Wanawake wengi wa Kiafrika hawajui kupenda

joseph2

Senior Member
May 31, 2015
188
356
Habari zenu Wana wa Jamii forum? Ni matumaini yangu kuwa wote mnaendelea vizuri na pirikapirika za utafutaji mkate wa kila siku.

Bila kupoteza muda Leo acha nitowe hoja ya kizushi. Wanawake wengi ila sio wote wa Kafrika au weusi kwa ujumla hawajui maana ya kupenda. Wengi wao wanaigiza kupenda ili wajikwamuwe kimaisha. Mwanamke wa Kiafrika akitaka kukuonyesha upendo sana sana atakununulia zawadi, hata yeye, akinunuliwa zawadi au akipewa pesa basi anajuwa anapendwa.

Wanawake wengi weusi wanajua kupendwa maana yake ni kupewa vitu au kuwa saidia kuwatoa kwenye umasikini. Mimi nayasema haya kutokana na uzoefu wangu wa kuwa na mausiano ya ki mapenzi na wanawake kutoka katika mabara matatu. Yaani kutoka Asia, North America na Europe. Yes wapo wanawake wachache wa Kiafrika kupenda kweli. Hata wanaume wengi wa Kiafrika wanajua kupenda nikuhudumia, na kutunza.


Baada ya kusoma comments za watu nimeona watu wengi wanataka kujuwa nini kifanyike ili wabadilike au wa jifuze kupenda kiuhalisia bila kuigiza. Kwanza kabisa sisi mwanadamu tuna uwezo wa kitu kimoja ambacho wanyama wengine wote Hawana. Kitu hicho kinaitwa freedom of choice. Au free will au uhuru wa kuchaguwa. Kila binadam anao uhuru wa kuchaguwa. Uhuru huo tume pewa na muumba wetu. Na hakuna kitu chochote chenye uwezo wa kuupoka. Binadam wabaya wanaweza kuupunguza ila sio kuuchukuwa wote, haiwezekani. Sasa basi mtu ili uweze kupenda kwanza unaanza kuipenda mwenyewe. Kuijipenda haimanishi kujinunuria vitu vizuri au kujifurahisha kwa kufanya anasa za kila Aina. Kujipenda maana yake ni kujitambuwa. Wewe ni nani bila kuhusisha vitu ulivyo navyo. Watu weusi kwa ujumla tulipoteza uwezo kujitambuwa kutokana na biashara utumwa na utawala wa kikoloni wa mda mlefu. Watu weusi bila kujari wanaishi wapi, hawajui thamani zao bila kuhusisha material wealth walio kuwa nayo. Mtu mweusi akiwa masikini haoni thamani yake yeye kama binadam. Hii inatokana na mafundisho yenye misingi ya utumwa na ukoloni. Kipindi cha utumwa watu weusi walikuwa wanauzwa kama bidhaa . Na thamani zao zilikuwa inatokana na uwezo kufanya kazi. Physical fitness. Vipindi vyote vya utumwa na ukoloni ili mtu mweusi aweze kuthaminiwa alitakiwa awe na Mali, au madaraka au vitu vyovyote vyenye thamani machoni machoni mwa wakoloni na wamiliki wa watumwa. Shida hata baada ya utumwa na ukoloni kuisha hakuna hatuwa zilizo chukuliwa kuifuta thanna ya utumwa na ukoloni kwenye taasisi za elimu na utawala. Hivyo hata wasomi hawezi kuondoa mind set za kiutumwa na kikoloni. Mtu anayejipenda kwanza anajipenda yeye mwenyewe kama alivyo. Na hufanya kila awezalo kukaa kama alivyo ubwa bila kubadili kitu. Yaani hujilinda kimwili na kiakiri kubaki original. Hilo ni la kwanza. Lapili mtu anaye jipenda hututenga mda wa kukaa peke yake na kutafakali ni kitu gani kina mfurahisha na kina mpa Amani. Yeye kama yeye bila kujari watu wengine wanasema je. Hiyo itakusaidia kujiwekea miiko na mipaka katika kila kitu afanyacho. Aliye jitambuwa hawezi kufanya vitu vya ujinga kama kupaka mkologo, hawezi kuipokea wala kutowa rushwa. Au kukubali kuhongwa kwa aina yoyote au kwa kusudi lolote. Unapo kubali kufanya kitu kwa sababu kupata kitu ambacho hukifanyia kazi au hukupaswa kupewa. Unakuwa umeidhurumu nafusi yako kitu mhim Sana. Yaani unapoteza free will yako. Unapoteza uwezo kufanya maamuzi sahihi yanayo endana nafusi yako.
 
Mtu kupenda real hakuwezi kuja huku bado ana mahitaji mengine ya kimwili so anatumia huo mwanya ku express her heart desire like expensive electronics stuffs,clothes,perfume,etc Mana unakuta hajawahi kuvipata ama kuwa navyo maishani. Mfano wanaoshobokea magari wamezaliaa kwao hata baiskeli hawana so wanawatamani wengine wanaoendesha magari.

Mfano ni kv mtt akazaliwa hajawahi kula nyama nyingi mpaka aiache so akiwa mkubwa lazima afanye icho kitu Mana hajawahi pata iyo experience ana feel scarcity, inadequacy in her heart,so anakuwa na gap katika moyo wake.

Anakuwa ana safa that's why anawahi shobokea Mali na pesa na vitu anapigwa mimba anaachwa solemba.


Ishu pia imekaa kisaikolojia. Am sure huwezi mkuta binti wa Obama ana ulimbukeni wa hizi Mambo ama mjukuu wa trump mfano apande ndege aposti mtandaoni Mana amekuwa akiipanda tokea utotoni ama akiwa kwa Babu yake baadaye kwa akiwa kiunoni mwa baba yake,akiwa mdogo mpaka saivi mkubwa anaipanda so nothing so special to him/her to show off.

Yaani watu wanaoposti achievement zao ni just to feel gap in their heart psychologically.


Ngoja nikuache na huku kipande hapa chini

Men who are deeply unhappy in life often display these 10 behaviors (without realizing it)

There’s a fine line between being unhappy and not realizing it. Often, men mask their deep-seated unhappiness with behaviors they aren’t even aware of.

The thing about these behaviors is that they’re not easy to spot, especially if you’re not looking for them. But once you’re in the know, you’ll start to see them everywhere.

In this article, we’ll delve into these behaviors, pulling back the curtain on ten signs that a man might be deeply unhappy without even realizing it.

Let’s dive in.


(1) OVERCOMPENSATION

In the world of psychology, overcompensation is a telltale sign of deep-seated unhappiness.
If a man is going out of his way to show the world how great he is, it could be because he’s trying to mask an underlying sense of dissatisfaction.

You see, people who are truly content with their lives don’t feel the need to flaunt their successes or achievements. They’re happy just being themselves.

But when a man starts to overcompensate – be it through grand gestures, excessive bragging, or an obsessive need for recognition – it’s often because he’s trying to fill a void within himself.

The tricky thing about overcompensation is that it can easily be mistaken for confidence. After all, who doesn’t want to be seen as successful and accomplished?
However, if you dig a little deeper, you’ll find that overcompensation is less about confidence and more about insecurity. It’s a defense mechanism used to hide feelings of inadequacy and unhappiness.

If you notice a man in your life constantly trying to prove his worth, take a moment to look beyond the bravado. There might be more going on beneath the surface than meets the eye.
 
Mleta mada haujatuambia hao wa mabara ma3 wanakufanyiaje ili na sisi tujitathimini.

Mleta mada we huielewi tu jamii yetu, mimi kuna this sukuma guy nikimfanyia chochote cha kumpenda, utasikia hiyo sio kazi yako, kazi yako ni kunitii tu, maana yake KE unatakiwa kwenda tu na flow, vingine vyote afanye ME... mtu unakuwa upo upo tu kama umepotea stend.
 
mimi kuna this sukuma guy nikimfanyia chochote cha kumpenda, utasikia hiyo sio kazi yako, kazi yako ni kunitii tu, maana yake KE unatakiwa kwenda tu na flow, vingine vyote afanye ME... mtu unakuwa upon upo tu kama umepotea stend.
Hii ndio saikolojia ya muafrika aliyomaanisha jamaa maana kagusa na upande wa mwanaume pia tunajua mapenzi sisi ni providers tu. Ofcourse hata mimi siwezi kuruhusu mpenzi wangu aingie gharama wakati najua uwezo wake ni wa chini au mdogo sana ukilinganisha na uwezo wangu., kwa hii kesi yako hapa muhimu tu usiwe dependent too much yaani vitu vidogo vidogo unavyovimudu maliza tu we mwenyewe, kuna wakina dada wakipata chance kama yako watataka hata mkipanga kukutana umlipie mpaka nauli ya kumtoa alipo
 
Ni ukweli mtupu....ila wakifika hapa si utawamudu au utahitaji back up mkuu?
 
Wanawake sio kwamba hawajui kupenda. Africa mwanamke anaangalia pesa, au material anazomiliki mwanaume kwanza before hajapenda which most often nguzo ya upendo inakuwa based on external possessions. With time upendo wa namna hii hufifia kwasababu ya vitu kuisha au kuzoea situation. Wazungu huko most of times watu wanachumbiana na kwenda multiple dates kujuana vizuri before hawajaanza kuishi kama wapenzi because hawana scarcity na the need to want money au vimiliki vya mwanaume.
The main issue ni umaskini na ujinga both sides kwa sababu hata wanaume pia hawana heshima kwa mwanamke.
 
Wanawake sio kwamba hawajui kupenda. Africa mwanamke anaangalia pesa, au material anazomiliki mwanaume kwanza before hajapenda which most often nguzo ya upendo inakuwa based on external possessions. With time upendo wa namna hii hufifia kwasababu ya vitu kuisha au kuzoea situation. Wazungu huko most of times watu wanachumbiana na kwenda multiple dates kujuana vizuri before hawajaanza kuishi kama wapenzi because hawana scarcity na the need to want money au vimiliki vya mwanaume.
The main issue ni umaskini na ujinga both sides kwa sababu hata wanaume pia hawana heshima kwa mwanamke.
Hii inatufanya tuishi kwa kuviziana sana na sio kupendana.

Ukijikuta una upendo wa agape, unapunwa kwenye kamali ya mapenzi.
 
Back
Top Bottom