Uhalali wa plate namba za magari

Uhalali wa plate namba za magari

Hahaha nimecheka kwa sauti ndani ya train hadi watu wamegeuka na kusha ngaa alafu niko seat ya peke angu,wa tz nouma ETI PIGA TU hakiyanani alieleta hakukosea
 
nahisi nimewahi kuona gari za jwtz zinatumia MT, hii inakuwaje
 
MT ni magereza Tanzania,PT police Tanzania, JW Jeshi la wananchi, DFP development fund project ,(miradi ya maendeleo)SM Serikari za mitaa (Hizi ni gari za halmashauli) CD commission diplomatic (hizo mkuu ni ngoma za ubarozini.
 
Escort 1,2- Usalama wa Taifa (Walinzi wa Rais)

Cs - Chief Secretary

State Car- Ikulu

2371 JW 15. Namba ya gari-JWTZ-kisha mwaka uliosajiliwa

J21- Jaji wa 21

S - Spika

MT - Magereza Tanzania

SM - Seriakali ya Manispaa

SU - Shirika la Umma
 
Escort 1,2- Usalama wa Taifa (Walinzi wa Rais)

Cs - Chief Secretary

State Car- Ikulu

2371 JW 15. Namba ya gari-JWTZ-kisha mwaka uliosajiliwa

J21- Jaji wa 21

S - Spika

MT - Magereza Tanzania

SM - Seriakali ya Manispaa

SU - Shirika la Umma

una uhakika Escort 2 ni ya Rais?usiropoke usilolijua!!
 
T CD 560 EAC
Gari no 560 la Jumuiya ya Afrika Mashariki.Laweza kuwa la ofisa ubalozi au la ubalozi wenyewe

T CD EACJ J1
Gari la Jaji Number 1 Mahakama ya Jumuiya ya Afr. Mash

T CD M1 EAC
Gari lililombeba Katibu Mkuu Jum Afrika Mashariki.Laweza kuwa lake binafsi au la ubalozi.

NB: Gari lolote la Ubalozi lenye tarakimu M1 hilo ni la Kiongozi Mkuu wa Ubalozi huo.Akiwemo katika gari basi lazima iwepo bendera.

Kwa ujumla ukitoa gari za EAC pekee, number zote za kibalozi zina mfumo ufuatao.

T 247 CD 5
T = Tanzania
247= Number ya usajili wa ubalozi
CD = Commissioned Diplomat

Mf. T 258 CD 1458 ni gari ya ICTR ya 1458.
NB: ICTR ndio ubalozi wenye magari mengi yenye number za kibalozi Tanzania.

AFCHPR J1
Gari ya judge number moja ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu.

Maswali yanakaribishwa.
 
una uhakika Escort 2 ni ya Rais?usiropoke usilolijua!!

Ana akili sana huyu kukuzidi.

Haya tuambie escort 2 ni nani kama hujaharibu mambo hapa.

Mie naongeza 3,4,5,7,8 zote ni za raisi bisha sasa.
 
SU.....Shirika la Umma
ST...... STH, STG, STK, STL Serikali ya Tanzania herufi za A, B, C, D, na kuendelea
DFP.... Donor's Funded Project
MT.... Magereza Tanzania
MC.....AAA....... Motor Cycle
PT....... Polisi Tanzania
W....... Waziri (herufi hizi hutegemea ni waziri wa wizara gani) mf. WNM ....WAZIRI WA NISHATI NA MADINI
NW..... Naibu Waziri
KUB..... Kiongozi Wa kambi ya Upinzani Bungeni (n.k)
IT...... IN TRANSIT (magari yapelekwayo nje ya nchi....hapa yanapita tu)
 
T CD 560 EAC
Gari no 560 la Jumuiya ya Afrika Mashariki.Laweza kuwa la ofisa ubalozi au la ubalozi wenyewe

T CD EACJ J1
Gari la Jaji Number 1 Mahakama ya Jumuiya ya Afr. Mash

T CD M1 EAC
Gari lililombeba Katibu Mkuu Jum Afrika Mashariki.Laweza kuwa lake binafsi au la ubalozi.

NB: Gari lolote la Ubalozi lenye tarakimu M1 hilo ni la Kiongozi Mkuu wa Ubalozi huo.Akiwemo katika gari basi lazima iwepo bendera.

Kwa ujumla ukitoa gari za EAC pekee, number zote za kibalozi zina mfumo ufuatao.

T 247 CD 5
T = Tanzania
247= Number ya usajili wa ubalozi
CD = Commissioned Diplomat

Mf. T 258 CD 1458 ni gari ya ICTR ya 1458.
NB: ICTR ndio ubalozi wenye magari mengi yenye number za kibalozi Tanzania.

AFCHPR J1
Gari ya judge number moja ya Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu.

Maswali yanakaribishwa.

Asante kwa ufafanuzi mkuu.
 
Kijana pole sana. Wasomi leo wamekuwa WAJINGA!

DFP ni Donor Funded Project. Zamani zilikuwa ni TX.

ST ni Serikali ya Tanzania. Hapo sasa zipo ST, STA hadi sasa kuna STL. Ni muendelezo wa namba tu.

ST47A hizi ni namba za magari ya Ikulu ya serikali ya Tanzania.

SM ni serikali za mitaa. Haya ni magari ya halimashauri.

SU ni shirika la Umma.

MT Magereza Tanzania

PT ni Polisi Tanzania.

Angalau kwa Ufupi tu.

Shukran sana, nami nimefaidiaka na mchango wako
 
Nimekutana na magari manne tofauti, yana registration number tofauti na hizi tulizozizoea, ila kwenye plate number kuna bendera ndogo ya Tanzania, kuonyesha imesajiliwa Tanzania.

Gari la kwanza plate number yake imeanzia TCDN101 ( sina uhakika na number) nyingine ni TJNN111(toyota GX110) mengine nimesahau ila usajili wake upo dizaini hiyo.

Je huo mfumo wa registration number ni kwa ajili ya magari gani?
 
Back
Top Bottom