UGALI unaitwaje kwa Kingereza/Kimombo?

UGALI unaitwaje kwa Kingereza/Kimombo?

IMG_20140303_161240.jpg
1689183_855747701106316_400421148_n.jpg
1689183_855747701106316_400421148_n.jpg
 
Steavporridge ndio jina lake

Mshomba;
Sio Steav bali ni Stiff. Ila kwa kuwa chakula hiki hawajakibuni wao bali sisi, basi tunawafundisha kutohoa maneno kutoka kwetu. Tunawaambia unaitwa "Yugalii"
 
Preta;
Dah! Leo nimepata kitu kipya kabisa. Nilikuwa najifanya kuijua hiyo lugha ya malkia lakini, sikuwahi kukutana na jina hilo la ugali

Lipo sana.....you think you are cool eeh......
 
Ugali is ugali you can't change it because the origination of it is here so what change is only pronunciation
 
Back
Top Bottom