Nimekutana na magar manne tofauti, yana registration number tofauti na hizi tulizozizoea, ila kwenye plate number kuna bendera ndogo ya tanzania, kuonyesha imesajiliwa tanzania, gari la kwanza plate number yake imeanzia TCDN101 ( sina uhakika na number) nyingine ni TJNN111(toyota GX110) mengine nimesahau ila usajili wake upo dizaini hiyo.... Je huo mfumo wa registration number ni kwa ajili ya magar gan?
Nimekutana na magar manne tofauti, yana registration number tofauti na hizi tulizozizoea, ila kwenye plate number kuna bendera ndogo ya tanzania, kuonyesha imesajiliwa tanzania, gari la kwanza plate number yake imeanzia TCDN101 ( sina uhakika na number) nyingine ni TJNN111(toyota GX110) mengine nimesahau ila usajili wake upo dizaini hiyo.... Je huo mfumo wa registration number ni kwa ajili ya magar gan?
Number plate not plate number
Wewe ni bonge la kilaza aisee, utakua ni CCM tu.
Number Plate = Kile Kibao (Yellow or White)
Plate Number = Zile Namba (always black)
Mithali 26:4-5.
Ukisoma hapo juu naomba upitie hapa https://en.m.wikipedia.org/wiki/Vehicle_registration_plate
Nimekutana na magar manne tofauti, yana registration number tofauti na hizi tulizozizoea, ila kwenye plate number kuna bendera ndogo ya tanzania, kuonyesha imesajiliwa tanzania, gari la kwanza plate number yake imeanzia TCDN101 ( sina uhakika na number) nyingine ni TJNN111(toyota GX110) mengine nimesahau ila usajili wake upo dizaini hiyo.... Je huo mfumo wa registration number ni kwa ajili ya magar gan?
Hiyo Mithali nimeshindwa kuipata kwa Sasa. Ila Wikipedia yako nimeisoma na sijaona cha tofauti ilichozungumzia zaidi ya kwamba inakubaliana na mimi nilichosema.
Ukweli mmoja ni kua kiengereza kuja kiswahili kinasomwa kinyume nyume mkuu. Hii Wikipedia inazungumzia plate, Sasa plate ya namba haitakua platennumber, bali kiengereza chake kitakua kinyume.
Yaani Number Plate = Plate ya Namba
Plate Number = Namba ya Plate.
Sio maswala ya Wikipedia mkuu, ni kanuni za kiengereza tu.
au number plate=kile kibati cha kuandikia namba
plate number=zile tarakimu
Hiyo Mithali nimeshindwa kuipata kwa Sasa. Ila Wikipedia yako nimeisoma na sijaona cha tofauti ilichozungumzia zaidi ya kwamba inakubaliana na mimi nilichosema.
Ukweli mmoja ni kua kiengereza kuja kiswahili kinasomwa kinyume nyume mkuu. Hii Wikipedia inazungumzia plate, Sasa plate ya namba haitakua platennumber, bali kiengereza chake kitakua kinyume.
Yaani Number Plate = Plate ya Namba
Plate Number = Namba ya Plate.
Sio maswala ya Wikipedia mkuu, ni kanuni za kiengereza tu.
Je, iko sawa hii ya gari la mhe.John Magufuli lina plate number ya nyuma= Hapa kazi tu.
Plate number ya mbele= Magufuli.
CCM kila kitu hawafanyi sawa...
wanapindua pindua tu