FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Na wamewatumia tu Balozi wa hapo Dar kwenda Msibani.. Alafu mnawaita eti ni ndugu. PumbavuuuKenya kwa kujipendekeza na kujifanya rafiki hawajambo... Uganda ni ndugu wa kweli, watanzania walimwaga damu kuondoa id amin.. Hautawai sikia minong'ono au uzushi kutoka uganda dhidi ya Tz