aisee kuna vitu ni vigumu sana usingle siuwezi kabisa, sijui unaishije yaani unawezaje kuwa single ?
 
Kwahiyo bibie uko single kabisa ? Yaani single ile ile single kabisa ?

Aisee kuna vitu ni vigumu sana usingle siuwezi kabisa, sijui unaishije yaani unawezaje kuwa single ?
Ndiyo yaani niko single kabisa! Kila kitu ukiamua unaweza ni wewe tu!
Naomba kukuuliza mtu ukiwa single kwa muda mrefu how can you live without doing sex..? Cz binadamu aliyeumbwa akakamilika sex ni kama sehemu ya basic needs.

Au njia gani unaweza kutumia kutofanya hivyo muda wote hisia zikikujia.
 
Hakuna mapenz hapo ki
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
[/QUOTE
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..

Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwakweli nishaurini sielewi
Hupendw ww,hakuna ubussy kweny mapenz,kuna ng'ombe moja iliniletea haya nkaamua kupga chin,cwez ku sucrifce kwa mtu wkt yy hayuko tayari
 
Back
Top Bottom