secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,609
Ushaliwa kichwa wwTatizo hamjui kanuni za uchumi. Marehemu alichokuwa anafanya ilikuwa ni primitive economy, na kamwe asingefanikiwa.
Kinachohitajika ni kuuchangamanisha uchumi wetu na uchumi wa Dunia. Watatuuzia sukari, lakini nasi tutawauzia bidhaa nyingine.
Ukifungia bidhaa za wengine, na wewe za kwako zitafungiwa. Wewe unajua hasara waliyoipata wafanyabiashara wa mahindi, mbao, korosho na matunda, kutokana na maamuzi ya hovyo ya marehemu ya kuanzisha chokochoko ambazo hazikuwa na msingi wowote dhidi ya Kenya?