Uhakiki wa watumishi hewa utamalizika lini?

1469481176065.jpg
 
Jaribu kuangalia hii clip... hiyo ilikuwa JUNE 22.2016

Mkuu, asante hayo aliongea 22.06.2016 lakini lile tangazo kutoka utumishi lilitolewa 13.06.2016, sasa hapa muda wa mwez mmoja, mmoja na nusu unaanza kuhesabika aliposema rais ama tangazo toka utumishi lilivoandikwa?
 
Mkuu, asante hayo aliongea 22.06.2016 lakini lile tangazo kutoka utumishi lilitolewa 13.06.2016, sasa hapa muda wa mwez mmoja, mmoja na nusu unaanza kuhesabika aliposema rais ama tangazo toka utumishi lilivoandikwa?

mkuu hesabu kuanzia pale tangazo kutoka utumishi lilipotolewa, raisi alikuwa anasawazisha mambo yaliyoibuka kwenye social network...hata hvyo hii serikali ya mwendokasi haitabiriki lolote laweza tokea kwa sarakasi ya aina yake
 
Leo mida hii ndio nimetoka kuhakikiwa
wanahakiki watumishi hewa na vyeti feki mpaka tarehe 3/8 mkoa wa tanga
 
Nikimsoma aliyeuliza swali (aliyetuma Post) hili yuko serious sana, kwanza ukitaka kujua hii post ni utani au siyo angalia mtu alivyojipanga afu ''to the point'' afu anaondoka. unajua suala hili la tangazo la Rais limegusa sana maslahi ya watu hivyo mwenye majibu asaidie.
 
Ndugu zangu, kama mnavojua 13.06.2016 Tume ya utumishi wa UMMA ilitoa waraka wa siri kuhusu usitishwaji wa ajira mpya kada zote kwa mwaka 2016 ili kupisha zoezi la uhakiki wa watumishi hewa, baadae 22.06.2016, rais mh Dkt John Pombe Magufuli akasema wamesitisha ajira kwa muda ili kupisha zoezi la uhakiki kwa watumishi hewa na akasema itachukua mwezi mmoja ama mwezi mmoja na nusu lakini haitafika miezi miwili.

Swali langu ni:

1(a) Je, huo mwezi mmoja ama mwez mmoja na nusu ulianza kuhesabika lini na utakamilika lini?

(b) Je, aliposema haitazidi miezi miwili alimaanisha haitafika miezi miwili ama inaweza kufika miwili lakini isizidi hapo yaani kufika mitatu?
MWENYE KUELEWA NAOMBA ANISAIDIE.....

GIPAMA from Bunda-Mara.
Alikisia tuu Tanzania yetu ukiambiwa mwez mmoja na nusu ni miwili chamsingi nikusubiri tuu wala usihesabu tena iyo miez mi mwenyewe nasubir uhamisho tamisemi
 
Jamani, serikali hii inaanza lini kutoa ajira hasa za afya na elimu? Watuweke wazi.
 
Back
Top Bottom