Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Magereza Tanzania
Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Kijana pole sana. Wasomi leo wamekuwa WAJINGA!
DFP ni Donor Funded Project. Zamani zilikuwa ni TX.
ST ni Serikali ya Tanzania. Hapo sasa zipo ST, STA hadi sasa kuna STL. Ni muendelezo wa namba tu.
ST47A hizi ni namba za magari ya Ikulu ya serikali ya Tanzania.
SM ni serikali za mitaa. Haya ni magari ya halimashauri.
SU ni shirika la Umma.
MT Magereza Tanzania
PT ni Polisi Tanzania.
Angalau kwa Ufupi tu.
Kijana pole sana. Wasomi leo wamekuwa WAJINGA!
DFP ni Donor Funded Project. Zamani zilikuwa ni TX.
ST ni Serikali ya Tanzania. Hapo sasa zipo ST, STA hadi sasa kuna STL. Ni muendelezo wa namba tu.
ST47A hizi ni namba za magari ya Ikulu ya serikali ya Tanzania.
SM ni serikali za mitaa. Haya ni magari ya halimashauri.
SU ni shirika la Umma.
MT Magereza Tanzania
PT ni Polisi Tanzania.
Angalau kwa Ufupi tu.
Je RHD?
Naombeni ufafanuzi wadau katika namba za magari hizi zinamaanisha nini?
DFP
STJ
STK
STL
ST inafuata namba lisha A
DFP-Donor funds Project na mashirika yanayofadhiliwa
ST-MAGARI YA SERIKALI YA TANZANIA
najua ni ya serikali kuu...sasa kwa nini STK, STL ,STJ....kwa nini wasingeweka yote STK tu ...??STK, STJ,STL- Magari ya Serikani kuu
na SM je..!!!
SM sina maarifa,pt punguza tatizo