Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

Na wamewatumia tu Balozi wa hapo Dar kwenda Msibani.. Alafu mnawaita eti ni ndugu. Pumbavuuu
Yaani hata hawa majirani zenu wanaowapenda wameshindwa kutuma naibu rais au hata waziri wa mambo ya nje? Wakatuma balozi wao aliye Dar? Na hawa ndio marafiki zenu wa karibu? Inashangaza sana.

Cc Geza Ulole
 
Tafakuri?
Hivi Kabla ya Wazungu ku grab na kugawana nchi za Africa " Scramble & Partition for Africa" ( Berlin Conference chini ya Bismark)
WaKenya au Watanzania walikua ni maadui???
Wakati wazungu wanahangaika kuungana ( European Union); United States of America
Sisi Tunabaguana !!
 
hajali ndugu zake zaidi ya pesa kwa kwenda mbele huo ni ujanja mavi
Km ingelikua hajali ndugu zake basi asingeliwapea offer ya kuingia na vitambulisho pekeake kw raia wa EAC..
Tatizo nyie ndugu mnafiki mkakataa huku ndugu yetu mdogo uganada akiteleza
 
Bado una roho ya Tomaso juu ya mradi wa EACOP? Total walipochagua Tanzania over Kenya juu ya stability walimaanisha pata picha Uhuru anavuta leo yaani lazma Jubilee Ruto faction na Jubilee Uhuru wapigane ukiacha pia wazee wa ODM pia! Unabisha?

Tony254
 
He nailed it. Tatizo la watanzania waliopo kwenye hili jukwaa ni wazalendo wa magufuli na wamemezeshwa propanda za uzalendo usiohitaji kuhoji mambo. Na hili la kushindwa kuhoji au kuwa na respectful dialogue kuhusu mitazamo tofauti pia wamelirithi, ukimuhoji mtu kitu chochote kuhusu serikali hatokujibu ataishia kukutukana au kukukaushia kama hajaona binafsi najisikia vibaya sana sababu vijana wengi wa kitanzania waliopo humu ni wasomi wa vyuo lakini na wao pia wanabehave kama watu ambao hawajawahi kugusa darasa.

Nitakupa mfano, viwango vya ustawi wa nchi unapimwa kwa vitu vingi kama demokrasia, haki za binadamu, uchumi na uwajibikaji sasa katika hivyo watakwambia magufuli amefanya hiki amefanya kile ukimwambia chagua kitu kimoja ambacho upo tayari unaona amefanya vizuri tujadiri anakimbia, sasa hii ni tabia ya kushindwa kujadili inapelekea matusi na ndio vijana wengi wa humu wapo hivyo, kama kuna wazee nimewajumuisha pia.

Magufuli ni kiongozi pekee ambae ametumia propaganda kuliko kiongozi mwingine yoyote katika nchi hii. Watakwambia kikwete na mkapa walikuwa mafisadi hawajafanya kitu ukiwaambia tuwalinganishe na magufuli wanakimbia kifupi ni wabebaji wa kila alichokuwa anasema magufuli.

Nchi hii haijawahi kurudi nyuma tangu ipate uhuru sio kwa miundombinu na wala sio kwa uchumi wa GDP lakini vijana hilo hawajui wanajua wanayomezeshwa kwamba tumepigwa sana lakini hawahoji 1.5 trilioni ilienda wapi hadi CAG akatumbuliwa baada kuliamba bunge kuwajibika.

Sio vibaya kumpenda kiongozi fulani sababu ana mazuri ameyafanya lakini kugeuka kuwa unamwabudu hilo ni tatizo. Nina imani Mama Samia atawashangaza wengi wanaomchukulia poa sasa hivi.
Well put.
 
Hii history nani kaandika?
Piece of garbage
Ni kweli.. Kwenye Operation Entebbe Kenya ndo ilisaidia Israel kwenda kuokoa raia wake huko Uganda at the same time Gaddafi alikuwa upande wa Iddi Amin Dada akimpa silaha wakati wa vita yetu na Uganda, But here we all know aliekuwa na tatizo ni Iddi Amin sio Uganda.
 
Hakuna Ndugu wa Tanzania kama Kenya, ndio maana hata Rais Samia alimtaja Kenyatta katika hotuba. Sisi ni ndugu tunaooneana wivu ambayo ni kawaida
 
IMG-20210323-WA0013.jpg
 
Kenya hii hii? media coverage is a very little gesture! U can't measure someone deeds out of burial coverage! Wacha kuhadaika mzee! media shows what sells!

CC: Tony254
ndugu zetu wa ukweli ni wenzetu wa SADC, Kenya wapo kimasilahi tu, kenyatta kaja kutafuta sympathy kwa mama Samia baada ya kuproof failure kwa mzalendo namba moja Dr Magufuli
 
nawaambieni tena, kenya hawajawahi kuwa marafiki zetu wa kweli na kamwe hawatakaa wawe marafiki. Tuendelee kuijenga SADC, good future is blooming
SADC Kama South Africa ambapo huwa wanafurumusha Weusi wenzao hasa kutoka EA ( Tz, Kenya & UG) kwa Kigezo cha kuwaingilia kazi za wazawa
Kama hujawahi kukaa South Africa
Jaribu kosoma kitu inaitwa Xenophobia in south Africa"
 
nawaambieni tena, kenya hawajawahi kuwa marafiki zetu wa kweli na kamwe hawatakaa wawe marafiki. Tuendelee kuijenga SADC, good future is blooming
SADC Kama South Africa ambapo huwa wanafurumusha Weusi wenzao hasa kutoka EA ( Tz, Kenya & UG) kwa Kigezo cha kuwaingilia kazi za wazawa
Kama hujawahi kukaa South Africa
Jaribu kosoma kitu inaitwa Xenophobia in south Africa"
 
Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda. Uhuru Kenyata pia hakusita kufika Tanzania kutupa mkono wa pole.

Televisheni za Kenya ( KTN) na Televisheni ya Uganda ( UBC) zimekua zikiripoti taarifa za msiba kwenye taarifa zake za Habari.

Leo Dodoma kwenye Maombolezo ya kitaifa Televisheni za Uganda ( UBC) na Kenya ( KTN) zipo Mubashara kurusha matukio yote.
Ila Mwenzetu Rwanda ( RTV) yupo na mambo yake anayoyajua.

Ukweli utabaki wazi Kenya na Uganda ndio Marafiki na Ndugu wa Tanzania.

Wakenya nimewaheshimu sana.
Usiingilie ugomvi usioujua.
Kipindi wanadhlumiana Dhahabu za wanyonge ilikuwepo?
Kagame ndie aliekua rafiki wa Magufuli namba moja,baada ya Kagame kumhukumu dhahabuzetu urafiki unaisha.
Maombolezo ya nini ss unataka.
 
ndugu zetu wa ukweli ni wenzetu wa SADC, Kenya wapo kimasilahi tu, kenyatta kaja kutafuta sympathy kwa mama Samia baada ya kuproof failure kwa mzalendo namba moja Dr Magufuli
SADC pia wanaongea Kiswahili?
kubali tuu kwamba Kenya ndio Big Brother wa Afrika Mashariki na Kati akifuatiwa na Tanzania kisha Uganda.
Tanzania siku zote ni ndugu mwenye wivu kwa mafanikio ya Kenya ila Kenya huwa hana time nae. Kenya anampuuzilia mbali na kuendelea kuchana misamba.
 
Back
Top Bottom