Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Hata Roma haikujengwa kwa siku moja. Ina maana Source ya maisha magumu ni Magufuli?
Hakuna asiyetaka huo ujasiriamali. Sasa kama Amalia na kazi unadhan huo mtaji atakuwa nao?wekeza kwenye ujasiriamali tu hamna tena ajira kwanza tunataka kupunguza wafanyakazi
Nani aliyekuambia madaraka ya ualimu wa mazingira ni madogo?Jamani naomba tumpe Rais nafasi apange safu yake na aweke taratibu nzuri za kuiongoza nchi. Nadhani hata ungelikuwa wewe ukipewa madaraka hata madogo ya ualimu wa mazingira, yapo utakayofanyia marekebisho japo awali alikuwepo mwalimu mwingine aliyekukabidhi nafasi hiyo. Vuteni subira uongozi ni kazi ngumu.
Uhakiki umeisha now kuna zoezi lngine close checking,nalo linaenda hadi 15/7 so hapo mkuu wa kambi akiamua kutoa agizo lingine its ok,but sdhan ka wote wataenda c unajua matumzi yanabanwa kakaNani kakuambia?
Asante, ww ndie unaejua kujibu maswali kulingana na swali lilivoulizwa.Uhakiki umeisha now kuna zoezi lngine close checking,nalo linaenda hadi 15/7 so hapo mkuu wa kambi akiamua kutoa agizo lingine its ok,but sdhan ka wote wataenda c unajua matumzi yanabanwa kaka
Wewe taarifa nyeti kama hz unazipata wapi, chanzo chako cha taarifa ni kipi?Uhakiki umeisha now kuna zoezi lngine close checking,nalo linaenda hadi 15/7 so hapo mkuu wa kambi akiamua kutoa agizo lingine its ok,but sdhan ka wote wataenda c unajua matumzi yanabanwa kaka
Agwazi Jamii Forum kuna watu wa serikalini so taarifa kama hizi sio tatizo kuzijua, vumilia tu huko Nyamuswa muda si mrefu mambo yatakuwa poaWewe taarifa nyeti kama hz unazipata wapi, chanzo chako cha taarifa ni kipi?
Umejuajee wewe...???zilisitishwa ajira zote ila walimu ndo wa kwanza kulalamika
KilazaClose checking ndio nini tena mbona nimekua kama wale wa Udom jamani?