usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,978
- 14,100
Hilo n sahihi kabsa Leo keshoKwa hiyo hakuna mapenzi bila uongo [emoji16][emoji16][emoji16]
mm najua hivo nijuavyo
Tufanye t yameisha
Na amin hakuna mapenz bila uongo
[emoji16][emoji16]
Hilo n sahihi kabsa Leo keshoKwa hiyo hakuna mapenzi bila uongo [emoji16][emoji16][emoji16]
mm najua hivo nijuavyo
Tufanye t yameisha
Extrovert ni kocha anafahamu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Umetisha kwa maneno yako
Girl it's simple....leave!Mimi Siwezi kaa siku nzima... kimya I am a caring person... What I give I expect... essential kwa mtu ambae alifanya kila namna kunihakikishia kuwa ananipenda...so I blindly believed him
Sijui why people do the things they do.. am baffled... Why should you go to Xtreme to show someone you love them but just to toy with their hearts.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...... Nikae tayari tayari..Dalili ya mvua ni mawingu.Kuna sehemu nimekuja kunywa bia moja sasa nimeangalia angani ghafla naona mawingu yametanda,sijui hata home nitarudije.
𝐁𝐢𝐧𝐚𝐝𝐚𝐦𝐮 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐞 𝐚𝐭𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐲𝐚𝐤𝐰𝐞𝐩𝐚 𝐦𝐚𝐩𝐞𝐧𝐳𝐢 𝐡𝐮𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐚𝐤𝐚𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢
Kaa tayari tayari kwa mvua ya mawe![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...... Nikae tayari tayari..
Halafu mbona unaulizwa jamaa kesha kukula naona unarukaruka tu unakwepa kujibu. Kwani shida iko wapi ukijibu?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...... Nikae tayari tayari..
Hahahah pole sana aisee.Miezi michache iliopita nilipata mwanaume ana tabia za ovyo ovyo kama huyo, nikimpigia simu anakasirika na badae akipiga ni ugomvi tu hata lugha ya mahaba hana. Nilichagua tu kuendelea na maisha mengine yaani usikubali mtu akuhangaishe.
Hahahaha eti mbwa dah...jamaa angekusikia angekung'ata tuPole sana karembo, jipe thamani wewe Kwanza ndipo utaona huyo mtu hafai hata wewe kukuumiza namna hii
Mimi bhana nina dharau au sijui ndo kiburi sihangaikagi na mbwa aina hiyo uliyonayo,,
Hasa ukiwa na mtu anayekupenda in the same manner.Hatuna huo Muda wakukaa....chini..ameshasafiri kikazi..SIJUI KWELI SIJUI SIO KWELI... Ila Mimi nishaweka effort ... ambayo response imekuwa Negative.
So, nikiweka more pressure haitosaidia KITU...MAPENZI huwa yanaflow TU...hayaitaji nguvu nyingi
Hahahah kweli eehMTEME dunia yenyewe hatuishi milele wakati mwingine unaweza jinyima furaha ya kweli kwa fala mmoja hivi. Mi demu akinipenda huwa namheshimu na napokea simu zake muda wowote ule. Ni dharau kuacha kupokea simu ya mpenzi wako. Hakuna uhuru kwenye mapenzi ndio maana mnatiana.
Bembeleza ww acha ununda😂😂😂Hayo Mapenzi ya KUOMBA msamaha... Hujakosea siyawezi...kubembeleza tu bila sababu Siwezi..Mimi pia nahitaji kuoneshwa hayo Mapenzi...Siwezi toa TU bila kupokea.
Bora hata ungekuwa na mimi yani 😍 ila pole sana achana na hio sungura topeHata sisi pia usipompenda mtu Simu na sms zake Ni kero... Ila tatizo ALINIAMINISHA Sana kuwa ananipenda... Yaani SANA...kumbe LOOOH it was a lie
tukio sijui kwanini hataki kulitaja 😂Baada ya tukio gani ndo akasitisha kukuaminisha anakupenda?