Ugonjwa wa homa ya matumbo (Typhoid) na tiba mbadala

Chemsha maji ya kunywa, usile vitu vichafu, zingatia usafi wa chakula sometime mazingira yanachangia ugonjwa kurudi hivyo wewe unadhani wa kudumu kumbe mazingira unayoishi ni majanga
Mkuu kaongea kamaliza hapa....

Tumia Maji masafi (yaliiochemshwa) kuanzia kunywa, kunawa mdomo, pia wakati wa kuoga usibugie/ au kutia maji mdomoni yalio machafu!!!!! Mimi nilishakua muhanga wa hili tatizo aisee!!!! Kinga zetu zishakuwa dhaifu juu ya kukabiliana na ugonjwa wa typhoid.......

Itakua vyema ukawa unatumia na karafuu, unaichemsha kisha unakunywa maji yake
 
Kwa yeyote anayejua tiba mbadala ya typhoid please naomba msaada.Nikisema mbadala namaanisha matunda,mizizi,mimea ama vyakula.

Bwana Yesu asifiwe.

===============
Chukua majani ya mpera, na majani ya embe machanga, kitunguu swaum na limao then yablend pamoja kwenye limao ukimaliza kukamua weks na maganda yaan ile ngozi ya kijani sio ganda lote
Then kunywa ikiwa fresh asubuhi mchana na jion kwa siku 7. Kwa neema ya Mungu utapata kupona
 
Kama una maralia chukua maganda ya nanasi yachemshe then yakipoa weka lita moja na nusu kwenye chupa kunywa kila unaoosikia kiu jitahidi lita 2 iishe kila inapofika jion
 
Hii nimepimwa kwenye zahanati ya Kazini.Hii ni baada ya mfululizo wa kuumwa tumbo hasa wakati wa usiku kama nimebeba kitu kizito tumboni.Nilishaenda kwenye zahanati hiyo nikapewa dawa zilizonisaidia kiasi.Nilipoona tumbo linaaza tena ndio nikaenda na kukuta sina maleria wala vile vidudu vya kwanza.na ndipo walipochukua uamuzi wa kunipima typhoid na kunikuta nayo.kwa sasa sijaanza kutumia dawa walizonipa hospital ila natumia vitunguu saumu,mpka hapo nikikuta havinisaidii.
Kwa ufupi nadhani hawako kibiashra zaidi ila pengine ujuzi ndio ishu
Ila mkuu hauumwi taiphoid huu ugonjwa huws ni wa mlipuko kama kipindupindu na ni ugonjwa mkubwa sana. Ndo maana hospitali ndogo hawaruhusiwi kuupima wala kuutibu. Mm nimesumbuliwa sana na huu ugonjws hospitsli binafsi na nimekunywa sana dawa baadae nikaamua kwenda rufaa nikaambiwa sina taifod na kipimo chake huchukua siku 4 hadi7 ndo majibu ya toke. Cha ajabu ukipima hospitali ndogo ndani ya nusu saa huwa wametoa majibu. Hiki huwa ni kipimo cha awali hata kama unaminyoo utaambiwa ni taifod.
Ndo maana huwa hawakupi daws moja unapewa cipro, na vingine vingine ili ukinywa ikatibu shida nyingi ndani. Ila kumbuka antibiotic ni daws mbaya sana sio za kukimbilia mm wakinipa huwa nakuja kukaa na halimashauri yangu nachagua ninywe ipi na niache ipi.
 
Asa
Chukua majani ya mpera, na majani ya embe machanga, kitunguu swaum na limao then yablend pamoja kwenye limao ukimaliza kukamua weks na maganda yaan ile ngozi ya kijani sio ganda lote
Then kunywa ikiwa fresh asubuhi mchana na jion kwa siku 7. Kwa neema ya Mungu utapata kupona
Asante sana binafsi nitajaribu
 
Back
Top Bottom