TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,273
Wengi waliomba sana kupata jasiri muongozaji akapatikana amefyagia kwelikweli baadaye kapingwa, oooh siyo huyu tuliyepewa, aya ngoja twende soon tu hapa hapa we'll.Kila kilichokuwa kimewekwa kwenye msingi kitasukumiwa mbali na giza na vuru vuru kuanza kukita mizizi
Sent using Jamii Forums mobile app