Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,331
8,254
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA na kitambulisho cha MPIGA kura.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.

 
Umekutana na washamba wanaofanya mambo kishamba.
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
Kwanza kuipata unaambiwa lete barua ya muariko wa unakotaka kwenda hapo palipo na shida kumbe huwezi kuipata bila sababu ya kutoka nje
 
Watu wamekalili, inawezekana wateja wao wengi wanakwenda na vitambulisho vya NIDA, lakini pia inawezekana wafanyakazi wa hiyo ofisi hata passport hawana na hawazijui zikoje.

Mwisho wa siku unaishia kupewa majibu ya kienyeji kama hayo.
 
Sababu ni kuwa hakuna intergration kati ya Uhamiaji na hizo Ofisi.

Ofisi zote huchukua taarifa kutoka NIDA including Uhamiaji...

Afu usijipe umuhimu usio na lazima maana huwezi pata Passport bila kuwa na NIDA unless ni under 18
Hakuna kitu. Duniani pote utambulisho namba moja unaotumika ni passport , si hiki kidude cha nida . Hata mimi nimewahi kupata matatizo kama haya mara mbili.

Kinachoisumbua Tanganyika ni mentality za ki communist. Hakuna kingine
 
Back
Top Bottom