Uhalali wa plate namba za magari

Uhalali wa plate namba za magari

SU-SUKUMA UDANDIE
gari yeyote ya serikali ikishachoka inapewa namba zinazoanza na SU!
 
Hata cjui dogo alieamua kuacha facebook na kujiunga na jf home of great thinkers atajisikiaje akikuta hali hii tena kwenye jukwaa ambalo sio la chit chat.
Ok!
 
Hata cjui dogo alieamua kuacha facebook na kujiunga na jf home of great thinkers atajisikiaje akikuta hali hii tena kwenye jukwaa ambalo sio la chit chat.
Ok!

Ni kweli mkuu, bora wangeanza na utani then wanatoa jibu. Kama hawajui wangepotezea kuliko hii unatoa jibu la utani halaf ndo mazima!!
 
Back
Top Bottom