Kayinga junior
Senior Member
- Feb 19, 2012
- 152
- 7
SM sina maarifa,pt punguza tatizo
Naombeni ufafanuzi wadau katika namba za magari hizi zinamaanisha nini?
DFP
STJ
STK
STL
ST inafuata namba lisha A
Kijana pole sana. Wasomi leo wamekuwa WAJINGA!
DFP ni Donor Funded Project. Zamani zilikuwa ni TX.
ST ni Serikali ya Tanzania. Hapo sasa zipo ST, STA hadi sasa kuna STL. Ni muendelezo wa namba tu.
ST47A hizi ni namba za magari ya Ikulu ya serikali ya Tanzania.
SM ni serikali za mitaa. Haya ni magari ya halimashauri.
SU ni shirika la Umma.
MT Magereza Tanzania
PT ni Polisi Tanzania.
Angalau kwa Ufupi tu.
LHD-Labda Halina Dereva
Naombeni ufafanuzi wadau katika namba za magari hizi zinamaanisha nini?
DFP
STJ
STK
STL
ST inafuata namba lisha A
Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Naombeni ufafanuzi wadau katika namba za magari hizi zinamaanisha nini?
DFP
STJ
STK
STL
ST inafuata namba lisha A
Kijana pole sana. Wasomi leo wamekuwa WAJINGA!
DFP ni Donor Funded Project. Zamani zilikuwa ni TX.
ST ni Serikali ya Tanzania. Hapo sasa zipo ST, STA hadi sasa kuna STL. Ni muendelezo wa namba tu.
ST47A hizi ni namba za magari ya Ikulu ya serikali ya Tanzania.
SM ni serikali za mitaa. Haya ni magari ya halimashauri.
SU ni shirika la Umma.
MT Magereza Tanzania
PT ni Polisi Tanzania.
Angalau kwa Ufupi tu.
Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Siku za hivi karibuni nimeona MT .......
Najiuliza lengo la mleta uzi, sipati jibu.
Hapa kijana alitaka kupata elimu wewe huelewi nini? Hapa kuna makundi mawili yaani waelimisha au watoa taarifa na waelimishwaji au wapokea taarifa. Msikatishe watu tamaa vijana wanahitaji kukua.