Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,439
- 1,645
Pole sana Afisa.
Naomba nikupe wazo, kaeni chini mzungumze kwa kuambiana ukweli na matokeo ya matamanio ya kila mmoja wenu; mfano (wewe kumuelezea matokeo ya ushauri wake anaokupa kila mara kwako) na (yeye akuambie matokeo ya ushauri wako kwake unaomwambia kila mara).
Jiepusheni na maisha ya kujifananisha au kujilinga nisha na watu, wafanyakazi au jamii inayowazunguka kwa kipato; maana hii imekuwa sumu hasa kwasasa katika familia nyingi aidha wote muwe watumishi au mmoja wapo.
Mwisho
Muwe mnasali kwa pamoja ndani ya nyumba yenu (wewe, mkeo na wanao). Pia, jiwekeeni utaratibu wa kuombeana na kuwa marafiki yaani siku moja moja mnataniana, kusaidizana kazi za nyumbani, out kidogo nk
Naomba nikupe wazo, kaeni chini mzungumze kwa kuambiana ukweli na matokeo ya matamanio ya kila mmoja wenu; mfano (wewe kumuelezea matokeo ya ushauri wake anaokupa kila mara kwako) na (yeye akuambie matokeo ya ushauri wako kwake unaomwambia kila mara).
Jiepusheni na maisha ya kujifananisha au kujilinga nisha na watu, wafanyakazi au jamii inayowazunguka kwa kipato; maana hii imekuwa sumu hasa kwasasa katika familia nyingi aidha wote muwe watumishi au mmoja wapo.
Mwisho
Muwe mnasali kwa pamoja ndani ya nyumba yenu (wewe, mkeo na wanao). Pia, jiwekeeni utaratibu wa kuombeana na kuwa marafiki yaani siku moja moja mnataniana, kusaidizana kazi za nyumbani, out kidogo nk