Sorry Youuu.,..Mkuu Kama enzi hizi za JF...upo JF..Kwanini usimuulize Babu yako kabla ya internet walikuwa wanafanya Nini Ukafanye hayo badala ya kuingia JF.
Hivi kweli Enzi hizi za Simu niandike barua kumtumia.mpnz nikisubiria majibu baada ya wiki mbili...
Hebu FICHA ujinga wako Wewe MPUMBAFU...
Duuuh.... Waja hamuishi mambo
Mkuu mambo ya kipuuzi kwa jicho la nani? Huenda wewe unaona ni upuuzi lakini mwenzako yuko ok.Matatizo unayapimaje ? Kupoteza muda katika mambo ya kipuuzi siyo tatizo ? Kupoteza katika mambo yasiyo na faida na wewe si tatizo ? Au kwako wewe tatizo ni nini ?
ACHANA na mahabari yaliyopita hayana masaada kwa maisha yambeleni
Sasa namuuliza Ina maana Mimi hisia zangu hazina maana.... Akakaa kimy eti ongea ukimaliza kata SIMU[emoji44][emoji44][emoji44]Haitafanikiwa. Mtu anaejali huwa hata kwenye simu wangeweza jadili. Sasa mtu analalamika yeye anamwambia kama unapiga kulalamika kata simu, maana yake si hataki kujadili kero za bibie.
Hizo ni dharau. Na kuna vitu wewe utataka afanye kwa niaba yako ila yeye hatokuwa tayari kufanya kisha atakwambia yeye ndio yupo hivyo.....Hii kitu hata mimi nafanyaa na sijui nilianza vipi lakini sipendi mtu anaepiga simu mara nyingi au text nyingii ni mvivu kutumia simu.Text naweza kusoma kama ishu sio ya muhimu sijibu naendelea na kazi zangu hapa wengi nimeachana nao sasa na mimi ndo kasoro yangu eti mtu hawezi kuvumilia basi naonaga isiwe shida kila mtu achukue time yaan ata hujanifumania unataka tuachane nakubembelezaje hapo.
Unakata tamaa hata hujaiomba mkuu?Daaaa kuna watu wana bahati sana, ningeipata iyo bahati wallah ningenenepa wiki tu ila ndo nakosa sasa
Mimi sio mtoto Mkuu.... Hamna Mapenzi Mbayo hayana mawasiliano... Mawasiliano ndo msingi wa kujenga urafiki na ukaribu..
Hahahahah mule mule yani, ile milalamiko ni kama mbuzi analia mee kwenye line...Unaamua huokoti simu tu maana unajua kinachofuata ni kero tu maninx au unamuuliza ndio ushaanza eh af simu unaitia nyundo tu juu kwa juu.Unaiona simu kabisa na wala hauko busy ila unaona taabu kuipokea. Tena ndio apige aanze malalamiko , unaweza kumkatia simu aendelee kupiga kelele mwenyewe. Bibie ajiongeze tu.
Manzi yupo sema ana tabia kama za uyo jamaa anayezungumziwaUnakata tamaa hata hujaiomba mkuu?
Sam usimtese mrembo bana 😂😂😂 pokea simu zake alooh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], umenifuata hadi huku ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha nimecheka hadi nimepaliwa mate
Naanzaje kufunga PM kwa mfano , labda moods wameifunga Ila IPO wazi muda wotePM yako imefungwa..ningekueleza kinaga ubaga...HAPA SIWEZ ELEZEA SANA
95.5% [emoji1666]If you are in a true relationship, forget about true freedom.
Uhuru anaotaka nje ya wewe ni uhuru gani?Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi
Hapa unakosea...Siwezi enda mbele alafu NIKARUDI NYUMA..NOMA
Daima mbele Nyuma mwiko
Huyo ni Narcissist, utaumia sana kichwa kujaribu kumuelewa.Litakuwa KOPO aisee...alafu unamwambia mbona Wewe niselfish..anakwambia NDIO MIMI NI SELFISH ndo nilivyo[emoji849][emoji849][emoji849]...
lahaula....dooh people can Deceive Wallahi.