Uganda kuzindua shirika lake la ndege Aprili

diana chumbikino

JF-Expert Member
May 29, 2018
428
368
870062535a744dc71874c8ceab6d7161.png



BAADA ya Tanzania, Kenya na Rwanda kuendelea kujiimarisha katika sekta ya usa ri wa anga, Uganda nayo iko mbioni kupokea ndege yake ya abiria, ikiwa ni hatua ya awali ya kufufua Shirika la Ndege la Uganda, ambalo kwa miaka kumi halikuwa linafanya kazi. Shirika hilo linatarajiwa kupokea ndege yake ya abiria aina ya ya Bombardier CRJ-900 mwanzoni mwa mwezi ujao.

Awali, ndege hiyo ilikuwa itue Uganda mwezi huu. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Uganda, Ephraim Bagenda alipozungumza na wanahabari katika jengo la Wizara ya Kazi na Usarishaji, jijini hapa. Bagenda alisema kutokana na hali hiyo, wamelazimika kusogeza mbele uzinduzi wa shirika hilo hadi mwanzoni mwa Aprili mwaka huu, huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Yoweri Museveni.

Aidha, Bagenda alitaja sababu za kushindwa kuwasili kwa ndege hiyo mwezi huu, kama ilivyopangwa kuwa ni kutokana na Wizara ya Kazi na Usarishaji, kushindwa kuteua Mwakilishi wa Ukaguzi wa Utengenezaji (DMIR) ili kusimamia taratibu za utengenezaji wa ndege hiyo kufuatana na matakwa ya mnunuaji. Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, DMIR ni mtu, kampuni au shirika ambalo huajiriwa na mnunuzi kuhakikisha kuwa utengenezaji wa ndege hiyo, unafuata vigezo vyote na unakidhi mahitaji ya usari wa anga.

Sababu zingine zilizochangia kuchelewa kwa utengenezaji hadi kukabidhiwa kwa ndege hiyo na nyingine ni kuchelewa kupatikana kwa Leseni ya Kuendeshea Safari za Anga (AOC), kutokuwa na rubani mkuu, kukosekana kwa mkurugenzi wa uendeshaji wa shughuli za anga na mkurugenzi wa matengenezo ya ndege. Shirika la Ndege la Uganda linaamini kuwa mpaka kuka mwezi ujao, vigezo hivyo ambavyo vinahitajika ili ndege kuruhusiwa kufanya shughuli za anga, watakuwa wamevitekeleza kwa kiasi kikubwa. “Tunaamini uzinduzi utafanyika mwezi Aprili mwaka huu kwa sababu hadi kuka Februari tuna uhakika tutakuwa na vigezo vinavyotakiwa ili tuweze kufanya shughuli zetu,” alifafanua Bagenda.

Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, Mamlaka ya Usari wa Anga (CAA) haiwezi kutoa leseni ya kufanya shughuli za usarishaji ikiwa moja ya vigezo hivyo havijakamilika. Pia usajili wa ndege husika, hauwezi kufanyika kama hakuna leseni ya kufanya shughuli za usarishaji. Vilevile hadi leo Shirika la Ndege la Uganda, halijapeleka wanafunzi wa mafunzo ya urubani ili kupewa mafunzo ya urubani. Kazi hiyo imepangwa kufanyika katika kipindi cha miezi mitatu ya Septemba, Oktoba na Novemba. “Shirika letu linahitaji marubani wapatao 36 na watapewa mafunzo katika vipindi tofauti vya miezi mitatu ya Septemba, Oktoba na Novemba,” alisema Bagenda.

Baada ya kupokea ndege hiyo, Uganda inatarajia kupokea ndege nyingine mbili mwaka huu za Airbus A330-800. Rais Museveni aliahidi kulifufua Shirika la Ndege la Uganda katika kipindi cha miaka miwili kuanzia 2018 hadi 2020, ambapo aliahidi kuwa shirika litakuwa na jumla ya ndege saba.

Wakati Uganda ikifufua shirika lake, Tanzania kupitia kampuni yake ya ATCL, imekuja kwa kasi baada ya kununua ndege mfululizo na kurejea kwa kishindo katika safari za ndani na nje ya nchi. Imenunua ndege sita ndani ya miaka mitatu, huku nyingine ikitarajiwa kuwasili baadaye mwaka huu. Rwanda nayo kupitia Kampuni yake ya RwandAir, imeendelea kujiimarisha na inakusudia kuongeza ndege nyingine mbili hivi karibuni. Kenya kupitia Shirika la Ndege la Kenya (KQ) ni kinara kwa usari wa anga katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Burundi na Sudan Kusini ndizo pekee katika EAC, ambazo hazijajiimarisha katika usari wa anga.
 
Kuwa na midege mingi ni safi sana..
La muhimu ni kuzinunua nyingi kadiri iwezekanavyo...
Suala la uwepo wa abiria au kutokuwepo sio issue sana, ni kuzinunua kwa wingi kwanza..
Abiria/Biashara watapatikana huko mbele ya safari.
 
View attachment 994852


BAADA ya Tanzania, Kenya na Rwanda kuendelea kujiimarisha katika sekta ya usa ri wa anga, Uganda nayo iko mbioni kupokea ndege yake ya abiria, ikiwa ni hatua ya awali ya kufufua Shirika la Ndege la Uganda, ambalo kwa miaka kumi halikuwa linafanya kazi. Shirika hilo linatarajiwa kupokea ndege yake ya abiria aina ya ya Bombardier CRJ-900 mwanzoni mwa mwezi ujao.

Awali, ndege hiyo ilikuwa itue Uganda mwezi huu. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ndege la Uganda, Ephraim Bagenda alipozungumza na wanahabari katika jengo la Wizara ya Kazi na Usarishaji, jijini hapa. Bagenda alisema kutokana na hali hiyo, wamelazimika kusogeza mbele uzinduzi wa shirika hilo hadi mwanzoni mwa Aprili mwaka huu, huku mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Yoweri Museveni.

Aidha, Bagenda alitaja sababu za kushindwa kuwasili kwa ndege hiyo mwezi huu, kama ilivyopangwa kuwa ni kutokana na Wizara ya Kazi na Usarishaji, kushindwa kuteua Mwakilishi wa Ukaguzi wa Utengenezaji (DMIR) ili kusimamia taratibu za utengenezaji wa ndege hiyo kufuatana na matakwa ya mnunuaji. Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, DMIR ni mtu, kampuni au shirika ambalo huajiriwa na mnunuzi kuhakikisha kuwa utengenezaji wa ndege hiyo, unafuata vigezo vyote na unakidhi mahitaji ya usari wa anga.

Sababu zingine zilizochangia kuchelewa kwa utengenezaji hadi kukabidhiwa kwa ndege hiyo na nyingine ni kuchelewa kupatikana kwa Leseni ya Kuendeshea Safari za Anga (AOC), kutokuwa na rubani mkuu, kukosekana kwa mkurugenzi wa uendeshaji wa shughuli za anga na mkurugenzi wa matengenezo ya ndege. Shirika la Ndege la Uganda linaamini kuwa mpaka kuka mwezi ujao, vigezo hivyo ambavyo vinahitajika ili ndege kuruhusiwa kufanya shughuli za anga, watakuwa wamevitekeleza kwa kiasi kikubwa. “Tunaamini uzinduzi utafanyika mwezi Aprili mwaka huu kwa sababu hadi kuka Februari tuna uhakika tutakuwa na vigezo vinavyotakiwa ili tuweze kufanya shughuli zetu,” alifafanua Bagenda.

Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo, Mamlaka ya Usari wa Anga (CAA) haiwezi kutoa leseni ya kufanya shughuli za usarishaji ikiwa moja ya vigezo hivyo havijakamilika. Pia usajili wa ndege husika, hauwezi kufanyika kama hakuna leseni ya kufanya shughuli za usarishaji. Vilevile hadi leo Shirika la Ndege la Uganda, halijapeleka wanafunzi wa mafunzo ya urubani ili kupewa mafunzo ya urubani. Kazi hiyo imepangwa kufanyika katika kipindi cha miezi mitatu ya Septemba, Oktoba na Novemba. “Shirika letu linahitaji marubani wapatao 36 na watapewa mafunzo katika vipindi tofauti vya miezi mitatu ya Septemba, Oktoba na Novemba,” alisema Bagenda.

Baada ya kupokea ndege hiyo, Uganda inatarajia kupokea ndege nyingine mbili mwaka huu za Airbus A330-800. Rais Museveni aliahidi kulifufua Shirika la Ndege la Uganda katika kipindi cha miaka miwili kuanzia 2018 hadi 2020, ambapo aliahidi kuwa shirika litakuwa na jumla ya ndege saba.

Wakati Uganda ikifufua shirika lake, Tanzania kupitia kampuni yake ya ATCL, imekuja kwa kasi baada ya kununua ndege mfululizo na kurejea kwa kishindo katika safari za ndani na nje ya nchi. Imenunua ndege sita ndani ya miaka mitatu, huku nyingine ikitarajiwa kuwasili baadaye mwaka huu. Rwanda nayo kupitia Kampuni yake ya RwandAir, imeendelea kujiimarisha na inakusudia kuongeza ndege nyingine mbili hivi karibuni. Kenya kupitia Shirika la Ndege la Kenya (KQ) ni kinara kwa usari wa anga katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Burundi na Sudan Kusini ndizo pekee katika EAC, ambazo hazijajiimarisha katika usari wa anga.
Hiyo ndo akiri za viongozi wa African mashariki, Kenya ina Kenya airways Tz ina Tanzania air Rwanda Rwanda air Ug Uganda airlines....now who will carry who? Zote zita kufa kifo cha Menda, tutaanza sisi ambao hatuna 'bussiness plan' tunanunua cash, Ug wana check soka kwa kuaanza na ndege moja, Kenya ndo wata survive wana comparative advantage over us pia na utamaduni wa kusafiri kwa anga wa nao.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo akiri za viongozi wa African mashariki, Kenya ina Kenya airways Tz ina Tanzania air Rwanda Rwanda air Ug Uganda airlines....now who will carry who? Zote zita kufa kifo cha Menda, tutaanza sisi ambao hatuna 'bussiness plan' tunanunua cash, Ug wana check soka kwa kuaanza na ndege moja, Kenya ndo wata survive wana comparative advantage over us pia na utamaduni wa kusafiri kwa anga wa nao.......

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini uteseke na kutabiri usichokielewa!!!!

Utakufa kwa kihoro bure.chemsha maharage ule ukisubiri matokeo,wacha ndoto za ajabu.
 
Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanikiwa kufufua Shirika la ndege la Taifa (ATCL) kwa kununua ndege mpya na kisasa za Bombadier(3), Air bus(2) na Boeing ambazo zimekuwa gumzo ndani na nje ya nchi ikizingatiwa kabla ya uamuzi huo wa Mhe Rais Magufuli ATCL lilikuwa na Ndege moja tu tena mbovu hivyo kuifanya Tanzania kipindi hicho kuwa nyuma ikilinganishwa na mashirika ya Nchi za Kenya na Rwanda ambao ni washindani wa kiuchumi kwa Nchi za Afrika Mashariki.

Nchi ya Uganda nayo imegutuka kutoka kwenye usingizi wa pono na kuamua kuiga nyayo au fikira za Rais Magufuli kwa kuanza kufufua Shirika lake la Ndege ambapo kwa mujibu wa Mkurugenzi wa shirika la hilo, Ephraim Bagenda Uganda inatarajia kupokea ndege yake mpya ya abiria aina ya BOMBERDIER CRJ-900.

Hapa ndo lile andiko la kwenye bibilia linalosema kwamba wanadamu tusipo msifu bwana atainua mawe yamsifu, Watanzania badala ya kumpongeza Rais kwa kazi na jitihada zake madhubuti, imara na nzuri za kukuza uchumi wetu kupitia pamoja na mambo mengine ufufuaji wa Shirika la ndege ambalo litaongeza watalii, kukuza biashara za nje na kurahisisha usafiri wa ndani tumekaa kupinga kila kitu, hatua iliyosababisha mataifa ya nje kuanza kutambua na kuiga mikakati ya Rais wetu. Shime Watanzania wenzangu wenye nia njema na taifa hili hatujachelewa sana tumtie moyo kiongozi wetu kweny mambo makubwa anayofanya yanayoacha kumbukumbu 'legacy' kwa taifa pamoja na kutufanya nasi tutembee kifua mbele duniani huku.

IMG_1328.JPG
 
Nimejaribu kuoanisha ulichoandika kwenye heading, maelezo yako na kilichoandikwa kwenye gazeti lakini mahali ambapo huyo unayemsifia alipokuwa mfano wa kuigwa
 
Hiyo ndo akiri za viongozi wa African mashariki, Kenya ina Kenya airways Tz ina Tanzania air Rwanda Rwanda air Ug Uganda airlines....now who will carry who? Zote zita kufa kifo cha Menda, tutaanza sisi ambao hatuna 'bussiness plan' tunanunua cash, Ug wana check soka kwa kuaanza na ndege moja, Kenya ndo wata survive wana comparative advantage over us pia na utamaduni wa kusafiri kwa anga wa nao.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya Tanzania hakuna business plan umeitoa wapi?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Kuwa na midege mingi ni safi sana..
La muhimu ni kuzinunua nyingi kadiri iwezekanavyo...
Suala la uwepo wa abiria au kutokuwepo sio issue sana, ni kuzinunua kwa wingi kwanza..
Abiria/Biashara watapatikana huko mbele ya safari.

Ndio maana walivyoulizwa b'ness plan iko wapi? itakua walisema kama wewe abiria watapatikana mbele ya safari(mawazo ya kiafrica kabisa haya).


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
You are nothing but a pessimist.
East Africa is a Regional block has a total population of 270 million and annual tourists visiting the region amounting to about 5 million and growing.
You also have to consider SADC region whose total population is 180 million and annual tourist visiting the region amounting to 10 million and growing.
Baba, this is a very powerful block in Africa[excluding North Africa] and there is enough market for all these airlines either individually or collectively provided they are run professionally.
 
HIOO TANZANIA AIR YA TABORA LABDA POLE.MKUU
Hiyo ndo akiri za viongozi wa African mashariki, Kenya ina Kenya airways Tz ina Tanzania air Rwanda Rwanda air Ug Uganda airlines....now who will carry who? Zote zita kufa kifo cha Menda, tutaanza sisi ambao hatuna 'bussiness plan' tunanunua cash, Ug wana check soka kwa kuaanza na ndege moja, Kenya ndo wata survive wana comparative advantage over us pia na utamaduni wa kusafiri kwa anga wa nao.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom