Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

....ameanza Seif anafuatia Lowassa.
 
Hiyo ndio overall ya matokeo yote yaliyotolewa mpaka sasa ,sasa sijui mnatumia vigezo vipi kusema haya mnayoyasema ,ngoma bado mbichi kabisa hii
 

Attachments

  • 1445888215058.jpg
    1445888215058.jpg
    92.6 KB · Views: 60
Majimbo ni zaidi ya mia tatu matokeo mpaka sasa ni majimbo 13 tuu hakuna stronghold hata moja ya Lowassa iliyokwisha guswa mpaka sasa

Wamegusa Moshi Mjini tu...ambapo kampiga Magufuli gap la kura elfu 20!
 
watanzania wana hamu kuona na kusikia mgombea wa urais kupitia mwamvuli wa ukawa ndugu Edward lowasa ameshinda uchaguzi lakini matumaini yao yanazidi kuyeyuka baada ya kusikiliza vyombo vya habari....[itaendelea]
Acha kujibaraguza, mbona mie simtaki Lowassa? Hii ndio sababu imewafanya mpigwe kila kona kwa kujifanya hazimo bichwani mwenu/ Wewe unategemea mtu anaye simama kwa dakika mbili ashinde? How pathetic is that?
 
Majimbo ni zaidi ya mia tatu matokeo mpaka sasa ni majimbo 13 tuu hakuna stronghold hata moja ya Lowassa iliyokwisha guswa mpaka sasa
Mpaka sasa CCM imeshachukua majimbo 176 nchi nzima na pia imeyakomboa majimbo 12 yaliyochukuliwa na wapinzani miaka mitano iliyopita- January Makamba








 
Ukawa chini ya Lowassa na Maalim Seif wanachukua nchi mark ma words ninjaa
 
Kilimanjaro, Pemba, Arumeru, Tanga tayari. Sasa sijui mnasubiri wapi zaidi

Mwanza hakueleweki.
Ilelemela magamba washakomba.
Nyamagana Wenje kesharudia kuhesabu kura mpaka imekuwa balaa.
 
Matokeo yote yaliyotangazwa na tume haya hapa

1. Makunduchi
Magufuli 8,406 - 81.20%
Lowasa 1,769 - 17.09%

2. Paje
Magufuli 6,035 - 75.00%
Lowasa 1,899 - 23.60%

3. Lulindi
Magufuli 31,603 - 71.28%
Lowasa 11,543 - 26.03%

4. Pwani - Kibaha Mjini
Magufuli 34,604 - 57.15%
Lowasa 25,448 - 42.03%

5. Bumbuli Tanga
Magufuli 35,310 - 80.23%
Lowasa 7,928 - 18.01%

6. Mtwara - Ndanda
Magufuli 33,696 - 62.34%
Lowasa 19.017 - 35.18%

7. Katavi - Nsimbo
Magufuli 31,413 - 83.18%
Lowasa 6,042 - 15.99%

8. Kusini Pemba - Kiwani
Magufuli 1,661 - 26.91%
Lowasa 4,229 - 68.51%

9. Kask Unguja - Kiwengwa
Magufuli 3,317 - 73.30%
Lowasa 1,104 - 24.40%

10. Donge
Magufuli 5,592 - 83.69%
Lowasa 1,019 - 15.99%

11. Chambani
Magufuli 818 - 12.90%
Lowasa 5,319 - 83.90%

12. Mtambile
Magufuli 902 - 12.99
Lowasa 5,875 - 84.58

13. Mkoani
Magufuli 3,341 - 30.43%
Lowasa 7,368 - 67.10%

14. Kojani - Kask Pemba
Magufuli 1,561 - 13.21%
Lowasa 9,982 - 84.50%

15. Wete - Kask Pemba
Magufuli 958 - 15.50%
Lowasa 5,119 - 82.80%

16. Gando - Kask Pemba
Magufuli 881 - 12.74%
Lowasa 5,903 - 85.34%

17. Mtambwe - Ksk Pemba
Magufuli 428 - 5.70%
Lowasa 6,937 - 92.33%

18. Mgogoni - Ksk Pemba
Magufuli 710 - 9.59%
Lowasa 6,506 - 87.91

19. Kisarawe Pwani
Magufuli 24,076 - 63.36%
Lowasa - 13,093 - 34.44%

20. Mbinga Mjini
Magufuli 29,295 - 70.44%
Lowasa 11,695 - 28.12%

21. Manyamba - Mtwara
Magufuli 24,904 - 58.21%
Lowasa 16,992 - 39.72%

22. Moshi Mjini
Magufuli 28,909 - 36.23
Lowasa 49,088 - 61.88

23. Mkinga Tanga
Magufuli 23,798 - 59.81
Lowasa 15.142 - 38.06

24. Peramiho Ruvuma
Magufuli 32,505 - 73.20%
Lowasa 11,291 - 25.43

25. Njombe Mjini
Magufuli 33,626 - 61.59%
Lowasa 20,368 - 37.31

26. Singida Mjini
Magufuli 36,035 - 64.98%
Lowasa 19,007 - 34.27%

27. Lindi Mjini
Magufuli 21,088 - 54.10
Lowasa 17,607 - 46.xx%

- Jumla ya majimbo up to now = 27 Kati ya 265
- Jumla Magufuli - 455,472
- Jumla Lowasa - 307,290
Tofauti ya kura - 148,182
Matokeo mengine yatatangazwa saa tatu kesho asubuhi
 
Kuna watoto huu ndo uchaguzi wao wa kwanza kushiriki hivyo mihemko ilikuwa juu sana ukijaribu kuwakumbusha unaambulia matusi. Slaa na Pro.Lipumba wangeshiriki kampeni Mikoa ya Kusini kwa Lipumba na Dr.Slaa mikoa ya kanda ya ZIWA hali ingekuwa mbaya sana kwa Ccm na kama Zitto angekuwa amekubaliwa kuwa Ukawa kama alivoomba Lowassa ili asaidie Magharibi hali ingekuwa si mchezo.
 
Kuna watoto huu ndo uchaguzi wao wa kwanza kushiriki hivyo mihemko ilikuwa juu sana ukijaribu kuwakumbusha unaambulia matusi. Slaa na Pro.Lipumba wangeshiriki kampeni Mikoa ya Kusini kwa Lipumba na Dr.Slaa mikoa ya kanda ya ZIWA hali ingekuwa mbaya sana kwa Ccm na kama Zitto angekuwa amekubaliwa kuwa Ukawa kama alivoomba Lowassa ili asaidie Magharibi hali ingekuwa si mchezo.

Mission impossible...
 
Lowassa ni wa "kukatwa tu" hana jinsi, alikatwa na CCM hakuridhika, sasa hivi Watanzania "wanamkata tena" mpaka akome ubishi. Yaani ni kukatwa tu kwa kwenda mbele mwaka huu. #HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom