Ugonjwa wa homa ya matumbo (Typhoid) na tiba mbadala

Jf.doctor,tafadhali naomba,msaadawako nduguyangu. Tangia mwaka 2000.hadisasa ugonjwahuu wa taiphod hauchezi mbali nami kwa marayakwanza nililazwa katika hospl ya merrystopes,mjini moshi. Ilikua mwaka 2000. Tangia sikuhio nimekua mhanga wa ugonjwa huu plz hebu nifamishe nakosea wapi? Mimi ni mtu ninaejali afya kuliko kitu kingine doct. Nisaidie tafadhali.
 
Pole sana, nenda Hospital kubwa ukafanyiwe checkup zaid ili upate matibabu sahihi
<br />
<br />
Asantesana sadma.ila tatizo ndg, yangu ni sijui pakutokea wapi wala pakuingilia wapi kwani madoctorwetu siunajua hawapo frendlly na wagonjwa na ndiomana imenichukua mudahivi.
 
Jf.doctor,tafadhali naomba,msaadawako nduguyangu. Tangia mwaka 2000.hadisasa ugonjwahuu wa taiphod hauchezi mbali nami kwa marayakwanza nililazwa katika hospl ya merrystopes,mjini moshi. Ilikua mwaka 2000. Tangia sikuhio nimekua mhanga wa ugonjwa huu plz hebu nifamishe nakosea wapi? Mimi ni mtu ninaejali afya kuliko kitu kingine doct. Nisaidie tafadhali.

Pole sana Asuu, baada ya miaka 10 ya kusumbuka nafikiri ni muda muafaka sasa wa kujaribu kitu tofauti. kuna post niliipost siku kadhaa zilizopita inasema ''Hatunywi maji ndiyo maana tunauguwa'' nakushauri uitafute kama haipo page hii ya kwanza nenda next page ya hii hii jf doctor utaikuta, funguwa na uisome taratibu mpaka uielewe. unaweza pia kunitumia email yako katika 0769779533 ikiwa utahitaji maelezo zaidi. tembelea pia: Utangulizi | maajabu ya maji
 
Pole sana Asuu, baada ya miaka 10 ya kusumbuka nafikiri ni muda muafaka sasa wa kujaribu kitu tofauti. kuna post niliipost siku kadhaa zilizopita inasema <b>''Hatunywi maji ndiyo maana tunauguwa''</b> nakushauri uitafute kama haipo page hii ya kwanza nenda next page ya hii hii jf doctor utaikuta, funguwa na uisome taratibu mpaka uielewe. unaweza pia kunitumia email yako katika 0769779533 ikiwa utahitaji maelezo zaidi. tembelea pia: <a href="http://www.maajabuyamaji2.artisteer.net" target="_blank">Utangulizi | maajabu ya maji</a>
<br />
<br />
Ndg yangu f.paulo nashkuru,nitafanya kama ulivyo nielekeza.
 
Jf.doctor,tafadhali naomba,msaadawako nduguyangu. Tangia mwaka 2000.hadisasa ugonjwahuu wa taiphod hauchezi mbali nami kwa marayakwanza nililazwa katika hospl ya merrystopes,mjini moshi. Ilikua mwaka 2000. Tangia sikuhio nimekua mhanga wa ugonjwa huu plz hebu nifamishe nakosea wapi? Mimi ni mtu ninaejali afya kuliko kitu kingine doct. Nisaidie tafadhali.

Asuu....sidhani kama una Typhoid, huwezi kuugua typhiod kwa miaka 10...thats simply impossible! Unless iwe inajirudia rudia..na hiyo ina maana wewe unakunywa maji machafu na kula vyakula vichafu kila mara (vichafu means vilivyokuwa contaminated na kinyesi...kwani Typhoid ni feaco-oral disease ie umekula kitu kilichokuwa contaminated na kinyesi)! Katika hiyo miaka 10 zimeshagunduliwa generation zaidi ya 5 ya antibiotics bora kabisa kutibu Typhoid, sasa wewe unaenda hospitali ipi hiyo ambayo washindwe hata kuprescribe antibiotic kwa Typhoid.

Rudi hospitali ukachunguzwe zaidi, usijedhani una Typhoid kumbe una ugonjwa mwingine na unaupa muda wa kuendelea zaidi. Kipimo cha Typhoid kinachotumika mara kwa mara kwenye hospitali zetu ni cha damu kupima titres za antibodies against bacteria wa Typhoid (salmonella typhi), na hizo antibodies huwa haziishi zikapotea kabisa kwenye damu ukipona, kwa hiyo mpimaji inabidi aangalie kiasi cha hizo antibodies kwenye damu kama kikivuka kiwango fulani ndio una active infection, otherwise ni antibodies from old infection..and that doesnt mean una Typhoid.
 
Njoo ufanyiwe maombi na dk wa ma dk,mganga zaidi yao,dreva wa ukweli,eng mkuu na mwalimu zaid yao.huyo ni YESU mnazareti aliyewatoa paulo na sila gerezan,akamuifadh yona ndani ya tumbo la samak for three day.UKIWA NA IMANI KAUGONJWA KAKO KATAONDOKA KWA sekund
 
asante dr riwa. ndugu,zaidi ya hiyo,jaribu kubadili hosp.niliwahi kuugua typhoid,na kila nikicheki wananiambia zinaonekana traces tu za zile antibodies (ni kama kusema historia haijafutika mwilini). kua muangalifu,usikute wanakufanya mtaji tu. kama huna dalili za typhoid, hata kama itaonekana hupaswi kupewa matibabu.typhoid ina very strong symptoms. pole sana,angalia hata kachumbari na pilipili za manjonjo!
 
Jamani naumwa typhoid inaoonyesha dalili za kuwa sugu, maana natibu kikamilifu lakini baada ya miezi mitatu naumwa tena na nikipima nakuta typhoid ipo positive

Nahakikisha nakunywa maji yaliyochemshwa, chakula cha moto, na mpaka maji ya kuoga na kupigia mswaki naweka waterguard lakini bado nasumbuliwa na huu ugonjwa

Wanaojua dawa yake espesially ya kienyeji nifahamisheni haraka muokoe maisha yangu
 
Tafuta mmea uitwao rose periwinkle. (google utaona picha na uautambua). Chemsha mizizi about one handful, kwa 1.5lts ya Maji yachemke hadi yabaki 1liter. Kunywa thruout a day; fanya hivyo kwa siku 7.
 
Vyombo vya kulia chakula na matunda na vyenyewe unasafisha kwa maji ya moto?. Pia niliwahi kuambiwa typhoid inatakiwa kupimwa baada ya miezi 6 tangu kumaliza dozi kwa sababu ukipima baada ya muda mchache inaweza kuonekana ipo wakati si kweli. Angalizo : Mimi siyo daktari.
 
Vyombo vya kulia chakula na matunda na vyenyewe unasafisha kwa maji ya moto?. Pia niliwahi kuambiwa typhoid inatakiwa kupimwa baada ya miezi 6 tangu kumaliza dozi kwa sababu ukipima baada ya muda mchache inaweza kuonekana ipo wakati si kweli. Angalizo : Mimi siyo daktari.


Yah, tunaweka matunda kwenye maji moto kabla ya kuyamenya, na najitahidi kutumia vyombo vikavu (yaani vilivyooshwa muda mrefu na kukauka na kufutwa)

Kupima baada ya miezi sita na mimi nimeambiwa hivyo, lakini tatizo napata dalili za typhoid kabla ya miezi sita na hivyo inabidi kupima na kuitibia. Cause nikiiacha inaongezeka na kuleta serious fever, haedache na maumivu ya viungo

Ndio maana this time target yangu ni dawa ya kienyeji as nimeshariwa nisitumie tena hizi cipro katika kipindi kifupi tangu nilipotumia last time
 
Huu mmea unaitwaje kwa kiswahili? Maana picha yake inafanana na mimea mingine ni ngumu kuutambua vizuri

Kama unajua watu wa tiba mbadala wanaoweza kuwa nao help me out, pia how do we call it in swahili


Tafuta mmea uitwao rose periwinkle. (google utaona picha na uautambua). Chemsha mizizi about one handful, kwa 1.5lts ya Maji yachemke hadi yabaki 1liter. Kunywa thruout a day; fanya hivyo kwa siku 7.
 
Kuna dawa nzuri ya typhoid sugu ipo pale Natural Therapy Center adjacent na Hindu Mandal.. Nilielekezwa na bht baada ya yeye kusumbuka na kupona hatimaye. Nilimpelekea mam yangu nae alipona baada ya kuhangaika mda mrefu..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: bht
Huu mmea unaitwaje kwa kiswahili? Maana picha yake inafanana na mimea mingine ni ngumu kuutambua vizuri
Kama unajua watu wa tiba mbadala wanaoweza kuwa nao help me out, pia how do we call it in swahili

Ni maua common, sijui jina lake la kiswahili. Maua yake ni rangi ya pink na meupe. You can't miss them, yanautomvu mweupe.

Kama uko Dar nenda Botany dept UDSM waombe wakuoneshe specimen ya hiyo plant utaielewa tu.
 
HOMA YA MATUMBO (Typhoid fever)
Ni ugonjwa unaoenezwa na bacteria jamii ya salmonella. Huenezwa kupitia maji yasiyo salama,chakula na kupitia mtu mwenye vjidudu hivyo bila dalili.

DALILI: Awali ni kama za malaria. Kujisikia joto linalopanda hadi kufikia 103-105F (39-40¬¬¬¬C), maumivu

ya kichwa,misuri, na kukosa hamu ya kula. Baada ya juma kama mbili hivi kuharisha kwaweza kuanza. Kama

matibabu hayatatolewa mgonjwa atazidi kuathilika hatimaye kifo.

TIBA ZAKE: Chagua Dawa mojawapo kwako wewe itakuwa ni Rahisi kuitumia na kuipata.
  • Miche ifwatayo itumike kumpa enema mgonjwa au kumpampu kwa njia ya bomba la sindano. Wakia mbili au cc 50-60 za dawa majani ya Red respbarry, magome ya White ork, au Magome ya mninga au Wild alum mizizi.
  • Songwa, ni mmea wa mashambani sio mti: Chuma majani 10 au kijiko kimoja cha chai kama imesagwa kuwa unga, koroga katika glasi moja ya maji moto. Ikiwa ni majani pika maji yachemke, kisha epua, ndipo uyatie hayo majani katika hayo maji mara moja, yakipoa kunywa.
    Dozi hiyo ni kwa siku 10 hadi 14. Dozi: Wazima kikombe 1 cha chai kutwa mara tatu kwa siku 7-14 kutegemea na ugonjwa. Vijana zaidi ya miaka 12 nusu kikombe cha chai kutwa mara tatu. Miaka 6-12 robo kikombe kutwa mara tatu Miaka 2-5Kijiko kikubwa mara tatu kutwa.
  • Msongwa; mti mkubwa wenye kutoa matunda yenye uchachu. Chemusha magome yake au yasage uwe unga.
    Dozi; Gome la ukubwa kiganja lichemshwe katika maji bilauri 6 kwa dakika 10, kisha kunywa vipimo kama namba mbili hapo juu.
  • Aloe vera; tumia dozi hiyo mara mbili. chemsha uwe unakunywa kutwa mara 2.
  • Tangawizi na jira; Saga viwe unga, tumia kijiko kimoja katika glasi moja la maji x2 kutwa. Pia tatizo la kuhara damu na la Amoeba tumia hiyo hiyo..
  • Sogoya:, nao ni mmea wa mashambani sio mti: Chuma majani 10 au kijiko kimoja cha chai kama imesagwa kuwa unga, koroga katika glasi moja ya maji moto. Ikiwa ni majani pika maji yachemke, kisha epua, ndipo uyatie hayo majani katika hayo maji mara moja, yakipoa kunywa. Dozi hiyo ni kwa siku 10 hadi 14.

aloverab.jpg

Aloe Vera Mshubiri


 
wanandugu mim nilipata kwa mara ya kwanza typhoid mwaka juz mwishoni...nilienda hospital na kupata dawa..tangu kipind hicho kila nikipima nakutwa na typhoid..na kama wik na nusu iliyopita nilienda hospital kupima na kukutwa na typhoid..nilimueleza daktar historia ya ugonjwa wangu..akashauri nikafanye kipimo cha stool culture and sensitivity..nikaenda bugando kupima na hakikuonyesha chochote...sasa nimekua nikipata sana homa..kukosa nguvu hasa kwenye joints za miguu.naomben msaada wenu wataalam.mungu awabariki.
 
Inawezekana bado una mienendo ileile iliyopelekea tatizo la typhoid hapo mwanzo,kama ni hvyo jaribu kubadilika kwa kuangalia visababishi around u or anywhere uwapo
 
Tangawizi na jira; Saga viwe unga, tumia
kijiko kimoja katika glasi moja la maji
x2 kutwa. Pia tatizo la kuhara damu na
la Amoeba tumia hiyo hiyo..

Mkuu Mzizi mkavu... Je nikitumia tiba hii kwa kuichemsha haitatibu??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom