Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
Habari za siku ya leo wapendwa Once again I wish you siku njema
Endelea kusaidia Ndugu jamaa au rafiki anayesumbuliwa na Typhoid.
Endelea kusaidia Ndugu jamaa au rafiki anayesumbuliwa na Typhoid.
Jamani naumwa typhoid inaoonyesha dalili za kuwa sugu, maana natibu kikamilifu lakini baada ya miezi mitatu naumwa tena na nikipima nakuta typhoid ipo positive
Nahakikisha nakunywa maji yaliyochemshwa, chakula cha moto, na mpaka maji ya kuoga na kupigia mswaki naweka waterguard lakini bado nasumbuliwa na huu ugonjwa
Wanaojua dawa yake espesially ya kienyeji nifahamisheni haraka muokoe maisha yangu
I have a relative with Chronic Typhoid and I would like to give it a trial!
Does it mean I have to pay first ?
My First impression after 3 days of using the dawa has been so far so good! Alikuwa anatembea kainama halafu anakaza sana misuli ya tumbo lakini tangu aanze kutumia naona anaanza kufunguka! Maumivu ya tumbo anakiri yamepungua kiasi kikubwa! It might be too early to compliment your Kalulu but suffices to say so far so good!
Unasaidia sana,but hujawajali wa2 wa vpato vya chini 7bu weng wanahitaj but hawawez kumud gharama hyo kaka!
Iseme kaka,tupo wengi tafadhali.