Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Mimi Siwezi kaa siku nzima... kimya I am a caring person... What I give I expect... essential kwa mtu ambae alifanya kila namna kunihakikishia kuwa ananipenda...so I blindly believed him

Sijui why people do the things they do.. am baffled... Why should you go to Xtreme to show someone you love them but just to toy with their hearts.
Just to show that he is à Baharia in such 😂
 
Natoa TU dukuduku moyoni...HAIJAWAI TOKEA NIKADANGANYWA HIVI....hapa ukweli najua... Ninaumiaa TU rohoni yaani sana
Pole sana mama ila next time usiamini blindly, sio kila mwanaume ni muhuni! Tungekuwa pamoja now ila tatizo ulini ignore bure tu.
 
Mimi sipo hivyo... Naamka alfajiri kuswali namtumia msg.. anajibu akiamka.. nakusema anaenda kazini... Namtumia msg mchana labda SA saba...then akitoka...Kama anaangalia mpira akisema simtumii msg.. Kama anakutana na wasjkaji akisema Wala simsumbui...

Lakini Simu nampiigiaga usiku Mara nyingi sanne...anasema hua hasikii...Mara akilala anaweka vibration.
Jana kazima Simu SA tatu...usiku Hadi sa Moja nampigia simpati...

Ukilalamika anasema UNALALAMA Sana..kwani kafanya Nini Hadi nisimuamini.

Kama unampenda mpnz wako na mnagombana kutokupokea SIMU... atapikea na kusema nipo busy ..au atatuma msg kuwa Kuna Jambo nafanya... Sio kusema UNANYIMA UHURU...

Mawasiliano katika Mapenzi ndo yabuild Mapenzi... Na kujaliana na kuoneana huruma
Mawasiliano ndo Key, yakikosekana au kulegelega basi jua you are a few yards before breakup
 
Uhuru katika mahusiano ni muhimu sana, kabla ya kua katika mahusiano yenu kila mtu alikua na mambo yake na ratiba zake au aina yake fulani ya maisha aliyokua anaishi, ukiingia katika mahusiano zipo ambazo ratiba au aina fulani ya maisha itapungua lakini sio yote..

Mfano hai kwangu: niliwahi kua katika mahusiano na mwanamke mmoja hivi basi alikua anakaba hadi penati, atanichatisha na kunipigia simu muda wote, always tuwe karibu kama sio physical basi through simu (nadhani kwa akili yake alijua hayo ndio mapenzi lakini kwangu ilikua ni kero)

Kuna muda nakua bize na kazi, kuna muda naenda zangu kucheki mpira either taifa au ligi ya wenzetu (ligi kuu ya uingereza) sometimes inabidi nijichanganye na wana sasa huyo mwanamke ukimwambia tu unafanya moja kati ya haya ananuna, anaona ni kama humpendi kwake alikua na mindset ya 50%-50% kama anavyofanya vile basi na mimi nifanye hivo hivo hadi nikawa najiuliza mapenzi gani haya ya kuchekiana kila dakika as if umebandika maharage jikoni.

Kwa experience niliyoipata mtu huru namuona ni yule aliyepo single mbali na hapo ni uhuru wa bendera tu.
Huyo alizidi aisee...ndio tabu ya ku date wanafunzi wa sekondari.
 
Pole sana mama ila next time usiamini blindly, sio kila mwanaume ni muhuni! Tungekuwa pamoja now ila tatizo ulini ignore bure tu.
[emoji1][emoji1][emoji1].... Kwaiyo Wewe ndo Sio baharia eeh
 
Bora Wewe unampeti peti huyo mkeo...Mimi huko kupetiwa petiwa ndo nakutaka...lakini kumpeti peti mtu usiona umuhimu wake Ni kazi Sana...

unajua Kuna muda unaweza Seema tu siku hizi naona hunipendi...Jibu lake ushaanza lawama Kama HUNA la kuongea kata Simu[emoji44][emoji44][emoji44]

Dooh kumbe mtu unaTAKA TU kusikia maneno mazuri masikini...
Aisee mtu akikipenda ...hutumiii nguvu nyingi...yaani Mambo yanaflow TU.

Minimeona nlikua natumia nguvu nyingi saaaana..kutaka kumfahamu yeye Wala haangaiki...
Yani huo ulalamishi kwa mwanamke nayempenda inakuwa kama starter. Ntampa maneno malaini hadi ashindwe na kulegea.

Mwisho anabaki tu,,,"mmh kweli?"..."Siamini bana"...mmh kweli G?"..."Asante mume"

Siwezi kukwambia kata simu wakati nakuzimia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hili nililitarajia, na asubuhi nilikwambia, kila la kheri
Nikweli ulisema... Ndo hivyo
Roho imenijaa nahisi kupenda Sana...hata sielewi Jamani...
Doooh Itabidi niswali Istikhara
 
Back
Top Bottom