Kiingereza kinasaidia nini,wewe ni mtumwa wa fikra unayedhani uelewa wa mambo ni kujua kiingereza.
Watu wengi wajuzi na wataalamu wengi naofanya nao kazi wengi hawajui kiingereza, hata wakiongea ni broken tu,
Lakini ndiyo hao waliofanya Nyerere hydro power stations, kuonekana,
Wamefanya Standard gauge railway,ndiyo hiyo inafanya kazi,lakini pia architectures wengi wanaongea lugha za kwao lakini ndiyo hao wanasimamisha towers nyingi kwenye mataifa mengi.
Hoja yako ya kiingereza ni mfu nyie ndiye mmechangia pakubwa vitengo mbalimbali zimejaa watu wasio na ujuzi Kwa kuongea tu lugha isiyo na mantiki yeyote.
R.I.P Magufuli