Uganda na Kenya ndio Ndugu na Marafiki wa kweli kwa Tanzania

Tatizo watu wanafuata mambo ya Utani kwenye hii mitandao. Ukitoka nje ya Afrika Rafiki wa Mkenya ni Mtanzania & Vice versa.!! Kwa sababu wote wanaongea kiswahili
Ukisoma historia kwenye majanga Nchi hizi zimekua zikisaidiana.
Soma kwenye Historia "Kagera War 1978-1979 jinsi Kenya chini ya Rais Arap MOI ilipokataa ardhi yake kutumika na Askari wa Lybia waliokua wanashirikiana na Idd Amin kuishambulia Tanzania
Geza Ulole wacha chuki dhidi ya Kenya. Pata somo la historia kwamba Kenya tulikataa ardhi yetu kutumiwa na Libya waliokuwa wanasaidia Iddi Amin kupiga Tanzania.
 
Kwanza asingelikuja uhuru jf kusingekalika aisee manake vile vijembe tungelishwa hapa..we acha2..

Kagame hakuhudhuria lkn jamaa wamepoa, ndio ujue hata wale wanaotuita wanafiki bado hawajakemea hilo, hata huyo geza kapoa sana lkn ingelikua uhuru ndio kakosa..weee sijui km angelituacha
Kwanzaa alitakiwa afukuzwe
 
Geza Ulole last week ulisema kwamba leo Monday Rais Samia alistahili kuwa Uganda. Sasa kuliendaje? Au mradi umesongezwa mbele?
 
Rafiki wa kenya ni Tanzania sababu Tz kuna ustaarabu hata mwendawazimu Tz hawabagui, Lakini Tz kutokana na juhudi za nyerere ina marafiki wengi wa kufa kufaana..Sema Zambia, Zimbabwe, South Africa Msumbiji. Wengi tu
Kenya kwa sasa ina migogoro na kila nchi jirani yake.. Somalia, Uganda, ethiopia, south sudan etc.. Ni ustaarabu wa Tz ambao unafanya wakenya wajione marafiki wa Tz
umeongea vizuri mpaka basi!
 
Geza Ulole last week ulisema kwamba leo Monday Rais Samia alistahili kuwa Uganda. Sasa kuliendaje? Au mradi umesongezwa mbele?

Pipeline meeting called off over Magufuli death​



MONDAY MARCH 22 2021​

home05pix

President Museveni (left)and his Tanzania counterpart John Pombe Magufuli (RIP) sign a pact for the East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) project in Tanzania in September last year. PHOTO | FILE

Summary

  • Magufuli, 61, died on Wednesday last week due to heart complications.


By Frederic Musisi
More by this Author

The high-profile meeting previously scheduled for today to sign off the remaining key agreements for commercialisation of the proposed East African Crude Oil Pipeline (EACOP) has been deferred to allow the mourning of fallen Tanzanian President John Pombe Magufuli, sources have revealed.
Magufuli, 61, died on Wednesday last week due to heart complications.

During the meeting, Uganda, Tanzania and Total SA - the parent company of Total E&P, the lead developer of the pipeline - were slated to sign the shareholders, tariff, and transportation agreements, respectively for EACOP.

The shareholders agreement details the structure of the 1,443km pipeline from Hoima in mid-western Uganda to Tanzania’s Indian Ocean port of Tanga.

Total E&P owns majority shares in the project of 72 per cent, followed by Uganda through Uganda National Oil Company (Unoc) with 15 per cent, Chinese oil company—Cnooc with eight per cent, and Tanzania through its national oil company, TPDC, with five per cent.

Uganda’s 15 per cent stake is in sync with the 15 per cent stake in the production licences for each of the oil fields operated by Total E&P and Cnooc.

The tariff agreement details the economics of fees for transportation of crude oil from Hoima through Tanga port, while the transportation agreement deals with shipment of the oil from Tanga to the international market.

The initialing of the three agreements is expected to pave way for Final Investment Decision (FID), when Total E&P and Cnooc are expected to announce capital—at least $10b (Shs36 trillion) to kick-start the next development phase leading to commercial oil production, tentatively by 2025; $6.7b (about Shs24 trillion) for developing the oil fields—Tilenga fields in Nwoya/Buliisa districts and Kingfisher, and $3.8b (Shs13.8 trillion) for developing the EACOP.


The postponement of today’s meeting is to some extent a blessing in disguise for Uganda to quickly mobilise $130m (Shs487b) as initial financial commitment to EACOP.

The Ministry of Finance last week hurriedly submitted a request for supplementary budget to Parliament to borrow the money from the domestic market but faced a hard time during the back-to-back appearances before the Budget and National Economy committees, respectively, to justify the “quick request” for a project whose negotiation has been on for a long time.

The Minister of Energy, Ms Goretti Kitutu, and Unoc management led by the chief executive officer, Ms Proscovia Nabbanja, are today expected to discuss with MPs on the committee on National Economy to approve the loan request.
The MPs last week, however, requested for copies of all agreements relating to the pipeline.

The $130m includes $70m (Shs259b) as Uganda’s initial financial commitment and $60m (Shs222b) to offset expenses previously spent by Total E&P in pre-project construction activities. Uganda’s 15 per cent equity stake in EACOP translates into $233m (Shs849b).

Construction of the pipeline is tentatively expected to commence later this year if FID is closed by early next month.

UNOC
Uganda National Oil Company, the statutory body mandated to manage the country’s commercial interests in the oil sector, requires another $480m (Shs1.7trillion) to finance Uganda’s stake in the proposed 60,000 barrels-per-day oil refinery, and $71.4m (Shs261b) in the proposed storage terminal for the refined oil products.

fmusisi@ug.nationmedia.com

 
He nailed it. Tatizo la watanzania waliopo kwenye hili jukwaa ni wazalendo wa magufuli na wamemezeshwa propanda za uzalendo usiohitaji kuhoji mambo. Na hili la kushindwa kuhoji au kuwa na respectful dialogue kuhusu mitazamo tofauti pia wamelirithi, ukimuhoji mtu kitu chochote kuhusu serikali hatokujibu ataishia kukutukana au kukukaushia kama hajaona binafsi najisikia vibaya sana sababu vijana wengi wa kitanzania waliopo humu ni wasomi wa vyuo lakini na wao pia wanabehave kama watu ambao hawajawahi kugusa darasa.

Nitakupa mfano, viwango vya ustawi wa nchi unapimwa kwa vitu vingi kama demokrasia, haki za binadamu, uchumi na uwajibikaji sasa katika hivyo watakwambia magufuli amefanya hiki amefanya kile ukimwambia chagua kitu kimoja ambacho upo tayari unaona amefanya vizuri tujadiri anakimbia, sasa hii ni tabia ya kushindwa kujadili inapelekea matusi na ndio vijana wengi wa humu wapo hivyo, kama kuna wazee nimewajumuisha pia.

Magufuli ni kiongozi pekee ambae ametumia propaganda kuliko kiongozi mwingine yoyote katika nchi hii. Watakwambia kikwete na mkapa walikuwa mafisadi hawajafanya kitu ukiwaambia tuwalinganishe na magufuli wanakimbia kifupi ni wabebaji wa kila alichokuwa anasema magufuli.

Nchi hii haijawahi kurudi nyuma tangu ipate uhuru sio kwa miundombinu na wala sio kwa uchumi wa GDP lakini vijana hilo hawajui wanajua wanayomezeshwa kwamba tumepigwa sana lakini hawahoji 1.5 trilioni ilienda wapi hadi CAG akatumbuliwa baada kuliamba bunge kuwajibika.

Sio vibaya kumpenda kiongozi fulani sababu ana mazuri ameyafanya lakini kugeuka kuwa unamwabudu hilo ni tatizo. Nina imani Mama Samia atawashangaza wengi wanaomchukulia poa sasa hivi.
 
Watu wana ID nyingi mpk raha, mm cwezi hii kazi kwakweli kwasababu mm sijawahi kuwa mnafki na ni kazi ambayo sitakuja kuiweza daima.

Baki na ID moja uwe na msimamo mmoja watu wajuwe msimamo wako ni huu, na sio unamiliki ma ID kumi, ukiona umezidiwa kwa hoja unakuja na ID nyingine na ili upate attention unaanza kujifanya unapuliza zen baadaye ukiona umebanwa unaibuka na muandiko wako ule ule, tabu ya nn hii? Hiyo ni dalili ya unafki mkubwa.

Jiamini kwa hoja unazotoa, simamia msimamo wako na ukiona mambo hayaendi vile unataka kaa kimya tu yanini kujitesa?
 
Kuna msemo wa Kiswahili usemao Rafiki/ Jirani wa kweli utamjua wakati wa shida. Tanzania imekua nchi ya kwanza kwa kuondokewa na Rais wake kipenzi aliyekuwa madarakani. DKT. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

Ukweli ktk msiba huu nimeamini Nchi za Kenya na Uganda ndio jirani na rafiki wa kweli wa Tanzania. Uhuru Kenyata alitangaza siku 7 za Maombolezo kwa taifa la Kenya. Yoweri Museveni na yeye Alitangaza siku 14 za maombolezo kwa wananchi wa Uganda. Uhuru Kenyata pia hakusita kufika Tanzania kutupa mkono wa pole.

Televisheni za Kenya ( KTN) na Televisheni ya Uganda ( UBC) zimekua zikiripoti taarifa za msiba kwenye taarifa zake za Habari.

Leo Dodoma kwenye Maombolezo ya kitaifa Televisheni za Uganda ( UBC) na Kenya ( KTN) zipo Mubashara kurusha matukio yote.
Ila Mwenzetu Rwanda ( RTV) yupo na mambo yake anayoyajua.

Ukweli utabaki wazi Kenya na Uganda ndio Marafiki na Ndugu wa Tanzania.

Wakenya nimewaheshimu sana.
Pamoja Sana Kenya na Uganda.. upendo huonyeshwa kwa vitendo
 
Back
Top Bottom