Ugomvi na mke wangu kila nikipata pesa

Sikiliza

Toa Hela nusu ya mshahara panga name bajeti ya mwezi mzima halafu mpe hiyo nusu aongozane na watoto wake wote kununua mahitaji ya mwezi mzima!!

Wanawake wanapenda kununua nunua sana Ili waonekane na WA awake wenzao kwamba Wana nunua!!

Halafu uone uelekeo!

Kama unampa Hela kidogo kidogo ya chumvi atakua omba omba !nyingine ummpe kama ya ziada hivi in case of emergency!

Nyingne mwambie naweka akiba for future!!

Wanapenda kujazwa manoti wanunue nunue!!!

Jaribu!
Hata akimfanya ndiye mtunzaji wa hela yake ni sawa tu. Mwingine atajisikia vizuri sana. Unampatia hela yako yote, siyo atumie, bali aitunze tu. Siku ukihitaji unamwambia akupatie. Wengi hujisiia vizuri kupewa hiyo "heshima"
 
Unaweza kukuta huyu mtoa mada ni Mzee ama kijana wa kuheshimika kwa muonekano ambaye nje ya nyumba anaongozana na mkewe kwa vicheko vya kutuhadaa na tabasamu feki, kumbe ndani ya nyumba anaendeshwa na mwanamke.

Msimamo na Maamuzi hizi sifa wanaume wengi ndani ya ndoa wamezikosa ndiomaana wanateswa na wake zao, na ndio hawa hawa kutwa kulialia na kufungua thread wakitaka kuonewa huruma.

Ukishapoteza sifa ya kuwa baba wa nyumba na kichwa cha familia lazima uendeshwe na mke wako, utakosa maamuzi binafsi kwa kuendeshwa na hisia za mkeo kisa atakuonaje sijui atachukia ama atanuna,

sikia wewe ukishaamua jambo lako litie msimamo hakuna wa kulibadiri hata iwe vipi, mkeo mpe sheria ngumu za kuheshimu maamuzi yako, akishindwa huyo hastahili kuwa wako, fukuza ubaki pekeyako na watoto wako.

Kama hataki usave pesa huyo hakupendi, anataka siku mkipata shida ya ghafla ushindwe kuitatuwa na badala yake upate lawama na aibu za kujitakia.

Kwanza kama mkeo si mtu mzuri wa kutunza pesa unakubali vipi ajue balance ya akaunti yako?, Unakubali vipi kuweka pesa zote mezani?, Ninyi ndio wale wanaume legelege ambao ndoa zenu mlilazimishwa ama wale wanaume wanaojiona bora sana yaan mnawapa wake zenu uhuru na ile 50/50 mkidhani ni sifa kumbe mnabomoa.

Amua kuweka sheria zako kwa mkeo na mlazimishe azifuate atake ama asitake, anune ama asinune ni lazima azifuate ama aondoke.

Kataa kuteswa na mwanamke kwa pesa zako mwenyewe.

Ninyi ndio mnaofanya hoja za wakataa ndoa zipate nguvu na kibali kikubwa.

Anyway kataa ndoa za mchongo, jali Afya yako ya akili na usalama wa pesa zako.
 
Kwanza Pole sana kwa changamoto hiyo lakini hongera kwa kuwa na familia ambayo kijamii ni kipimo cha hekima uliyo nayo na hongera kwa kuwa na kipato japo pengine si kile ulichokihitaji ,lakini yote ni kumshukuru Allah.
Ushauri; Kama umemsoma ukagundua mwenzio anakuwa mchungu , endelea kufanya mambo yako kwa akili sana.
Kuna mtaalamu mmoja aliwahi kusema "Mwanaume ni convergence, maana yake anakusanya rasilimali zilizotawanyika na kuziweka pamoja, japo wapo wachache walio kinyume. Na wanawake ni divergence yaani wanatawanya rasilimali japo pia wapo wachache walio kinyume. Unaweza kununua kuku kwa lengo la kumfuga lakini ukimfikisha nyumbani pindi ukianza kumjengea kibanda utasikia mke akisema,"nina hamu ya kula kuku" Hapo ujue kuku wako yuko on target. Pia mchunguze mwenzio pindi ulipoleta hela yote nyumbani aliitumiaje. Pesa nyingine iliikuta ile iliyotangulia au tayali ulikuwa na madeni kedekede? Usiache kazi yako kumfurahisha mke. Siku Huna kipato ndipo utajuta. Hata utafanywa kama dekio. Nalo ni nguo iliyochakaa kidogo. Ishi naye kwa akili.
 
Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!

Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira

Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons

Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".

Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.

Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.

NIFANYAJE WANA JF?
Cha kufanya jitahidi asijue kipato chako kwa 100% .Kama kipato chako kitaongezeka usimwambie ,kwa anavyonekana ni wale wanawake wenye tamaa ,hashindwi kudai talaka mgawane mali.
 
Issue ndogo hiyo mzee, tena bana hapohapo, ukion mke anakulalamikia kwenye vitu ambavyo uko sahihi kabisa jua uko kwenye njia sahihi...Ukithubutu kumfurahisha mkeo kwa kila anachotaka utapoteza familia yako.Hii inaenda hata kwa watoto- kuna vitu vingi wabatamani tuwape , vingine hatuwapi sababu tunataka wajifunze, sio kwambsma tunawachukia, mke ni kama mtoto, lazima uwe na kitu cha zaidi - akili, utulivu, busara n.k ili familia iende.

Shikilia hapohapo then PUUZIA maneno yake
 
Kufupisha stry baadae nilichukua zile hela nikaenda kununua tv mpya na vitu vyake vyote alivyokuwa anapigia kelele kila muda nikabak sina hata sent nadhan ndio ikawa furaha yake mim kubaki sina kitu
Furaha yake ni kukuona unateseka
 
Ninyi ndio wale wanaume legelege ambao ndoa zenu mlilazimishwa ama wale wanaume wanaojiona bora sana yaan mnawapa wake zenu uhuru na ile 50/50 mkidhani ni sifa kumbe mnabomoa.
Asipokuelewa hapa basi ataleta nyuzi nyingi sana humu. Umetoa maelezo safi sana mkuu.
 
Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!

Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira

Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons

Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".

Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.

Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.

NIFANYAJE WANA JF?

Mkuu, huyu mkeo ni mshirikina. Unatoa pesa zote benki, unampa na anaweka kwenye kipochi halafu anachanganya na nywele zake!! Ulichokiwaza ndio kipo sawa.
 
Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!

Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira

Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons

Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".

Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.

Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.

NIFANYAJE WANA JF?
mpe talaka mapema huyo, siku ukipata hela nyingi sana, atakumaliza kabisa. Huyo hamna kitu anawaza humo kichwani kwake zaidi ya pesa na hiyo ni kwasababu ana malengo yake binafsi.

Ukishaona mtu anakutuhumu wewe kuwa ni mbinafsi, ujue yeye ni mbinafsi mara tatu zaidi. Huyo muogope sana. Wanawake wa hivyo ndio wale wanaua waume zao kwasababu ya mali.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kitu ambacho nimeguundua kwa mke wangu ni kwamba ukiendekeza demokrasia kwenye ndoa unaekuja kuteseka ni wewe mwanamme,,,,yaani mke mpende lakini ajue demokrasia hakuna, yaani baba ndio anatoa SAY ya mwisho na sio mama.

Alafu jambo lingine ni kwamba mwanamke alieolewa ni sawa na mtoto mwanamme aliemuoa, akikosea anapewa adhabu kama watoto wanavyoadhibiwa
😃😄😃😂Solution unayo, ila tatizo ni kuwa huitumii, huitekelezi
 
Yeye hana kazi? Si mnapenda amvao hawajasoma ili muwabuluze mnavyo taka? Sasa utaendeshwa kama gari bovu. Wewe kwa nini ulimwambia mshahara wako? Hatakiwi kujua huyo acha ujinga
 
Back
Top Bottom