Kayanga karagwe
Member
- Nov 21, 2023
- 28
- 60
Mtafutie mwenza
Mwenza si ni yeye jamaaMtafutie mwenza
Hapa ndipo tatizo linapoanzia. Kuoa golikipa.yeye hana mchango wowote wa kipesa
Wewe ni Jinsia gani kwanza. Tuanzie hapo.Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!
Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira
Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons
Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".
Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.
Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.
NIFANYAJE WANA JF?
Anatambua kwamba wewe ndiye "fazahausi"?Unamdekeza.Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!
Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira
Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons
Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".
Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.
Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.
NIFANYAJE WANA JF?
Mr Nyau Loso au Bonge la Nyau?Kuwa makini atakuua
Atakuwa mchagaMkeo Kabila Gani Mkuu
Asilimia 90 ya wanawake wana tamaa ya pesa na hata ukifa ila umeacha pesa anazozifahamu huwa halii sana.Yaani imekuwa kila mara nikipata pesa mke wangu analeta kamzozo.. Mpaka imefika mahala nawaza au hapendi nipate pesa!
Nikipokea mshahara mara zote anasema nitoe pesa yote benki nilete mezani. Ofcourse anaweza akawa na hoja zake kuwa hata zikikaa benki huwa tunazitumia na zinaisha haibaki hata senti. Nikimwambia pesa hazitolewagi zote benki haelewi hata kidogo anakuwa mkali sana na anazira
Pia analalama sana kuwa mimi ni mbinafsi kwenye suala la pesa; kitu ambacho nikijitathimini naona kama ananionea tu, over 90% of my income inaishia kwenye matumizi ya familia, sinywi pombe wala sihongi. I am a family man with three sons
Nikimuuliza mke wangu mbona unakuwa mkali kuhusu suala la pesa anazira huku akiniambia kwa kejeli "Samahani nimekuingilia kwenye pesa zako".
Na mara nyingi sana huwa ananilalamikia kuwa nafanya maamuzi yanayohusu pesa mwenyewe kwasababu yeye hana mchango wowote wa kipesa anaounesha kwenye familia; mke wangu ni mama wa nyumbani by default analea watoto watatu.
Imefika mahala mpaka natamani tubadilishane majukumu. Nikae nyumbani yeye akatafute hizo pesa ambazo huwa natafuta ili aridhike na aone kuwa ana mchango kwenye hii familia.
NIFANYAJE WANA JF?
Unamkopa mke wako hela? Something might be wrong somewhere, japo inawezekana ni mtazamo wangu tu.Asilimia 90 ya wanawake wana tamaa ya pesa na hata ukifa ila umeacha pesa anazozifahamu huwa halii sana.
Huyo mkeo hizo tabia we ndio umezilea tangia mwanzo Kwa kutaka kuendekeza mapenzi ya kizungu ndio maana leo anakupanda kichwani na wewe umekuwa legelege.
Vumilia tu hayo maisha maana kila familia wana utaratibu wa maisha waliojiwekea.
Mi Kwa familia yangu mi ndio nasimamia shoo ya familia Kwa 90% japo mke wangu ni mwajiriwa wa serikali.
Ada za watoto, chakula , mavazi ya familia pamoja na ukarabati wa nyumba sijawahi omba msaada wa mwanamke. Kwangu hakuna utaratibu wa kuulizana kipato changu ama kumdai mwanamke pesa yake. Japo Kuna wakati mzumguko wangu unayumba hivyo naweza kukopa kiasi fulani ambacho najua Kiko ndani ya uwezo wako na huwa namrudishia .
Inategemeana!Kosa kubwa sana umefanya
KAMWE usiruhusu mkeo akajua kipato chako
Hilo wala si tatizo.Kwa hiyo ulishamwonyesha mkewe salary slip yako.
Akifanya hivyo wala asisikitike, bali amshukuru Mungu.Pole sana aisee usiogope kaka embu kuwa nae makini asije akakutegea umelala akasepa na kibunda chako akatokomea kusikojulikana
Hata akimfanya ndiye mtunzaji wa hela yake ni sawa tu. Mwingine atajisikia vizuri sana. Unampatia hela yako yote, siyo atumie, bali aitunze tu. Siku ukihitaji unamwambia akupatie. Wengi hujisiia vizuri kupewa hiyo "heshima"Sikiliza
Toa Hela nusu ya mshahara panga name bajeti ya mwezi mzima halafu mpe hiyo nusu aongozane na watoto wake wote kununua mahitaji ya mwezi mzima!!
Wanawake wanapenda kununua nunua sana Ili waonekane na WA awake wenzao kwamba Wana nunua!!
Halafu uone uelekeo!
Kama unampa Hela kidogo kidogo ya chumvi atakua omba omba !nyingine ummpe kama ya ziada hivi in case of emergency!
Nyingne mwambie naweka akiba for future!!
Wanapenda kujazwa manoti wanunue nunue!!!
Jaribu!