Tatizo sio hilo mkuu,fikiria umepata nafasi ya kwenda nje na ukataka kula ugali bila kuijua lugha ya wenzio umekwisha,tusijifungie kuelewa au kujua lugha za wengine hasa zile kubwa kunaumuhimu wake.Tusiwe Watu Wa Kukopa Maneno Tu Milele Acha Ugali Utambulike Kama Ugali Watu Wa Nje La Bara La Africa Wajue Mmalawi Akisema Nsima Anamanisha Ugali.