Rais kwa umakini wake hawezi kuruhusu ajira ifanyike na watu wale wale waliosababisha kuwepo kwa watumishi hewa.Marehemu baba waTaifa Mwalimu Nyerere alisema mtu akila nyama ya mtu hawezi kuacha atarudia tena.Nafikiri ajira itaanza tena baada ya Mh Rais kusafisha maafisa utumishi wote waliofanya malipo hewa .