The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,473
- 104,117
Kuna msemo unasema;
Tajiri akiugua masikini ndio huanza kufa.
Tajiri akiugua masikini ndio huanza kufa.
Waambie wamlaumu Samia 😂😂Mzuka wanajamvi!
Kwaanzia Uingereza, Ujerumani na nchi zote za skendinevia kuna uhaba wa mafuta ya kula. Kuadimika huko kumesababisha hadi bei kupaa. Bei ilishaanza kupaa kabala lakin vita ya Ukraine imeipaisha zaidi. Na yale ambayo bado yapo kwenye shelves za supermarket huruusiwi kuchukua zaidi ya chupa mbili.
Uncle Vladimir alitahadharisha huenda akawa mkweli.
Hapa nchini kuna ziada?Tungekuwa na viongozi wanaofikiri fursa hio.
Ardhi ya ziada ipo tele ni kulima tu mafutaHapa nchini kuna ziada?