Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

Mwandalieni mbuzi wa kucunga tu hana chake.
 
watanzania wana hamu kuona na kusikia mgombea wa urais kupitia mwamvuli wa ukawa ndugu Edward lowasa ameshinda uchaguzi lakini matumaini yao yanazidi kuyeyuka baada ya kusikiliza vyombo vya habari....[itaendelea]

Mwandalieni mbuzi wa kucunga tu hana chake.

Majimbo ni zaidi ya mia tatu matokeo mpaka sasa ni majimbo 13 tuu hakuna stronghold hata moja ya Lowassa iliyokwisha guswa mpaka sasa
 
Afu mbona wanatangaza yale ambayo chadema hina mashiko saaaana kote kwenye upinzania hawajahesabu au kura zamoto
 
Wanachofanya tume ni kutangaza kwa wingi sehemu ambazo makufuli ameshinda ili kuwavunja moyo wana ukawa ngoja tusubiri mpaka mwisho aliyeshindwa akabidhi madaraka kwa amani tu
 
Hawawezi zuia mvua wakianza kutangaza Arusha,Kilimanjaro, mbeya,Dsm nistueni mazee.
 
Ni kweli.....
 

Attachments

  • 1445880122346.jpg
    1445880122346.jpg
    35.4 KB · Views: 169
Akishindwa huduma za jamii zitadorora zaidi ya hapa na madawa ya kulevya yataene zaidi,huku wawekeji wakivuna madini yetu
 
Back
Top Bottom